Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

Status
Not open for further replies.
vigezo vya msamaha vinaeleweka kuna mkosa ambayo hayana msamaha sasa sijui atatumia vigezo vipi huyu jamaa anatumia taaluma yaeya sanaa vizuri
 
shtuka wewe ile kesi ilitengenezwa na hukumu yao ilishafaamika hata kabla ya case, hujiulizi kwanini alifungwa na wanawe wote hadi aliyekua under age? unataka kusema mahakama haikujua kama yule kijana alikua mdogo?
nini kilisukuma wafumbie macho suala hilo? jamaa alipanga apoteze family nzima ila baada ya shinikizo kubwa ndio kwenye rufaa wakaachia wale wawili,ila ukipata file la hukumu ndo utajua kuna mambo mengi ambayo hayakutajwa hadharani.

Hivi kweli akina "Mario" huwajui kweli? Sitaki kuamini nawewe umeshalishwa shuntama.
 
Ni mtanzania gan asiyejua kua Babu seya alidhulumiwa, kafungwa kisa alikua anamega kisela mzigo wa kiwete! BIG UP LOWASA
Una uhakika na unachosema au unaropoka tu. Marando Mabere alikuwa wakili wao anajua kila kitu. Muulize atakuambia ukweli. Acha kuleta mambo ya kijiweni hapa
 
Kwa hiyo Lowasa anaamini Babu seya kaonewa? au kaona ni mtu muhimu sana hadi aachiwe? Kila siku tunawangisha vichwa kuangalia namna gani tutawalinda watoto wetu dhidi ya ukeketaji, ubakaji, mimba za utotoni, ukosefu wa elimu na ajira, halafu mshenzi mmoja anasema atamwachia huru mbakaji, kweli?

Watanzania tumekuwa wayahudi mara hii? leo hii wayahudi wanajutia kumsulubu yesu na kumwachia balaba, sie tunashangilia mtu anayetaka kumwachia mbakaji, kweli? Nimesikitika sana siko tayari kumuunga mkono Lowasa kwa namna yeyote ile nasimama peke yangu.
hakukutana na JK barabaran so anajua mchezo uliotumika kumfunga seya babu
huenda anajua namna kesi ilivyopikwa na ushahidi feki

leo hii serikali ikitaka kukupa msala kesho asubuhi itakutwa bunduki na kipande cha meno ya tembo chumbani
utasemwa bunduki iliporwa shtakishari na tembo aliuwawa KARIAKOO usiku alipokuja mjini toka maporini
 
Lowassa ni mgonjwa anajisemea hovyo. Kinachofanya kazi ni pesa zake na si yeye.

Signature yako:
Maajabu ya Tanzania, DJ wa klabu ya usiku anasafisha dhambi na kuweza kumfanya
"shetani kuwa Malaika".
Pedagogic at Heart

It contradicts with your religious beliefs (faith). Ni Mungu tu (Allah) pekee mwenye uwezo wa kumsamehe binadamu dhabi na si kinyume.
Kufuru hii utailipa siku Mungu atakapokuita mbele ya haki, na atakupa adhabu ya maumivu ya moyo kuanzia leo hadi uchaguzi mkuu utakapo kwisha.
We kaa na ushabiki wako kuwaita watu 'maarufu' mashetani. Hao mashetani wa kweli kweli mbona ndio unaowakumbatia??
 
Hii sheria mpya itatukamata wote humu zaidi ya buku kumi tunaopost uzushi uzushi na wiziwiziii
 
Rubbish!!! Una uhakika? Kasema lini? Na wapi? Kama una ushahidi nakushauri ukae kimya tu. Wewe ni chuki tu binafsi dhidi ya Lowassa inakusumbua. Polee!!!

Unaongea hovyo kama mlevi wenu Luwashaaa ..anasimama anasema shut up wakati huohuo anazunguka anawaomba kura aliowaambia shut up ..acheni matusi, semeni sera zenye mashiko si porojo za babu seya ..hayo ya babu seya nendeni kwenye familia yao kwasababu hill si concern ya maendeleo yetu, kama mnataka kutoa watu magerezani semeni kwamba mna Sera ya kutoa wafungwa magerezani
 
Nimestuka Lowassa kudharau utawala wa sheria. Babuseya alikata rufaa mahakama kuu ya Tanzania na kushindwa kwa kosa la ubakaji na udhalilishaji watoto.

Je Lowassa hautambui mhimili wa mahakama? Je utaachia wafungwa wote?

Lowassa ataleta mgongano wa kidola.

Chanzo: Raia Tanzania
mbona aden rage aliposamehewa na rais baada ya kufungwa kwa wizi wa mipira 50 tu ya adidas yenye thamani ya tsh 2500 kila mmoja hukuandamana ?
 
Kwahiyo mahakimu na majaji waliosikiliza shauri la Babu seya hawana maana? JK pamoja na mapungufu yake anaheshimu sana utawala wa sharia na uhuru wa mahakama. Halafu leo mpuuzi mmoja anataka kura kwa kutumia hila ovu! kwetu ukimsimamisha motto wa shule hata kama unamuuliza njia tu umekwenda na maji, utakula mboko na utalipa ngombe zisizopungua kumi, halafu mtu anataka kumwachia mbakaji, hapana kabisa.

Umesaahau Majaji wa ESCROW?
 
Hakuna dhiki wa dhiki, ipo siku Babu seya atatoka, Kwani ukweli wa mambo Anajua mwenyezi mungu ...
 
hakukutana na JK barabaran so anajua mchezo uliotumika kumfunga seya babu
huenda anajua namna kesi ilivyopikwa na ushahidi feki

leo hii serikali ikitaka kukupa msala kesho asubuhi itakutwa bunduki na kipande cha meno ya tembo chumbani
utasemwa bunduki iliporwa shtakishari na tembo aliuwawa KARIAKOO usiku alipokuja mjini toka maporini

JK atapata shida kubwa kumnadi Magufuli maana mtu mwenye siri zake nyingi yupo upande mwingine.Mwaka huu tutasikia mengi
 
msamaha kwa mbakaji watoto....?!!

Sio tu ubakaji na ulawiti pia. Siijui kwanini watu wanang'ang'ania kwamba kaonewa...jambo usilolijua. Nahofia kwa utawala wa Lowassa kama utakuja basi ubakaji, ujamabazi, madawa ya kulevya tutaona ni mambo ya kawaida
 
Nyie mliamini pesa za escrow sio za umma inakuwaje muamini babu seya na wanaye waliwabaka watoto kwa pamoja?
 
Unaongea hovyo kama mlevi wenu Luwashaaa ..anasimama anasema shut up wakati huohuo anazunguka anawaomba kura aliowaambia shut up ..acheni matusi, semeni sera zenye mashiko si porojo za babu seya ..hayo ya babu seya nendeni kwenye familia yao kwasababu hill si concern ya maendeleo yetu, kama mnataka kutoa watu magerezani semeni kwamba mna Sera ya kutoa wafungwa magerezani

Mtu huongea kilichoko moyoni mwake, sishangai huyu babu kumwona mbakaji hana hatia, huyu "Mario" alikuwa mwanamziki wa kwenye club za usiku, haiwezekani mtu akaamua kumlengesha tu bila sababu, kama alikuwa anakula mali ya mkubwa basi huyo mkubwa ni mtu mstaarabu sana, fikiri ni wewe mtu anamshangilia jamaa anaemega vitu vyako utamfikiriaje? Kwa kauli hii nakwambia itachochea mauji ya kutisha subirini picha kwenye magazeti ya Ijumaa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom