luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,788
Kumbe bora azungumze dakika mbili tu
akizungumza mda mrefu ndo kama haya sasa
what next?benki ya mama lishe?
Hivi bodaboda ni ajira?au ni tatizo la miundo mbinu mibovu?
Kila nchi hasa zilizoendelea zina bodaboda?
yeye akienda Ujerumani kutibiwa huwa anakuta bodaboda huko?
dunia imefika mwisho kumbe na wewe unaweza kuongea kitu cha kipuuzi kama hiki?? The boss seriously??? Yaan na wewe umeanza pointi za umbea umbea kama wanawake? Eti anaenda kutibisha ujerumani?? Kwani uwa anakuaga??? Mbona humzungumizii nduguyo na tezi dume???
Siamini aisee lowasa amewashika kubaya.
Anyway siwezi amini kuwa wewe ndo umeandika maneno haya.
Plz u a abig man i know u plz act as a man siasa zisikushushie heshima loh.
Siamini kama ni wewe umekosa pointi ukaanza kuzungumizia safari za watu waendao ujerumani au wewe ndo dr wake??? Umeanza kutoa siri za mteja wako??? Poleee