Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

Status
Not open for further replies.
Lowasa na Jakaya walikua maswahiba wakubwa. Kama Nguza alifungwa kwa shinikizo basi yeye ni mshiriki mkubwa. Hawakukutana barabarani.
Sasa wamekuwa maadui wakubwa kupita kiasi na uadui wao utatuletea mabadiliko makubwa mno tena mno!!
 
Jamani huu ujinga mwingine kama tukiukubali tutakuwa watu wa hovyo na tutachekwa watu dunia nzima, kuna taratibu za kuendesha mtu, after all babu seya ni nani katika kutafuta maendeleo ya nchi hii? Ama kweli akili ni nywele......

Hivi wewe unafanya mchezo mwanaume mwenzako kuolewa jela Tena bila hatia ,angekua baba yako ungefurahi eeh ???
 
Hili zee la ajabu sana kwani yeye mahakama?

Itakuwa wewe ni msahaulifu kiana, Jk alisamehe wale askari waliimwua Kombe majuzi tu hapa. Kwamba yeye hapo alikuwa mahakama? Msamaha wa raisi upo usijali
 
Lowasa na Jakaya walikua maswahiba wakubwa. Kama Nguza alifungwa kwa shinikizo basi yeye ni mshiriki mkubwa. Hawakukutana barabarani.

Babu seya kafungwa wakati wa mkapa, kikwete anaingiaje Hapo?
 
Hila tuache masihala mi Naona kma mshua aliteleza kidogo maana michepuko ilikuwepo kibao alafu visu kuliko huo
 
Nasikia kikwete ameagiza babu seya na mwanaye wabadilishiwe mashitaka ili isiwe rahisi kusamehewa kwa msamaha wa rais ajaye!!!!
Huyu baba ana roho ya kisasi sana ndo kinachoifanya hadi CCM isambaratike roho ya kukomesha imekigharimu chama chake
 
Tatizo watu hamshughulishi vichwa vyenu, mnashindwa kutafakar kwann kaongea hivyo
 
kilichowapeleka jela papii na nguza ni kitendo chao cha kujiliwaza na usingizi wa mkulu, wakaona haitoshi wakamtungia kabisa na wimbo wa SALIMA
Nadhani walibaka na kulawiti watoto wa shule za msingi.Je hicho ni kitendo chema?
 
Lowassa ni mgonjwa anajisemea hovyo. Kinachofanya kazi ni pesa zake na si yeye.

Completely rubbish!!!.Una ushahidi? Kasema lini? You better shut up, kama hauna ushahidi. Sijui umekula maharage ya wapi wewe??????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom