Usiombe rafiki yako awe adui yako!Lowasa na Jakaya walikua maswahiba wakubwa. Kama Nguza alifungwa kwa shinikizo basi yeye ni mshiriki mkubwa. Hawakukutana barabarani.
Malizia hadithi basi!Ni mtanzania gan asiyejua kua Babu seya alidhulumiwa, kafungwa kisa alikua anamega kisela mzigo wa kiwete! BIG UP LOWASA
Pia amtoe Sheikh Ponda.Lakini kwa jinsi nilovyoiona CV ya Lowassa katika Wikipedia,nadhani atawatoa watu wengi magerezani. Wewe you are shocked kusikia mtu anataka kuwaweka huru wafungwa. But we grew up listening to Malcolm X. Tunawachukia polisi na polisi wanatuchukia.
Kama babu seya aliingizwa kwa magumashi, atatolewa kwa magumashi!
Mkuu pengine ujue tu kwamba Lowasa anapesa hana uwezo wa kiakili na mawazo ya kufanya jambo lenye mtazamo wa kimaendeleo kwa watanzania anaweza majungu tu.hv amekosa hoja kwel za kueleza ule umati wote na kutoa hoja isiyo ya msingi kama hii yan afadhali hata yule wa mil 50 kila kijiji na laptop kila mwl
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania
Mwezi WA kumi naona mbali jamani looh
....ina maana hata baada ya kukata rufaa na kushindwa, bado kuna watu wanaamini umagumashi ktk ufidhuli wa babu seya? mbona tunakuwa tumejawa fikra za kimajungujungu...? ndivyo tunavyotegemea kwa kiwango hiki cha majungu kujenga nchi?
Nini babu seya mafisadi wote mramba,yona na yule wa Tbs atawatoa fu.ukawa mpaka sasa hawajishughulishi na ilani wapo busy kuzunguka na lowasa kutafuna mihela yake,wanategemea kushinda kwa umaarufu mgombea kitu ambacho si sahihiRejea katika katiba, utaona raid amepewa mamlaka ya kuwapa msamaha wafungwa wa sina gani/ makosa yepi then ndio ucomment tena...
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania
why not..
umesahau kuwa kuna msamaha wa rais?
nayo n sera..
Kila mzazi anajua uchungu wa mototo na mahangaiko anayopata mazazi katika kumlea mwanae, halafu anatokea "Mario" mwenye akili timamu anaanza kuchezea watoto wa wenzie anakamatwa anafikishwa katika vyombo vya sharia anahukumiwa anakata rufaa anashindwa nayeye anaridhika.
Halafu anatokea mtu mmoja kwa sababu anazozijua yeye anasema atamwachia huru mtu aliyepatikana na hatia ya kunajisi watoto, hapana kabisa huo upumbavu siwezi kuungana nao hata kama kwa namna gani.
Sote tunajua uchafu unaofanywa na hawa akina "Mario" sasa wanadhibitiwa mtu mmoja kwa njaa yake ya madaraka anataka kuwaachia huru, tutawatia kiberiti labda akiwaachia awarudishe makwao.
Wapo waliopatikana na hatia wakitetea haki zao, mfano fransis cheka, mbona hasemi atamwachia? wapo wanaohangaika jela kwa kutetea imani za dini yao kama sheikh Ponda na wapo walioko jela kutetea maslahi yao kama sheikh Farid hao kwake sio kitu ila huyu mbakaji tu.
Zipo NGO nyingi zi
mehangaika kutetea haki za watoto kama kuzuia ukeketaji, mimba za utotoni na haki ya elimu. Zimetumia fedha nyingi na rasilimali nyingi kupambana na matatizo ya watoto, leo mtu aliyewahi kushika nafasi za juu serikalini hili kwake sio hoja, anaona wabakaji ni watu wanaofanyiwa fitina tu, hapana.
Wakati wa sakata la Richmond bungeni, Niliwahi kumsikia mama kilango akilalamika kuletewa ki memo na chifupa kutoka kwa mheshimiwa sasa naamini hapa sio bure kwa huyu mwenzetu, tuchukue tahadhari.
Mkuu, kwa mahakama za Tanzania zilizojaa rushwa haki kutandeka ni ndoto! Inawezekana unasema hivyo kwa sababu hujakumbwa na yatakayokufanya ukautafuta mlango wa mahakama! Masikini au myonge kupewa/kupata haki yake ni kama ngekewa!!