Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,918
- 33,500
UKAWA kabla baijabakwa walikuwa na hoja sana..Na waliokuwa wanaufurahia mradi leo wanaupinga.
UKAWA kabla baijabakwa walikuwa na hoja sana..Na waliokuwa wanaufurahia mradi leo wanaupinga.
Wanaishangilia leo wanafikiri wanamkomoa Magufuli lakini Muda utaongea.
Kwa hiyo sasa hivi mnamkomoa magufuli?..mliwachochea kuamini hivyo.
..kila alichokifanya Magufuli mlikuwa mkichomekeza kwamba ni kwa ajili ya kuwakomoa wapinzani.
Sasa kwani huu ni wakati wa Lowassa?Wao hawaangalii maslahi ya taifa,wao ni kupinga Kila kitu Cha Mwendazake,wakisahau wakati wa lowassa walisifu uamuzi huu.
Kwa hiyo sasa hivi mnamkomoa magufuli?
Nyumbu bhana! Kukosoa ni kutokubaliana na mtu?..kwani Magufuli alikuwa anawakomoa Chadema?
..Mataga kama hamkubaliani ni mwenyekiti wenu mnayo haki ya kumpinga.
..Na mkishindwana naye mnao uhuru wa kuanzisha chama na kuendeleza harakati zenu.
..Sio sahihi au busara kuwasubiri Chadema wawasemee wakati mmekuwa mkiwabeza na kuwapinga kwa muda mrefu.
Nyumbu bhana! Kukosoa ni kutokubaliana na mtu?
Ndio maana hapo chadema mbowe akisema basi nyie hufuata tu bila kuhoji?
Si ndio kama hivi tunawajibika kukosoa ila nyie nyumbu mnapinga kukosoa na mnamsifia sana ili kumkomoa marehemu?..kumkosoa mwenyekiti wa ccm ni haki yenu.
..kutokukubaliana na mwenyekiti wenu sio dhambi.
..mataga mnaowajibu ktk chama chenu msiukimbie.
Si ndio kama hivi tunawajibika kukosoa ila nyie nyumbu mnapinga kukosoa na mnamsifia sana ili kumkomoa marehemu?
Hata Samia ni ccm zinduka ewe nyumbu
Si ndio hivi tunalitetea ila nyie nyumbu mmejipambanua kumpamba na kusema yuko vizuri sana?..mataga mlikuwa mnasifia hata ukatili wa Magufuli.
..siyo jambo la ajabu kuwepo kwa kikundi kinachomsifia Mama Samia ktk kila analofanya, hata pale anapokosea.
..Huu ni wakati wa Mataga kujipambanua kama vijana mliokomaa kifikra ktk kulitetea taifa lenu.
..kwa hiyo mataga mlikuwa mnamsifia Magufuli ktk ubaguzi, ukatili, na kila kitu, ili kuwakomoa wapinzani?Kwahiyo nyumbu mnamsifia Samia kwa kila kitu ili kuwakomoa mataga?
Ndiyo mkuu nyumbu..kwa hiyo mataga mlikuwa mnamsifia Magufuli ktk ubaguzi, ukatili, na kila kitu, ili kuwakomoa wapinzani?
Ule ukaskazini ndio unadhihirika rasmi..
To deny development at Pwani region!
Funny enough hajui kuwa kuna wachaga waliowekeza Bagamoyo !!
Mkiitwa Genge mnachukia...mkiambiwa hana uwezo mnakasirika!
Hata Lowasa alisema wakati wa kampeni 2015 atavunja ujenzi wa bandari ya bagamoyo na mara moja angeanza kujenga na kupanua bandari ya Dar ,Mtwara na Tanga ndicho kitu alichokuja kufanya JPM baada ya kushinda uchaguzi.
Tayari bandari ya Dar imepanuliwa kwa gaharama ya trilioni 1.34 na uwezo wake umeongezeka mara 3 zaidi. Bandari ya Mtwara upanuzi umekamilika kwa gharama ya billion 307 na kuanzia mwaka huu korosho zote za kusini hazitaletwa bandari ya Dar tena ,zote zitasafirishwa kupitia bandari ya mtwara. Mafuta yote ya kusini sasa hivi yanashushwa Mtwara direct.
Bandari ya Tanga kandarasi yupo site.
Je hao wachina wanaotaka kuwekeza bandari ya trillion 23 bagamoyo mizigo wataitoa wapi?
Watapitishia nini hapo?
Urithi siyo majumba na magari tu hata maneno ni urithi pia, yanaweza kuishi miaka 200 ijayo. Hapa JPM ametuachia urithi ,hiyo timu inayofanya mazungumzo lazima wazingatie maneno haya ya JPM kama guidline, wakipuuza makaburi yao yatakuja kufungwa pingu miaka 20 ijayo.
Ndugai wachina walimlipia kila kitu kwenda China kumuonyesha presentation ya jinsi gani mradi wa bagamoyo ulivyo na manufaa kwa Tanzania.!!
Bila shaka kwenye mazungumzo mkataba wa bandari ya bagamoyo utapitiwa upya na kufumua mashariti yote yasiyo na tija kwa nchi yetu.
Ila case study ya miradi kama hii tayari ipo Zambia, Kenya, Siri lanka tunaweza kwenda kujifunza na kurekebisha makosa.
Ngoja tusubiri na kuona.
Mleta mada wewe ni kati ya waTz waloifikisha nchi hii hapa kuzimu. Mnapoishangilia Ccm kwa kuitawala nchi ipendavyo ndiyo matokeo yake haya.Hata Lowasa alisema wakati wa kampeni 2015 atavunja ujenzi wa bandari ya bagamoyo na mara moja angeanza kujenga na kupanua bandari ya Dar ,Mtwara na Tanga ndicho kitu alichokuja kufanya JPM baada ya kushinda uchaguzi.
Tayari bandari ya Dar imepanuliwa kwa gaharama ya trilioni 1.34 na uwezo wake umeongezeka mara 3 zaidi. Bandari ya Mtwara upanuzi umekamilika kwa gharama ya billion 307 na kuanzia mwaka huu korosho zote za kusini hazitaletwa bandari ya Dar tena ,zote zitasafirishwa kupitia bandari ya mtwara. Mafuta yote ya kusini sasa hivi yanashushwa Mtwara direct.
Bandari ya Tanga kandarasi yupo site.
Je hao wachina wanaotaka kuwekeza bandari ya trillion 23 bagamoyo mizigo wataitoa wapi?
Watapitishia nini hapo?
Urithi siyo majumba na magari tu hata maneno ni urithi pia, yanaweza kuishi miaka 200 ijayo. Hapa JPM ametuachia urithi ,hiyo timu inayofanya mazungumzo lazima wazingatie maneno haya ya JPM kama guidline, wakipuuza makaburi yao yatakuja kufungwa pingu miaka 20 ijayo.
Ndugai wachina walimlipia kila kitu kwenda China kumuonyesha presentation ya jinsi gani mradi wa bagamoyo ulivyo na manufaa kwa Tanzania.!!
Bila shaka kwenye mazungumzo mkataba wa bandari ya bagamoyo utapitiwa upya na kufumua mashariti yote yasiyo na tija kwa nchi yetu.
Ila case study ya miradi kama hii tayari ipo Zambia, Kenya, Siri lanka tunaweza kwenda kujifunza na kurekebisha makosa.
Ngoja tusubiri na kuona.
Kumbe hata UKAWA tungaliwapa nchi mwaka 2015, mradi huu wa bandari ya Bagamoyo wangaliufutilia mbali na hatungaliweza kuu retrieve. Yaani UKAWA wangaliu delete hadi na kwenye dustbin. Angalao CCM hawakuu delete kule kwenye dustbin na ndiyo maana tumeweza kuu restore. Hongereni CCM.Leo katika taarifa ya habari ya Channel Ten nimemsikia Rais mtarajiwa wa awamu ya tano Ngoyai Lowassa akisema kwamba Serikali yake itaangalia jinsi ya kuuvunja mkataba wa bandari ya Wachina Bagamoyo.
Amesema haoni mantiki ya kutumia mabilioni kujenga bandari moja Bagamoyo wakati bandari za Tanga na Mtwara ziko ovyo.
Kama kawaida wananchi wa Tanga wamesema kura zao zote ni kwa UKAWA na adui CCM lazima asome namba mwaka huu.
VIVA UKAWA!
NOTE: Kwa msio fahamu kuna umbali wa kilomita 1200 kutoka Tanga mpaka Kampala (Uganda) ukilinganisha na kilomita 1500 kutoka Mombasa (Kenya) mpaka Kampala.
Lakini Waganda wanatumia bandari ya Mombasa sana kwa sababu Tanga hamna kitu.