Lowassa "nitaanzisha benki ya bodaboda"

Lowassa "nitaanzisha benki ya bodaboda"

Nini cha ajabu hapo !!?? Kuna boda boda milioni 1 laki 1 na 20 kila boda boda mmoja akitoa hisa sh 10.000 .x milioni 1 tuu ni bilioni kumi.ni mtaji tosha wa kuanzisha benki 5 mpya kwa kiwango cha sasa hivi cha bilioni 2 .mtaji wa kuanzisha benki. Unashangaa nini huo ndio uongozi unatakiwa wa kuonesha njia.Lowasa raisi wetu. Na pili zingatia elfu kumi nipato la siku moja tuu.kwa boda boda.ataa kama ni dereva tuu atamudu .

Hesabu yako ni sahihi kimtaji. Swali: Je, kuanzisha benki ni kuwa na mtaji tu? Mfano ulio wazi, na unaotolewa sana humu jamvini (CCM na Vyama vya Upinzani, hasa UKAWA wakimpamba mgombea Urais) ni Sekondari za Kata. Matatizo ya Sekondari za Kata si majengo ni pamoja na huduma mhimu ikiwemo uhaba wa raslimaliwatu kuziendesha. Kwa mfano huo, Benki ya Bodaboda ni laghai ya mchana kweupe kupata kura zao. Hata bila kuwa Rais, mjasiriamali anaweza kuanzisha hiyo banki kama inalipa. Rais mtarajiwa atwambie mikakati aliyonayo ya kuweka mazingira mazuri ya kuwekeza au kufanya biashara inayolipa, kwa kila mtu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Tanzania watu wana mawazo mengi kweli kweli.....
 
Benki ya bodaboda? Dunia ya leo ya sayansi na teknolojia, Lowasssa anaona jibu kwa Tanzania ni kuwa bodaboda?

Watanzania tudai mdahalo wa wagombea urais! hapa kuna hatari ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Mdahalo, now!
 
Tatizo watu wengine mnafikiri kwa Masab......ri. Eleweni kuwa unaweza kutumia watu wenye matatizo katika umoja wao kuwaendeleza, bodaboda ni tatizo ila imewaunganisha vijana wakaacha uhalifu na wakafanya kazi ya halali, ili kuwatoa stage moja kwenda nyingine kwa kutumia umoja wao unaweza waanzishia bank yao hiyo itawafanya wapate mtaji wa kuanzisha miradi mingine yenye tija na faida zaidi kwa kuwatumia wenyewe ku-raise mtaji na kuwaongezea kidogo. Hivi huoni tatizo la Magamba kwenye kudharau maoni ya waTZ kwenye katiba mpya limezaa UKAWA ambayo imekwenda beyond katiba mpya iliyokuwa source ya kuundwa kwake na sasa inalikomboa taifa kutoka kwenye makucha ya mkoloni mweusi!Acheni masabur..... yafanye kazi yake tumieni akili kufikiri

Naomba nikuulize, inachukua muda gani toka benki kuanzishwa mpaka kuanza kutoa gawio la faida kwa wanahisa wake? Au ndo mpango wa kuwafanya bodaboda wawe bodaboda forever. Usiniambie kuwa watakopeshana maana taratibu zinazowafanya wasikopesheke kwenye benki nyingine ndo zitawafanya hata hiyo "bodaboda bank" isiwakopeshe. Vinginevyo labda awaundie saccos siyo benk.
 
Tatizo watu wengine mnafikiri kwa Masab......ri. Eleweni kuwa unaweza kutumia watu wenye matatizo katika umoja wao kuwaendeleza, bodaboda ni tatizo ila imewaunganisha vijana wakaacha uhalifu na wakafanya kazi ya halali, ili kuwatoa stage moja kwenda nyingine kwa kutumia umoja wao unaweza waanzishia bank yao hiyo itawafanya wapate mtaji wa kuanzisha miradi mingine yenye tija na faida zaidi kwa kuwatumia wenyewe ku-raise mtaji na kuwaongezea kidogo. Hivi huoni tatizo la Magamba kwenye kudharau maoni ya waTZ kwenye katiba mpya limezaa UKAWA ambayo imekwenda beyond katiba mpya iliyokuwa source ya kuundwa kwake na sasa inalikomboa taifa kutoka kwenye makucha ya mkoloni mweusi!Acheni masabur..... yafanye kazi yake tumieni akili kufikiri

Naomba nikuulize, inachukua muda gani toka benki kuanzishwa mpaka kuanza kutoa gawio la faida kwa wanahisa wake? Au ndo mpango wa kuwafanya bodaboda wawe bodaboda forever. Usiniambie kuwa watakopeshana maana taratibu zinazowafanya wasikopesheke kwenye benki nyingine ndo zitawafanya hata hiyo "bodaboda bank" isiwakopeshe. Vinginevyo labda awaundie saccos siyo benk.
 
Kumbe bora azungumze dakika mbili tu
akizungumza mda mrefu ndo kama haya sasa
what next?benki ya mama lishe?

Hivi bodaboda ni ajira?au ni tatizo la miundo mbinu mibovu?

Kila nchi hasa zilizoendelea zina bodaboda?

yeye akienda Ujerumani kutibiwa huwa anakuta bodaboda huko?

Na wewe pia unashindwa kuelewa Bigger Picture

Seriously?

Kuna tofauti gani kama akisema ananzisha benki ya Vijana? Kutaja bodaboda ni kulenga kundi maalum katika jamii

Mtaji unaweza kupatikan kwa wao kununua Hisa..Kipi cha ajabu?

Tatizo lenu mna myopic Thinking
 
Naomba nikuulize, inachukua muda gani toka benki kuanzishwa mpaka kuanza kutoa gawio la faida kwa wanahisa wake? Au ndo mpango wa kuwafanya bodaboda wawe bodaboda forever. Usiniambie kuwa watakopeshana maana taratibu zinazowafanya wasikopesheke kwenye benki nyingine ndo zitawafanya hata hiyo "bodaboda bank" isiwakopeshe. Vinginevyo labda awaundie saccos siyo benk.


Hapa EL amefungua mjadala....about how that is debatable
 
Benki ya bodaboda? Dunia ya leo ya sayansi na teknolojia, Lowasssa anaona jibu kwa Tanzania ni kuwa bodaboda?

Watanzania tudai mdahalo wa wagombea urais! hapa kuna hatari ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Mdahalo, now!

Benki ya Bodaboda=Benki ya Vijana

Kipi cha ajabu?
 
Hesabu yako ni sahihi kimtaji. Swali: Je, kuanzisha benki ni kuwa na mtaji tu? Mfano ulio wazi, na unaotolewa sana humu jamvini (CCM na Vyama vya Upinzani, hasa UKAWA wakimpamba mgombea Urais) ni Sekondari za Kata. Matatizo ya Sekondari za Kata si majengo ni pamoja na huduma mhimu ikiwemo uhaba wa raslimaliwatu kuziendesha. Kwa mfano huo, Benki ya Bodaboda ni laghai ya mchana kweupe kupata kura zao. Hata bila kuwa Rais, mjasiriamali anaweza kuanzisha hiyo banki kama inalipa. Rais mtarajiwa atwambie mikakati aliyonayo ya kuweka mazingira mazuri ya kuwekeza au kufanya biashara inayolipa, kwa kila mtu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA

Mna akili fui ndio maana mna defensive thinking

Yani always mko Pessmistic

Benki Ya Bodaboda=Benki ya Vijana
 
Benki ya bodaboda? Dunia ya leo ya sayansi na teknolojia, Lowasssa anaona jibu kwa Tanzania ni kuwa bodaboda?

Watanzania tudai mdahalo wa wagombea urais! hapa kuna hatari ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia. Mdahalo, now!
Nafikiri lowasa wa sasa siyo yule wa zamani. Huyu uwezo wake wa kufikiri umeshuka sana. Bahati mbaya hashauriki. Binafsi, naona Magufuli anaweza kuunda serikali sikivu kuliko lowasa. Wakati Magufuli atakuwa analenga afanye vizuri ili kazi zake zimbebe 2020, Lowasa atakuwa anasherehekea kutimiza ndoto ya urais, nothing more!
 
Kumbe bora azungumze dakika mbili tu
akizungumza mda mrefu ndo kama haya sasa
what next?benki ya mama lishe?

Hivi bodaboda ni ajira?au ni tatizo la miundo mbinu mibovu?

Kila nchi hasa zilizoendelea zina bodaboda?

yeye akienda Ujerumani kutibiwa huwa anakuta bodaboda huko?

Muulize kikwete, zile ajira mil moja ziwapi? Kama siyo hizo bodaboda??
 
Mna akili fui ndio maana mna defensive thinking

Yani always mko Pessmistic

Benki Ya Bodaboda=Benki ya Vijana
Maswala ya mstakabali wa nchi siyo yakufanyia mzaha. Vijana tudai ajira zenye STAHA siyo mabadiliko ya rangi za mavazi ya watawala. Tunayo ardhi, bahari na maziwa ambayo tukipata viongozi makini, hakuna Kijana atalazimika kuendesha boda boda kujikimu vinginevyo stake mwenyewe.
 
Atakua ameshauriana na Mzee ziro. Akifika Shinyanga mjini ataahidi benki ya waendesha baiskeli
 
Maswala ya mstakabali wa nchi siyo yakufanyia mzaha. Vijana tudai ajira zenye STAHA siyo mabadiliko ya rangi za mavazi ya watawala. Tunayo ardhi, bahari na maziwa ambayo tukipata viongozi makini, hakuna Kijana atalazimika kuendesha boda boda kujikimu vinginevyo stake mwenyewe.

Vijana wataamua...Tunampenda Lowasa....Bora Lowasa mara milioni kuliko CCM
 
Back
Top Bottom