JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,200
Lowasa hatoi taswira ya rais ambaye anaweza kutoa kauli ya kuinspire inayoweza kuwa quoted vizazi kwa vizaziNi bora wangekuwa wanamuandikia cha kuongea huyu jamaa, jamaa kichwani hakuna kabisa anaropoka yanayokuja kichwani tu,Bank ya bodaboda ya nini hizi bank tulizonazo za kazi gani?
yaani yeye hii kazi ya bodaboda imemvutia sana mpaka awafungulie na bank?