gkrwangobe
Member
- Mar 28, 2015
- 34
- 5
Kumtoa km rais inawezekana sbb rais amepewa mamlaka ya kusamehe mfungwa wa kosa lolote
Eddy wewe ñdiye Mkulu mwenyewe au unatoka katika familia ya Mkulu?Just asking!
Heeee mbona ahadi zingine zitaleta sokomoko!Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania
Ni mahakamani hiyo hiyo ilimkataa mgombea binafsi baada ya kuwa wameshinda Kesi kote lakini Jaji Augustino Ramadhani akachakachua , huko mahakamani kuna mapungufu Yao na hayo ya babu seya ni Moja ya mapungufu . Mbona Kamati kuu na Kamati ya maadili ilimkata jina Jaji Ramadhan kwa kisingizio cha kutokuwa na Nidhamu? Jaji Ramadhan , bilali na Pinda hawakuwa na Nidhamu? Sasa iweje waendelee kutawala Nchi hii?kesi ya babu seya ina utata mwingi ni Kesi ya Ajabu ina mambo mengi nyuma ya pazia na chini ya kapeti.Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania
corrupt mhimili! ....tutamtoaNimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania
Rais ana mamlaka ya kumtoa mfungwa yeyote gerezani
Majaji wana kadi hai za CCM, tumeona mfano kwa Agustino Ramadhani.Kama babu seya aliingizwa kwa magumashi, atatolewa kwa magumashi!
Ukisikiliza wimbo wa bushoke wa msela jela utagundua kwamba familia ya babu seya imedondoshewa jumba bovu,wamefungwa kwa visa vya mapenzi,babu seya alikuwa anamega Demu wa Mkubwa wa serikali...."nimetoka kumcheck msela jela kaniambia ukweli wa kesi yake".
Mbona kama umekurupuka? Wewe unaona kichwa cha habari kwenye gazeti halafu unaenda kukitungia stori bila kusoma gazeti lenyewe kwa undani.Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.
Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?
Lowassa ataleta mgongano wa kidola.
Chanzo: Raia Tanzania