Elections 2015 Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo

Wanaishangilia leo wanafikiri wanamkomoa Magufuli lakini Muda utaongea.

..mliwachochea kuamini hivyo.

..kila alichokifanya Magufuli mlikuwa mkichomekeza kwamba ni kwa ajili ya kuwakomoa wapinzani.
 
Kwa hiyo sasa hivi mnamkomoa magufuli?

..kwani Magufuli alikuwa anawakomoa Chadema?

..Mataga kama hamkubaliani ni mwenyekiti wenu mnayo haki ya kumpinga.

..Na mkishindwana naye mnao uhuru wa kuanzisha chama na kuendeleza harakati zenu.

..Sio sahihi au busara kuwasubiri Chadema wawasemee wakati mmekuwa mkiwabeza na kuwapinga kwa muda mrefu.
 
..kwani Magufuli alikuwa anawakomoa Chadema?

..Mataga kama hamkubaliani ni mwenyekiti wenu mnayo haki ya kumpinga.

..Na mkishindwana naye mnao uhuru wa kuanzisha chama na kuendeleza harakati zenu.

..Sio sahihi au busara kuwasubiri Chadema wawasemee wakati mmekuwa mkiwabeza na kuwapinga kwa muda mrefu.
Nyumbu bhana! Kukosoa ni kutokubaliana na mtu?

Ndio maana hapo chadema mbowe akisema basi nyie hufuata tu bila kuhoji?
 
Nyumbu bhana! Kukosoa ni kutokubaliana na mtu?

Ndio maana hapo chadema mbowe akisema basi nyie hufuata tu bila kuhoji?

..kumkosoa mwenyekiti wa ccm ni haki yenu.

..kutokukubaliana na mwenyekiti wenu sio dhambi.

..mataga mnaowajibu ktk chama chenu msiukimbie.
 
Si ndio kama hivi tunawajibika kukosoa ila nyie nyumbu mnapinga kukosoa na mnamsifia sana ili kumkomoa marehemu?

..mataga mlikuwa mnasifia hata ukatili wa Magufuli.

..siyo jambo la ajabu kuwepo kwa kikundi kinachomsifia Mama Samia ktk kila analofanya, hata pale anapokosea.

..Huu ni wakati wa Mataga kujipambanua kama vijana mliokomaa kifikra ktk kulitetea taifa lenu.
 
..mataga mlikuwa mnasifia hata ukatili wa Magufuli.

..siyo jambo la ajabu kuwepo kwa kikundi kinachomsifia Mama Samia ktk kila analofanya, hata pale anapokosea.

..Huu ni wakati wa Mataga kujipambanua kama vijana mliokomaa kifikra ktk kulitetea taifa lenu.
Si ndio hivi tunalitetea ila nyie nyumbu mmejipambanua kumpamba na kusema yuko vizuri sana?
 
Ule ukaskazini ndio unadhihirika rasmi..

To deny development at Pwani region!

Funny enough hajui kuwa kuna wachaga waliowekeza Bagamoyo !!

Mkiitwa Genge mnachukia...mkiambiwa hana uwezo mnakasirika!

Makuwadi na makasuku wa mamlaka vipi kwa Magufuli msimamo wako ulikua upi na Leo kwa SSH ni upi?
 
Hata Lowasa alisema wakati wa kampeni 2015 atavunja ujenzi wa bandari ya bagamoyo na mara moja angeanza kujenga na kupanua bandari ya Dar ,Mtwara na Tanga ndicho kitu alichokuja kufanya JPM baada ya kushinda uchaguzi.

Tayari bandari ya Dar imepanuliwa kwa gaharama ya trilioni 1.34 na uwezo wake umeongezeka mara 3 zaidi. Bandari ya Mtwara upanuzi umekamilika kwa gharama ya billion 307 na kuanzia mwaka huu korosho zote za kusini hazitaletwa bandari ya Dar tena ,zote zitasafirishwa kupitia bandari ya mtwara. Mafuta yote ya kusini sasa hivi yanashushwa Mtwara direct.

Bandari ya Tanga kandarasi yupo site.

Je hao wachina wanaotaka kuwekeza bandari ya trillion 23 bagamoyo mizigo wataitoa wapi?
Watapitishia nini hapo?

Urithi siyo majumba na magari tu hata maneno ni urithi pia, yanaweza kuishi miaka 200 ijayo. Hapa JPM ametuachia urithi ,hiyo timu inayofanya mazungumzo lazima wazingatie maneno haya ya JPM kama guidline, wakipuuza makaburi yao yatakuja kufungwa pingu miaka 20 ijayo.

Ndugai wachina walimlipia kila kitu kwenda China kumuonyesha presentation ya jinsi gani mradi wa bagamoyo ulivyo na manufaa kwa Tanzania.!!

Bila shaka kwenye mazungumzo mkataba wa bandari ya bagamoyo utapitiwa upya na kufumua mashariti yote yasiyo na tija kwa nchi yetu.

Ila case study ya miradi kama hii tayari ipo Zambia, Kenya, Siri lanka tunaweza kwenda kujifunza na kurekebisha makosa.

Ngoja tusubiri na kuona.

Mkuu Elitwege unakuwa hueleweki. Nikadhani ufafanuzi wako mwenyewe ingependeza zaidi kwenye uzi huu:


Kama ikikupendeza mkuu.
 
Hata Lowasa alisema wakati wa kampeni 2015 atavunja ujenzi wa bandari ya bagamoyo na mara moja angeanza kujenga na kupanua bandari ya Dar ,Mtwara na Tanga ndicho kitu alichokuja kufanya JPM baada ya kushinda uchaguzi.

Tayari bandari ya Dar imepanuliwa kwa gaharama ya trilioni 1.34 na uwezo wake umeongezeka mara 3 zaidi. Bandari ya Mtwara upanuzi umekamilika kwa gharama ya billion 307 na kuanzia mwaka huu korosho zote za kusini hazitaletwa bandari ya Dar tena ,zote zitasafirishwa kupitia bandari ya mtwara. Mafuta yote ya kusini sasa hivi yanashushwa Mtwara direct.

Bandari ya Tanga kandarasi yupo site.

Je hao wachina wanaotaka kuwekeza bandari ya trillion 23 bagamoyo mizigo wataitoa wapi?
Watapitishia nini hapo?

Urithi siyo majumba na magari tu hata maneno ni urithi pia, yanaweza kuishi miaka 200 ijayo. Hapa JPM ametuachia urithi ,hiyo timu inayofanya mazungumzo lazima wazingatie maneno haya ya JPM kama guidline, wakipuuza makaburi yao yatakuja kufungwa pingu miaka 20 ijayo.

Ndugai wachina walimlipia kila kitu kwenda China kumuonyesha presentation ya jinsi gani mradi wa bagamoyo ulivyo na manufaa kwa Tanzania.!!

Bila shaka kwenye mazungumzo mkataba wa bandari ya bagamoyo utapitiwa upya na kufumua mashariti yote yasiyo na tija kwa nchi yetu.

Ila case study ya miradi kama hii tayari ipo Zambia, Kenya, Siri lanka tunaweza kwenda kujifunza na kurekebisha makosa.

Ngoja tusubiri na kuona.
Mleta mada wewe ni kati ya waTz waloifikisha nchi hii hapa kuzimu. Mnapoishangilia Ccm kwa kuitawala nchi ipendavyo ndiyo matokeo yake haya.

Mfano kuna haja gani mikataba muhimu ya nchi kama huu kuwa SIRI kubwa ?!. Hapa ndipo penye uchochoro wa mambo ya kijinga kama haya unayolalamikia. Mkapa alionywa na wanaharakati enzi za mikataba ya madini. Hakumsikia mtu , badala yake aliwakebehi kuwa ni wavivu wa kufikiri .

Muswaada wa Gas na mafuta . Wapinzani na waTz wenye nia njema walionya na kuikataa . Kilichotokea wabunge wa Ccm kupitia spika wao Mama Makinda waliipitisha usiku wa manane Maghufuli na Lowassa wakiwa sehemu ya wabunge hao. Leo tunailalamikia mkataba huo. Tatizo ni mfumo wa uongozi wa Ccm na katiba mbovu inayommilikisha Rais nchi.
 
Leo katika taarifa ya habari ya Channel Ten nimemsikia Rais mtarajiwa wa awamu ya tano Ngoyai Lowassa akisema kwamba Serikali yake itaangalia jinsi ya kuuvunja mkataba wa bandari ya Wachina Bagamoyo.

Amesema haoni mantiki ya kutumia mabilioni kujenga bandari moja Bagamoyo wakati bandari za Tanga na Mtwara ziko ovyo.

Kama kawaida wananchi wa Tanga wamesema kura zao zote ni kwa UKAWA na adui CCM lazima asome namba mwaka huu.

VIVA UKAWA!

NOTE: Kwa msio fahamu kuna umbali wa kilomita 1200 kutoka Tanga mpaka Kampala (Uganda) ukilinganisha na kilomita 1500 kutoka Mombasa (Kenya) mpaka Kampala.

Lakini Waganda wanatumia bandari ya Mombasa sana kwa sababu Tanga hamna kitu.
Kumbe hata UKAWA tungaliwapa nchi mwaka 2015, mradi huu wa bandari ya Bagamoyo wangaliufutilia mbali na hatungaliweza kuu retrieve. Yaani UKAWA wangaliu delete hadi na kwenye dustbin. Angalao CCM hawakuu delete kule kwenye dustbin na ndiyo maana tumeweza kuu restore. Hongereni CCM.
 
Back
Top Bottom