Lowassa: Nitashusha bei ya mafuta

Lowassa: Nitashusha bei ya mafuta

Nilifurahi zaidi niliposikia Lowassa atahakikisha naweza kwenda sokoni na elfu kumi, nafanya shopping halafu narudi na chenji
 
Kumbuka 40$ ni kwa pipa la mafuta ambayo hayajachujwa (crude oil). Kua basi makini na unachochangia, sio lazima upost kitu kabla ya kuwa na uhakika!!

Wewe ni kiazi perse; nasikitika nimechelewa kukujibu upumbavu wako! Kwa hiyo bei ikiwa zaidi USD 100 huwa yanasafishwa kwanza au ni hiyo hiyo crude? Issue hapa ni change kwenye crude iwe reflected pia kwenye refined na ndivyo inavyopaswa. Wakati crude inashuka kwa bei ya kutisha duniani, hapa kwetu refined inapanda. This is very simple logic wala haihitaji elimu yoyote. Hoja za kijinga kama hizo ndizo mnawadanganyia "wananchi" kwenye kuomba kura.
 
Back
Top Bottom