Elections 2015 Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Nimejifunza kitu kikubwa sana siku ya leo,,, watanzania siasa zimetujaa hata kwenye mambo ya kimaendeleo.. JK tunapomlaumu pia tuangalie upande wa pili kwa watangulizi wake,, kuna watu walijenga barabara na kupeleka umeme milimani just kwa sababu ni nyumbani, kuna mtu alihamishia mradi wa maji kwao na kuwanyang'anya watanzania wenzie, kuna mtu kaongeza mipaka ya kwao kwa kuiba eneo la
mji mwingine... JK kashindwa kuvumilia kuwaacha hivihivi ndugu zake huku wenzie wamefanya kitu kule makwao...
Kwa namna moja au nyingine ilitakiwa tuwe na akili kama za waindonesia lakini kwa bahati mbaya hizo akili hakuna afrika aka kwa watu weusi... Maisha ya mtu mweusi huwa ni ya kishabiki zaidi na si uzalendo kwa taifa.. hakuna kiongozi mzalendo africa,,TICS kapewa karamagi na lowassa alikuwepo hakupinga hili,, buzwagi imesainiwa pale churchill hotel london lowassa alikuwepo hakupinga nalo....

Itafika wakati wachina watatukalia kooni in such a way kwamba hatutaweza kuwaambia chochote.

The time is coming.
 
Haya ndiyo mabishano kutoka kwa watanganyika ambayo huwa siyapendi. Kwa ulivyosoma comments za wadau tatizo lao ni gharama au Hakuna haja ya kujenga bandari kama hiyo Bsgamoyo badala yake waendeleze Bandari za Tanga na Mtwara? Ndio yale niliyosema why watanzania mnapenda kukomaa na kitu msichokijua na kujifanya mnajua? Kwani huu mradi unajengwa fedha zenu? Ni mou kati ya China-/Oman na Tanzania. Hivyo kila pande ina nafasi ya kujua wapi aweke fedha zake? Ukumbuke pia Bagamoyo port ni kwa wachina kupitisha bidhaa za viwanda vyao kwa ajili ya masoko ya nchi kadhaa za kiafrika. Utamwambiaje akaendeleze mtwara au Tanga kama haiko katika strategic zones zake?

Kujua mradi unajengwa kwa gharama kubwa kiasi gani kwa fedha za mikopo au msaada kuna vigezo vingi vya kuangalia. Ni budi ujue huo mkopo ni wa interest kiasi gani? Ni wa miaka mingapi nk? Hata hivyo, hayo ni sehemu yenu ninyi watanzania sio kosa la mradi. Je hujui kwamba wako wafadhili wanatumia zero - interest loan lakini wanakuwa na hidden interest kupitia kwenye vipuri, teknolojia na wataalam wa mradi husika? Ndio hasara za kuwa maskini huko, ni lazima ukubali kutokuwa kwa elimu kunachangia. Na mradi wa Bagamoyo port bila shaka hautaepuka hayo.

Anyway, kwaheri ndugu nchi yenu maamuzi yenu.

Ms

Ms[/QUOTE]
Mkuu umeandika sana lakini mwisho tuna rudi kwenye jibu nililotoa mapema leo hii ambalo sitalirudia. Ila kuna kipengele kimoja au viwili ambavyo umekuja navyo lazima ni viongelee.# Hata kama una shida kiasi gani usikubali mtu anaye taka kukupa msaada wa kukujengea nyumba kuleta masharti ya kulala na mkeo kwanza. Watu wana kuja hapa na miradi yao na kuwapangia watanzania masharti kwamba ni lazima wavune gus kwa miaka 10 bure ndipo waanze kulipa kodi. HAYA TUMEYAKATAA NA TUMECHOKA KUINGIA KWENYE MIRADI YENYE KUWEKA UNAFUU UPANDE MOJA WA ( wawekezaji ). Issue ya pili ni hii ya " SIO KOSA LA MRADI " Hapa sijakuelewa unataka kuzungumzia nini maana nisije kukanusha kitu au kukikubali pasipo kupata ufafanuzi. Ukiamka ni jibu hilo.
 
prizash,

..kwa uelewa wangu bandari ya Bagamoyo inajengwa kwa fedha za Wachina.

..wataimiliki bandari hiyo mpaka watakaporudisha fedha zao ndiyo itakuwa mali yetu.

..mimi tatizo langu na bandari ya Bagamoyo ni uwezekano wa bandari hiyo kuiua bandari ya Dsm. vilevile inaonekana hatujajipanga kuhakikisha tunafaidika na uwekezaji huo ambao ni mkubwa kufanyika hapa Tanzania.

..ningependa mamlaka yetu ya bandari iwe na significant amount of shares ktk mradi wa Bagamoyo ili tuweze kufaidika na mapato yanayotokana na bandari hiyo. pia kuna eneo la huduma kwa bandari hiyo mfano upakiaji na upakuaji ambayo inaweza kufanywa na mamlaka yetu ya bandari.

..pia tusisahau kwamba SEKTA YA USAFIRISHAJI itakuwa kwa kiasi kikubwa ikiwa mradi wa Bagamoyo port utakamilika. vilevile ukumbuke kwamba OMAN FUND wanawekeza ktk eneo la viwanda linalounganishwa na bandari hiyo. sasa hapo napo tujipange na siyo kuanza kuupinga mradi huu.

..kwa bandari ya TANGA, labda tungekuwa wabunifu kidogo kwa kuifanya iwe kituo kikuu cha kuteremsha MAFUTA nchini. vilevile Tanzania ipiganie bomba la MAFUTA toka UGANDA liishie katika bandari ya Tanga.


..kuhusu bandari ya MTWARA; eneo la kusini, pamoja na nyanda za juu kusini kuna miradi ya gesi, chuma, na makaa ya mawe, hivyo bandari hiyo inapaswa kuwa mahsusi kwa usafirishaji wa madini hayo, pamoja na bidhaa zitokanazo.

..MRADI WA BAGAMOYO TUSICHEZEE SHILINGI KTK TUNDU LA CHOO. WATU WAMEAMUA KUWEKEZA $10++ BILLIONS HALAFU TUNAWALETEA LONGOLONGO NA KUWATISHA?? TUANGALIE NI JINSI GANI TUNAWEZA KUFAIDIKA NA MRADI HUO NA SIO KUUPIGA VITA.


cc Kimweri, msemakweli, Bavaria, samurai, Jigsaw, Crimea
 
Last edited by a moderator:
Bandari ya Mtwara ni uti wa mgongo kwa mikoa ya kusini.Uchumi ungekuwa mara dufu katika biashara za kimikoa na nchi jirani kama Zambia na malawi na zingine. Tungepunguza kwa asilimia kubwa population ya wahamiaji walio kimbilia Dar. Kwa Tanga vile vile bandari hizo zingesaidia katika kusafirisha bidhaa za biashara kwa wakazi wa mikoa ya kaskazini na nchi jirani na kuondoa matabaka katika ukuaji wa uchumi kimikoa. Hii ya kujenga Bandari kubwa Bagamoyo imekaa kinafiki nafiki na kiushabiki wa kwamba mimi nimewafanya nini wakaazi wangu.Hatutaki vijana na ndugu zetu waendelee kujazana Dar es salaam na Bagamoyo.
 
Bandari ya Mtwara ni uti wa mgongo kwa mikoa ya kusini.Uchumi ungekuwa mara dufu katika biashara za kimikoa na nchi jirani kama Zambia na malawi na zingine. Tungepunguza kwa asilimia kubwa population ya wahamiaji walio kimbilia Dar. Kwa Tanga vile vile bandari hizo zingesaidia katika kusafirisha bidhaa za biashara kwa wakazi wa mikoa ya kaskazini na nchi jirani na kuondoa matabaka katika ukuaji wa uchumi kimikoa. Hii ya kujenga Bandari kubwa Bagamoyo imekaa kinafiki nafiki na kiushabiki wa kwamba mimi nimewafanya nini wakaazi wangu.Hatutaki vijana na ndugu zetu waendelee kujazana Dar es salaam na Bagamoyo.

Jigsaw usipumbazwe na wataka urais kwa hila yoyote, fuatilia katika mtandao mradi unaoitwa Mtwara Corridor ambao utkelezani wake umeanza. Unahusu miradi ya Umeme, Barbara, reli na bandari ya Mtwara, maalum kwa ajili ya uchumi wa Chuma (Mchuchuma, Liganga)
 
Aisee kanigusa sana. Halafu lowassa ana hekima sana. Kajiepusha ku msema ovyo jk. Yaani huyu ndugu ni muungwana sana. Ana bahati mbaya kuwa alikuwa na rafiki mnafiki
. Hilo jambo la bandari ya bagamoyo kama magu ni kidume alizungumaie

Ukweli ni kwamba bandari ya bagamoyo ni kitanzi cha tanzania. Tunaongeza deni la trl 10 kwenye deni la taifa la trl 40. Ni deni litakalowatesa hata vitukuu vyetu. Halafu ni mradi usiokua na umuhimu ukilinganisha na reli au angalau kuboresha bandari za tanga na mtwara.
 
Aisee kanigusa sana. Halafu lowassa ana hekima sana. Kajiepusha ku msema ovyo jk. Yaani huyu ndugu ni muungwana sana. Ana bahati mbaya kuwa alikuwa na rafiki mnafiki
. Hilo jambo la bandari ya bagamoyo kama magu ni kidume alizungumaie
Haya maneno mbona yanajirudia? Bampani naye kaandika hivi hivi (Ame-Paste maneno haya). Ni watu wawili tofauti au wewe!
 
prizash,

..kwa uelewa wangu bandari ya Bagamoyo inajengwa kwa fedha za Wachina.

..wataimiliki bandari hiyo mpaka watakaporudisha fedha zao ndiyo itakuwa mali yetu.

..mimi tatizo langu na bandari ya Bagamoyo ni uwezekano wa bandari hiyo kuiua bandari ya Dsm. vilevile inaonekana hatujajipanga kuhakikisha tunafaidika na uwekezaji huo ambao ni mkubwa kufanyika hapa Tanzania.

..ningependa mamlaka yetu ya bandari iwe na significant amount of shares ktk mradi wa Bagamoyo ili tuweze kufaidika na mapato yanayotokana na bandari hiyo. pia kuna eneo la huduma kwa bandari hiyo mfano upakiaji na upakuaji ambayo inaweza kufanywa na mamlaka yetu ya bandari.

..pia tusisahau kwamba SEKTA YA USAFIRISHAJI itakuwa kwa kiasi kikubwa ikiwa mradi wa Bagamoyo port utakamilika. vilevile ukumbuke kwamba OMAN FUND wanawekeza ktk eneo la viwanda linalounganishwa na bandari hiyo. sasa hapo napo tujipange na siyo kuanza kuupinga mradi huu.

..kwa bandari ya TANGA, labda tungekuwa wabunifu kidogo kwa kuifanya iwe kituo kikuu cha kuteremsha MAFUTA nchini. vilevile Tanzania ipiganie bomba la MAFUTA toka UGANDA liishie katika bandari ya Tanga.


..kuhusu bandari ya MTWARA; eneo la kusini, pamoja na nyanda za juu kusini kuna miradi ya gesi, chuma, na makaa ya mawe, hivyo bandari hiyo inapaswa kuwa mahsusi kwa usafirishaji wa madini hayo, pamoja na bidhaa zitokanazo.

..MRADI WA BAGAMOYO TUSICHEZEE SHILINGI KTK TUNDU LA CHOO. WATU WAMEAMUA KUWEKEZA $10++ BILLIONS HALAFU TUNAWALETEA LONGOLONGO NA KUWATISHA?? TUANGALIE NI JINSI GANI TUNAWEZA KUFAIDIKA NA MRADI HUO NA SIO KUUPIGA VITA.


cc Kimweri, msemakweli, Bavaria, samurai, Jigsaw

Swali la kujiuliza, je, tulijipanga kuupokea huo mradi?

Tuliweka mazingira ya kuhakikisha huo mradi unanufaisha wananchi?

Kwa jinsi ninavyoona, huo mradi utaua bandari zote.

Tukianza na ya DSM na ya Tanga.

Bandari ya mtwara haiwezi kufufuliwa kwasababu hayo madini yatapitishwiwa hukohuko Bagamoyo.

Way Forward.

TPA imiliki 50% ya mradi ili kuweza ku-monitor shughuli za hapo bandarini.
 
Hili linashangaza Bandari ya Mtwara haikuuzwa kwa Dangote? Bagamoyo ni mradi wa JK, Watanzania wengi bado hawafahamu nini kinaendelea kwenye nchi yao. Inakuwaje miradi inapitishwa kabla ya kukubalika? Sasa hii ni vita kati ya JK na Mwizi Lowasa. Lakini kwa vyovyote vile huwezi kumchagua mwizi Lowasa then Mbowe ndio anakuwa anamwamrisha what type of a country that will be? Hata hivi sasa tunamshambulia JK combination ya Jambazi sugu na Mbowe ndio itaturudisha nyuma kwa miaka 1000. No chance kwa Jambazi Sugu or Mbowe and UKAWA et al.
 
Watu hawajaelewa why bandari ya Dar es Salaam haiwezi kutufikisha 50yrs to come! Na ndio sababu ya kujengwa bandari ya Bagamoyo!
Kama bandari haitaweza panuliwa mara2 ya pale ilivo na uchumi wa TZ uko Dar solution pekee n bandari ya bagamoyo ndo maana ikajengwa, of course JK amelazimishwa ijengwe mapema ila uhalisia unabaki pale pale kwa maendeleo ya haraka Dar inahitaji bandari kubwa zaidi
Lastly kama hamfaham tu! Bandari ya Bagamoyo inajengwa kussupoort viwanda 1000 vitakavyojengwa dar+pwani, ambapo bandar ya dar isingeweza kuhudimia export ya viwanda vyote hivo ndo maana ikajengwa hiyo specifically kwa ajili ya exportation
 
prizash,

..kwa uelewa wangu bandari ya Bagamoyo inajengwa kwa fedha za Wachina.

..wataimiliki bandari hiyo mpaka watakaporudisha fedha zao ndiyo itakuwa mali yetu.

..mimi tatizo langu na bandari ya Bagamoyo ni uwezekano wa bandari hiyo kuiua bandari ya Dsm. vilevile inaonekana hatujajipanga kuhakikisha tunafaidika na uwekezaji huo ambao ni mkubwa kufanyika hapa Tanzania.

..ningependa mamlaka yetu ya bandari iwe na significant amount of shares ktk mradi wa Bagamoyo ili tuweze kufaidika na mapato yanayotokana na bandari hiyo. pia kuna eneo la huduma kwa bandari hiyo mfano upakiaji na upakuaji ambayo inaweza kufanywa na mamlaka yetu ya bandari.

..pia tusisahau kwamba SEKTA YA USAFIRISHAJI itakuwa kwa kiasi kikubwa ikiwa mradi wa Bagamoyo port utakamilika. vilevile ukumbuke kwamba OMAN FUND wanawekeza ktk eneo la viwanda linalounganishwa na bandari hiyo. sasa hapo napo tujipange na siyo kuanza kuupinga mradi huu.

..kwa bandari ya TANGA, labda tungekuwa wabunifu kidogo kwa kuifanya iwe kituo kikuu cha kuteremsha MAFUTA nchini. vilevile Tanzania ipiganie bomba la MAFUTA toka UGANDA liishie katika bandari ya Tanga.


..kuhusu bandari ya MTWARA; eneo la kusini, pamoja na nyanda za juu kusini kuna miradi ya gesi, chuma, na makaa ya mawe, hivyo bandari hiyo inapaswa kuwa mahsusi kwa usafirishaji wa madini hayo, pamoja na bidhaa zitokanazo.

..MRADI WA BAGAMOYO TUSICHEZEE SHILINGI KTK TUNDU LA CHOO. WATU WAMEAMUA KUWEKEZA $10++ BILLIONS HALAFU TUNAWALETEA LONGOLONGO NA KUWATISHA?? TUANGALIE NI JINSI GANI TUNAWEZA KUFAIDIKA NA MRADI HUO NA SIO KUUPIGA VITA.


cc Kimweri, msemakweli, Bavaria, samurai, Jigsaw


Jokakuu, unaendelea kurudia vitu vilevile, bila mpangilio maalum. Mwanasiasa huyo amesema anayotakiwa kusema apate kura. Hata wangelalamika jua kali anegsema anafikiria kulisogeza jua pembeni kidogo ili kusiwe na jua kali.


kuhusu matumizi ya badnari za TZ, yako obvious, tafuta mipango ya TPA usome. ukisoma hautaendelea kuandika vitu kama bagamoyo itauwa dar port, world bank isingetoa $600M hivi majuzi tu, kama ni bandari inayokuja kuuliwa., Jamani kama kitu hatuna exposure nacho tujaribu kusoma kwanza au kufanya utaifit kabla ya kuandika au kuchukua porojo za wanasiasa.
 
Kimweri,

..ndiyo maana nimeandika "kwa uelewa wangu"....

..baada ya kufanya utafiti nimetoka na hicho nilichoandika.

..kwa sababu inaelekea uko-exposed, umefanya utafiti, na una uelewa mpana kuhusu suala hili, labda ungetueleza mahusiano ya bandari ya Dsm na hii inayojengwa Bagamoyo yatakuwaje. Je, TPA wana hisa kiasi gani ktk mradi huu wa Bagamoyo? Vilevile TPA wana mamlaka gani na bandari ya Bagamoyo? Bandari ya Dsm itafaidika vipi na bandari ya Bagamoyo and vice versa?

..kuna mambo mengi sana hayaeleweki kuhusu hii bandari ya Bagamoyo. Tunaomba utusaidie kutupa mwanga na kutuelimisha kuhusu mradi huu.
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa naliongelea hili kila siku.
Unajenga bandari ya Bagamoyo wakati hiyo hela inaweza kujenga bandari za Tanga na Mtwara na kufufua reli kwa ukanda huo.
Reli ya ukanda wa kaskazini inaanzia bandari ya Tanga hadi Burundi ikihudumia nchi za Kenya, Uganda, Rwana na Burundi.
Reli ya Ukanda wa kusini inaanzia Bandari ya mtwara hadi Congo ikihudumia nchi za Msumbiji, Malawi, Zimbabwe, Zambia na baadhi ya sehemu za Congo.
Reli inayoanzia Bandari ya DSM inahudumia njia ya kati hadi Congo.
Lowasa amefanya the best move kwenye hili.


Comment za mdau Tokyo40 kwenye huu uzi https://www.jamiiforums.com/kenyan-news/853909-kenya-the-standard-gauge-railway-takes-shape-2.html

Congratulations Kenya for building a new railway network.

Word of caution:
There is no such thing as Free Lunch. Kenya has borrowed 90% of the $3.8 billion from China Exim Bank to finance this project.

Haven't you guys learned from Angola?

China has lent Angola around $20 billion since a 27-year civil war ended in 2002.

They are borrowing another $25 billion from China and Brazil to fund the budget gap in 2015 due to low crude oil prices.

Repayments are often paid with oil or funds go directly to Chinese construction firms that have built roads, hospitals, houses and railways across the southern African country.

This means, however, dollars don't end up entering the real economy, increasing costs for ordinary Angolans.

There are around 50 Chinese state companies and 400 private companies operating in Angola alone.

I honestly hope that Kenyans will be able to repay the Chinese without sacrificing their future.

Wishing you all the best.

source:Bloomberg.com, Reuters.com



My concerns are two. Can Kenya afford to pay the debt? How much technology-transfer is Involved?

This is not about Kenya but Africa in general. Can Africa afford to borrow so heavily without even demanding transfer of technology?

Angola has an economy twice as big as Kenya and still struggling to pay her debts.

Kenya does not exactly have Singaporean efficiency and financial discipline. She can easily get trapped just like Angola.



Do not be so arrogant. We can all learn from Indonesians. They have awarded a $5 billion tender to the Chinese to build them a railway network this year. However, they have a clause in their contract which demands that they transfer their technology to them. The Chinese will also build a factory to manufacture components of the train in Indonesia. The construction will also involve local firms so that they can learn from their counterparts.

Their government turned down a much superior Japanese technology because the Japanese insisted the Indonesian government borrow money to finance the project and it was more expensive. The Chinese agreed to finance it privately.

Thanks to the Indonesian government's insistence of transfer of technology when she award tenders, today they are able to make small arms, car engines, military vehicles and even aviation spare parts in their country.

That is how they built a one billion dollar economy.

Only a fool will think that transfer of technology is not THAT important.

By the way, I never try to impress you or anyone else here with my knowledge. Please refrain from personal attacks, stick to facts and show some maturity.

source: jakartaglobe.beritasatu.com, Indonesia-investments.com
Leo mbona unamuunga mkono na mguu zito??
 
Aisee kanigusa sana. Halafu lowassa ana hekima
sana. Kajiepusha ku msema ovyo jk. Yaani huyu
ndugu ni muungwana sana. Ana bahati mbaya
kuwa alikuwa na rafiki mnafiki
. Hilo jambo la bandari ya bagamoyo kama magu
ni kidume alizungumaie
Hatimaye kafanya kama ulivyotaka, vipi sasa unaungana na zitto?
 
Kimweri,

..ndiyo maana nimeandika "kwa uelewa wangu"....

..baada ya kufanya utafiti nimetoka na hicho nilichoandika.

..kwa sababu inaelekea uko-exposed, umefanya utafiti, na una uelewa mpana kuhusu suala hili, labda ungetueleza mahusiano ya bandari ya Dsm na hii inayojengwa Bagamoyo yatakuwaje. Je, TPA wana hisa kiasi gani ktk mradi huu wa Bagamoyo? Vilevile TPA wana mamlaka gani na bandari ya Bagamoyo? Bandari ya Dsm itafaidika vipi na bandari ya Bagamoyo and vice versa?

..kuna mambo mengi sana hayaeleweki kuhusu hii bandari ya Bagamoyo. Tunaomba utusaidie kutupa mwanga na kutuelimisha kuhusu mradi huu.
Unachukuliaje haya maamuzi ya kiongozi unaempondea sana, ya kuachana na huo mradi, naomba nikusikie ukimpongeza.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom