Lowassa: Nitashusha bei ya mafuta

Lowassa: Nitashusha bei ya mafuta

Huyu ndiye rais tunayemtaka - mafuta ni kitu kilichoshikilia mfumuko wa bei kwenye vitu vingi sana. Well done Lowassa.
 
Ondoa ccm maisha yamekuwa magumu.ufukara watu hadi mkapa kiongozi wa ccm katutukana watz.
 
Kuna mtu atakuja kusema anakataza kauli kama hizo kwani
zinaweza leta uvunjifu wa amanai na uhaba wa mafuta vituoni....
hivyo mgombea husika haache kusema hivyo.
ndio siasa! uhaba hauwezi kutokea, kama atashusha ni kwa mipango ya serikali yake kama atashinda.
 
Ni kweli...miaka 50 ijayo mkishastaarabika

Kumbe kuna mambo ya ukanda
Na sisi huku nyanda za juu zamu yetu lini
Haya mambo ya ukanda kiukweli hata sio ya kufagilia yumkini hata km mtu hana uwezo ikiwa tu wa kanda yako utalazimika kumchagua
Mungu tusaidie
 
Kumbe kuna mambo ya ukanda
Na sisi huku nyanda za juu zamu yetu lini
Haya mambo ya ukanda kiukweli hata sio ya kufagilia yumkini hata km mtu hana uwezo ikiwa tu wa kanda yako utalazimika kumchagua
Mungu tusaidie

Ukanda utaepukwaje iwapo mtakuja na mabango ya namnahii?? Mtasubiri sana
 

Attachments

  • 1440674070816.jpg
    1440674070816.jpg
    95.3 KB · Views: 208
Ni jambo la heri sana hili; tumwombee maisha marefu na aione Ikulu. Haiingii akilini soko la dunia mafuta yako chini ya USD 40 kwa pipa lakini Dar ni more than T.Sh. 2,290 per litre. Huko mikoani ndio balaa.

Kumbuka 40$ ni kwa pipa la mafuta ambayo hayajachujwa (crude oil). Kua basi makini na unachochangia, sio lazima upost kitu kabla ya kuwa na uhakika!!
 
ndiyo lowasa tunakukubali baba kura zote zako mafuta yashuke
 
Ndio maana tunampendaaaaaaa

Sbb mafuta yameshuka sana kwingineko duniani..

Pipa moja linauzwa $ 40...

Lowassa baba okoa wananchi wa Taifa letu..

Wewe Lofa kweli tatizo lenu mnasoma vichwa vya Habari, $40 NI PIPA LA MAFUTA AMBAYO HAYAJACHUJWA (CRUDE OIL). Kweli Mkapa yuko sahihi kabisa mzazi, kama uko comfortable na hiyo post hahaha tell you voting for lowasa is like chilling with a zombie diablo lowasa de mello Gãndhi!!
 
Nilikuwa nasubiria kusikia habari hii. Kwa hakika kama atashusha bei itakuwa ni jambo zuri sana. Pia hawa EWURA wasiwekewe asilimia kwenye bei ya mafuta. kwa kuwa wanafaidika kutokana na asilimia, kama bei ya mafuta itakuwa chini ina maana pia pesa yao itakuwa kidogo. hapo mheshimiwa apamulike na atuelewashe ataiwezeshaje EWURA, awatoe kwenye asilimia wanayotukata.
 
Thubutuuu! Hayo mafutz anatengeneza mwenyewe?
 
Bei ya mafuta ya petroli iko juu na inazidi kupaa kila kukicha . Ni hatari sana . Maisha magumu wakubwa wanapiga dili kupitia petroli na Diesel
 
kusema tu atashusha bei ya mafuta NYUMBU wanafurahi! hivi mmewahi kujiuliza atashushaje au ana visima vya mafuta!?
tumieni hiyo zawadi ya kichwa kwa kufikiri angalau kidogo sio kufugia nywele tu

Angalia soko la mafuta la dunia miaka mitano nyuma graph inashuka tuuuu............uweje tz bei haieleweki....U must argue with confidence watu hatukurupuki
 
Wewe Lofa kweli tatizo lenu mnasoma vichwa vya Habari, $40 NI PIPA LA MAFUTA AMBAYO HAYAJACHUJWA (CRUDE OIL). Kweli Mkapa yuko sahihi kabisa mzazi, kama uko comfortable na hiyo post hahaha tell you voting for lowasa is like chilling with a zombie diablo lowasa de mello Gãndhi!!

Hata ifike $80 kwa yaliochujwa angalia trend ya bei ya soko la mafuta la dunia ili ujue kinachoelezwa huku......Mnaniudhu watu mlioko out of date kama nini...na kama hujui pa kupata hiz data ni PM Nikupe ......
 
Mr. President
Huyo jamaa haelewi achana nae..... CCM washamjaza mimba ya ujinga, tusubiri ajifungue upumbavu kwasababu hamna jinc
 
Wewe Lofa kweli tatizo lenu mnasoma vichwa vya Habari, $40 NI PIPA LA MAFUTA AMBAYO HAYAJACHUJWA (CRUDE OIL). Kweli Mkapa yuko sahihi kabisa mzazi, kama uko comfortable na hiyo post hahaha tell you voting for lowasa is like chilling with a zombie diablo lowasa de mello Gãndhi!!

Gracias
 
Hapo hata mimi kanigusa, haya ndiyo mambo yanayowagusa watz woote siyo kujenga mahakama ya mafisadi!! Itanisaidia nini hiyo mahakama???
 
huyo ndiyo Rais bora. hasemi vitu jumla jumla tu kama wale malofa na wapumbavu
 
Back
Top Bottom