Lowassa: Nitashusha bei ya mafuta

Lowassa: Nitashusha bei ya mafuta

Makampuni makubwa ya mafuta hapa Tanzania yanamilikiwa na familia ya KIKWETE.
 
Thubutuuu! Hayo mafutz anatengeneza mwenyewe?

Na mi nashangaaa hivi watu hawasikilizi habari za kimataifa na hawajui shale oil ni nini, pia OPEC wanahangaika kuzalisha mafuta kwa wingi pamoja na mmarekani kuzalisha kwa njia ya shale.
 
kusema tu atashusha bei ya mafuta NYUMBU wanafurahi! hivi mmewahi kujiuliza atashushaje au ana visima vya mafuta!?
tumieni hiyo zawadi ya kichwa kwa kufikiri angalau kidogo sio kufugia nywele tu

Mkuu kwa hiyo tuamini kuwa serekali ya ccm na jk inayotulangua mafuta kwa hii bei ya juu, inamiliki visima vya mafuta?
 
Na mi nashangaaa hivi watu hawasikilizi habari za kimataifa na hawajui shale oil ni nini, pia OPEC wanahangaika kuzalisha mafuta kwa wingi pamoja na mmarekani kuzalisha kwa njia ya shale.


Exactly... 👏👏👏

OIL SHALE... ndio latest technology which is being used by U.S.A to produce MORE FUEL USING CHEAPEST TECHNOLOGY from ROCKS to flood OIL MARKET... na sasa mafuta yameshuka sanaaaaaaaaaaa....


Huku meanwhile, Saudi Arabia, amekataa kupunguza kuzalisha mafuta, ili bei ipande, KWANI ANAMKOMOA IRAN, kwani IRAN anategemea sana Mafuta kwa uchumi wake... so mafuta yakiwa mengi bei inakuwa ndogooooooooooo....IRAN adui mkubwa wa Saudi Arabia anakufa kiuchumi....!!


So Lowassa yuko sawa kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


Lake Oil inamilikiwa na First Family hapa Tz... wanatuua kabisaaaaa...

Lake Oil zinatumaliza......

Lowassa njoo tuokoe baba....!!!!!
 
Hapo hata mimi kanigusa, haya ndiyo mambo yanayowagusa watz woote siyo kujenga mahakama ya mafisadi!! Itanisaidia nini hiyo mahakama???

Hakika.
Ukishusha bei ya mafuta utawasaidia watanzania wote kukabiliana na ugumu wa maisha.
 
alikua wapi skuzote , wakati ni waziri..????..........kura yanngu haipati....na kama kweli ukawa mnauchungu na maendeleo mngesimamisha mtu wenu...mmeishia kumsimamisha mtu mwenye sera za ccm....na miaka 50 yote..kafanyia kazi ccm...na mmesema hamjaona mabadiliko....sasa mamvi ndo ataleta...basi ccm ibado imara..mtaangaika saana...mwaka huu..ila ccm kupinduka shau...tukutane oktoba #hapanikazitu
 
Wewe Lofa kweli tatizo lenu mnasoma vichwa vya Habari, $40 NI PIPA LA MAFUTA AMBAYO HAYAJACHUJWA (CRUDE OIL). Kweli Mkapa yuko sahihi kabisa mzazi, kama uko comfortable na hiyo post hahaha tell you voting for lowasa is like chilling with a zombie diablo lowasa de mello Gãndhi!!

Lofa ni wewe, kwani ilivyokuwa $107 kwa pipa na being ya lits kuwa tshs2100 yalikuwa yamechujws?
 
Mnaota Maisha yawe rahisi.Muulizeni ni njia zipi alotumia kuwa na pesa za kutapakanya kwa minajil tu ya kuingia MAGOGONI.Ndipo utajua maisha ni rahisi kihivyo
 
Mtimbo Wewe ndio unaweza kuwa Nyumbu,

FACTS: mafuta yalikua TZS 2100 wakati pipa likiwa USD 107 (sawa na TZS188,320 sawa na TZS941 per litre) bei ya mafuta ikashuka hadi USD 55 sawa na TZS 118,800 sawa na TZS594. Bei ya Mafuta mtaani ni TZS 2298

Angalia hapa: Bei ya lita mtaani ilikua TZS 2,100 wakati wananunua lita kwa TZS 941
sasa hivi bei 2,298 wakati wananunua lita kwa TZS 594.

SAWLI nani Nyumbu? Je kama kweli Lowasa kasema mafuta yatashuka kuna logic?

Note bei ilipokua USD107 exchange rate 1760 na sasa bei USD55 nimetumia exchange 2160

Kumbuka pia gharama za usafirishaji duniani zimeshuka kwa sababu ya kushuka kwa gharama za mafuta not considered.

Tujadiliane bila matusi
wewe acha kujitoa fahamu hizo ni bei za mafuta ambayo hayajasafishwa ndio hutolewa takwimu zake na kuuzwa kwa pipa sio lita sasa umejiuliza gharama za kuyasafisha mpaka yanakuja kwako ikoje?....Lowassa hana uwezo wa kushusha mafuta bei tusijidanganye
 
Acha kujitoa ufahamu wewe, 2010 chama Fulani kilikuwa na Sera ya elimu bure kwa wrote kuanzia chekechea had I chuo, chama kikubwa na wanazi wake wakapinga katakata kwamba haiwezekani na kwamba haitakuwa, cha kushangaza Leo 2015 chama like like kikubwa kinajinadi na wagombea wao kuwa watatoa elimu bure iwapo watarudi tens madarakana kitu walichokipinga 2010. Sasa sisi wananchi wa kawaida tuwaeleweje? Kwa mantiki hiyo usilete ubishi kwamba being ya mafuta haiwezi kushuka, yeye anajua atafanyaje hadi halo hiyo itokee. Tusiwe wanazi kupitiliza kwa vitu ambavyo so kwa faida ya wengi. Watanzania tulipofikia mabadiliko lazima, tukiwapa nafasi wakashindwa kutekeleza ahadi zao tutawahukumu muda ukifika, ila kwa sasa acha tuwape nafasi.

Waelimishe, kushuka kwa bei inawezekana maana kuna kodi nyingi sana kwa mwananchi. Agencies kama Sumatra, Ewura tunazilipia kwa kukatwa kodi kwenye mafuta. Vigogo wachache ndiyo waagizaji wa mafuta kwa jumla, wakati Tipper na TPDC wakiachwa wanafanya siasa tu. Inawezekana bei ya mafuta ikashuka kabisa.
 
Hayo ndio mawazo tunayoyataka,keep it up Lowassa

Kweli we kilaza, je kakwambia anatafanya procedure gani ili yashuke bei? Tafakari sio kila jambo unaloambiwa ni kulipokea!!! Mkapa hakukosea nimeanza kuamini.
 
Mtimbo Wewe ndio unaweza kuwa Nyumbu,

FACTS: mafuta yalikua TZS 2100 wakati pipa likiwa USD 107 (sawa na TZS188,320 sawa na TZS941 per litre) bei ya mafuta ikashuka hadi USD 55 sawa na TZS 118,800 sawa na TZS594. Bei ya Mafuta mtaani ni TZS 2298

Angalia hapa: Bei ya lita mtaani ilikua TZS 2,100 wakati wananunua lita kwa TZS 941
sasa hivi bei 2,298 wakati wananunua lita kwa TZS 594.

SAWLI nani Nyumbu? Je kama kweli Lowasa kasema mafuta yatashuka kuna logic?

Note bei ilipokua USD107 exchange rate 1760 na sasa bei USD55 nimetumia exchange 2160

Kumbuka pia gharama za usafirishaji duniani zimeshuka kwa sababu ya kushuka kwa gharama za mafuta not considered.

Tujadiliane bila matusi

Mkuu bora hata ucngemjibu sizani kama ameelewa.! Mafuta ni shida kwa sasa.!! Hii serikali dhaifu na bei zao elekezi za Ewura ni majanga!! Labda ngoja tuusubiri uchaguzi upite.
 
wewe acha kujitoa fahamu hizo ni bei za mafuta ambayo hayajasafishwa ndio hutolewa takwimu zake na kuuzwa kwa pipa sio lita sasa umejiuliza gharama za kuyasafisha mpaka yanakuja kwako ikoje?....Lowassa hana uwezo wa kushusha mafuta bei tusijidanganye

Mkuu hebu mueleweshe, watu wa nasoma vichwa vya Habari then anakuja post JF, hivi hawa ukawa, duh kweli ukawa vilaza, mtu anatakiwa aje na takwimu sahihi, sasa huyo mang'ati wa babati dareda, kacopy, mahali bila kusoma Habari nzima kaja kupaste huku.
Hivi hawa ukawa akili itaacha kua likizo lini?
#hapa kazi tu
# mabadiliko pelekea vinyonga msituni
# safari ya Matumaini pelekea angaza
 
Tatizo bei ya mafuta inapangwa sebuleni kwa familia fulani...
 
Kweli we kilaza, je kakwambia anatafanya procedure gani ili yashuke bei? Tafakari sio kila jambo unaloambiwa ni kulipokea!!! Mkapa hakukosea nimeanza kuamini.

Elewa kuwa bunge la ndioooooo maccm waliongeza shilingi 100 kwa kila lita..
Huoni kuwa ni mzigo?

Kwa nini bei ya mafuta uganda,rwanda na zambia ni nafuu na hawana bandari?

Lowassa yupo sahihi.
 
kusema tu atashusha bei ya mafuta NYUMBU wanafurahi! hivi mmewahi kujiuliza atashushaje au ana visima vya mafuta!?
tumieni hiyo zawadi ya kichwa kwa kufikiri angalau kidogo sio kufugia nywele tu

Magufuli anasema atatumia usafiri wa barabara ili ateseke lakini anasahau yeye ni waziri wa ujenzi kwa miaka 5..shame on us
 
Back
Top Bottom