Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,050
- 12,966
Japan ina eneo dogo kuliko Tanzania, tena wakazi wake ni zaidi ya mil 150. Ulisha sikia wameopt bodaboda kama ajira kwa vijana wao. Usimtetee Lowasa, hizo fikra za kizamani ndo zimetufikisha hapa. Tunataka fikra mpya. Lowasa anafanya repackaging fikra zilizofeli na kiziita mabadiliko. Tuache kuwatetea wagombea maana mwisho wa Siku sisi ndo tunaumia.
Tumia akili ndogo uliyonayo kufikiri, japan sio tanzania, uchumi wa japani sio wa tanzania, matatizo ya kiuchumi ya japani sio kama ya tanzania. Japani ni developed economy, tanzania ni kati ya nchi masikini zaidi duniani.
Sasa kama huwezi kutofautisha hilo kwa ujumla kichwani una kamasi sio akili na hukutakiwa kuandika huo uharo. Kama ni mifano toeni kwa nchi tunazolingana nazo kiuchumi, sio japan,ujerumani na fisi wengine watasema marekani.