47pro
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 1,204
- 333
Lofa ni wewe, kwani ilivyokuwa $107 kwa pipa na being ya lits kuwa tshs2100 yalikuwa yamechujws?
Chamsingi elewa sio unalazimisha maji kupanda mlimani, hizo bei ni za crude oil, mbona wewe ni kilaza hivyo?