Lowassa "nitaanzisha benki ya bodaboda"

Lowassa "nitaanzisha benki ya bodaboda"

Hao mafisadi anaotakiwa kuwaongelea wapo wapi? Kama wapo sasa inakuaje hatujawahi kusikia wakishughulikiwa na tawala zilizopita?

Hii inathibitisha tu kuwa mgombea wa UKAWA kichwani kutupu.
Kwanza anamuachia Babu Seya, halafu haoengi chochote juu ya mafisadi.

Bado namuuliza anaenda Ikulu kufanya nini?
 
jamaa hakurupukivkuongea...hutafakari nackuona fursa ndo hutamka na hutaman kutenda

Ni kweli aisee ndio mana alikuja na lile wazo la kutuletea mvua ya kutengenezwa wapi vile?
 
Mabenki mengi ya nje yalianzishwa na watu wanaofanya kazi/biashara zinazofanana.

kiukweli hata mimi naanza kumpenda maana watanzania vijana ambao hawana vyeti vya kuajiriwa ni weni sana,, kama wazo hili litafanyiwa kazi basi litanusuru vijana wenye malengo ya maisha yao kwa kujiajili...
 
Mabenki mengi ya nje yalianzishwa na watu wanaofanya kazi/biashara zinazofanana.

kiukweli hata mimi naanza kumpenda maana watanzania vijana ambao hawana vyeti vya kuajiriwa ni weni sana,, kama wazo hili litafanyiwa kazi basi litanusuru vijana wenye malengo ya maisha yao kwa kujiajili...
 
Mabenki mengi ya nje yalianzishwa na watu wanaofanya kazi/biashara zinazofanana.

kiukweli hata mimi naanza kumpenda maana watanzania vijana ambao hawana vyeti vya kuajiriwa ni wengi sana,, kama wazo hili litafanyiwa kazi basi litanusuru vijana wenye malengo ya maisha yao kwa kujiajili...
 
Kumbe bora azungumze dakika mbili tu
akizungumza mda mrefu ndo kama haya sasa
what next?benki ya mama lishe?

Hivi bodaboda ni ajira?au ni tatizo la miundo mbinu mibovu?

Kila nchi hasa zilizoendelea zina bodaboda?

yeye akienda Ujerumani kutibiwa huwa anakuta bodaboda huko?

Yaani ni upuuzi juu ya upuuzi, akitoka hapo ataanzisha benki ya makondakta, benki ya madereva, benki ya wanafunzi waliokosa ajira.., you name it.

Yani CCM wamefanya watu wamekuwa desperate kiasi kwamba upuuzi wa upinzani hauchujwi tena. pathetic.
 
watu si wanataka mabadiliko, mabadiliko ndo hayo sasa hehe!
 
Io bank itasaidia wale wenzangu na mm ambao shule iligomaga ata ije ya bure,
 
Kumbe bora azungumze dakika mbili tu
akizungumza mda mrefu ndo kama haya sasa
what next?benki ya mama lishe?

Hivi bodaboda ni ajira?au ni tatizo la miundo mbinu mibovu?

Kila nchi hasa zilizoendelea zina bodaboda?

yeye akienda Ujerumani kutibiwa huwa anakuta bodaboda huko?

​afadhali angeahidi kuwajengea hospital ya mifupa!
 
Kumbe bora azungumze dakika mbili tu
akizungumza mda mrefu ndo kama haya sasa
what next?benki ya mama lishe?

Hivi bodaboda ni ajira?au ni tatizo la miundo mbinu mibovu?

Kila nchi hasa zilizoendelea zina bodaboda?

yeye akienda Ujerumani kutibiwa huwa anakuta bodaboda huko?


Hatuwezi kuwaondoa boda boda sasa the simplest ni kuwatafutia namna ya kukua na baadaye kuwaondoa wengi wao katika mitaji midogo ili waingie mitaji ya kati watengeneze fursa zingine, huku tukipunguza kila mwaka idadi ya boda boda zinazoingia barabarani, kwa scientific methods!!
 
mlipokuwa mnawazalisha Boda boda Mlitegemea wakiongezeka watapelekwa vyuo vikuu???
 
Mimi kama mdau wa boda boda ninaejitambua siwezi kulipelekea fisadi papa vijisenti vyangu nilivyodunduliza na boda boda jitu haliaminiki ktk hiyo benki
 
LOWASSA mkombozi wa wanyonge,mpe kura yako ya ndio!Achana na mfumo muovu.
 
Hao mafisadi anaotakiwa kuwaongelea wapo wapi? Kama wapo sasa inakuaje hatujawahi kusikia wakishughulikiwa na tawala zilizopita?
Mkuu Tanzanians deserve better.
Rais mtarajiwa mwenye IQ ndogo ya kutafutia upopulist kwa issue ya Babu Seya, hiyo ni hasara hata kwa UKAWA.
Hayo mambo magumu ya kucontrol uchumi na kushughulikia mafisadi, level yake ya competence hairuhusu.
 
Jinsi muda unavyokwenda, ndivyo true colors za Lowasa zinaonekana. Lowasa IQ yake imeshuka sana miaka hii 8 aliyokaa bila kazi yaani nikichekesho mtu anayatarajia kuwa rais na kuwa symbol ya taifa letu ana such low thinking capacity, mpaka sasa ni kichekesho na hata ni aibu mataifa mengine yanaposikia mgombea uraisi anasimamia haya katika kampeni:
- kumfufua Balali na kumleta nchini
- Kumtoa gerezani Babu Seya aliyehukumuwa na mahakama ya rufaa Tanzania
- Kuwatoa gerezani watuhumiwa wa ugaidi
- kuomba apewe kura na walutheri kwa kuwa na yeye ni mlutheri
- kuanzisha benki ya bodaboda
- kuondosha nyumba zote za nyasi tanzania
- elimu ya chuo kikuu bure (hakuna nchi iliyoendelea inayotoa degree ya bure, wanapewa mikopo
- kuhakikisha kila mtanzania atakuwa tajiri kama Bakhresa na Mengi

Lowasa ni aibu na fedheha kwa taifa...WE DESERVE A LOT MORE THAN THAT...
 
Kumbe bora azungumze dakika mbili tu
akizungumza mda mrefu ndo kama haya sasa
what next?benki ya mama lishe?

Hivi bodaboda ni ajira?au ni tatizo la miundo mbinu mibovu?

Kila nchi hasa zilizoendelea zina bodaboda?

yeye akienda Ujerumani kutibiwa huwa anakuta bodaboda huko?

Kweli ccm ina wqtu hawana akili kichwani kabisa,wana kamasi, unataka kusema vipaumbele vya ujerumani ni sawa na Tanzania?
Ccm ni janga kwa kweli,bongo za vijana wqke sijui zinaenda wapi wakati wa kufikiri.
 
Back
Top Bottom