Lowassa "nitaanzisha benki ya bodaboda"

Lowassa "nitaanzisha benki ya bodaboda"

Wakati alipokuwa waziri mkuu alikuja eti na idea ya kutengeneza mawingu kutatuwa tatizo la umeme alipotoka Thailand.

Nikawaambia huyu mtu mgonjwa watu hawakuniamini, sasa wanajionea wenyewe.

Lowasa ndio rais ajae wa Tanzania.
 
Jama kila anaowapitia anawaahidi atawaanzishia benk jana nimeona wengine wachungaji atawaanzishia benk
 
Jamani watanzania sijui nani katuloga yaani kuna watu wanaona kabisa Fisadi Lowassa anafaa kuwa rais?Anyways hivi Apson Mwang'onda yuko wapi siku hizi Lizaboni
 
Last edited by a moderator:
Wakati alipokuwa waziri mkuu alikuja eti na idea ya kutengeneza mawingu kutatuwa tatizo la umeme alipotoka Thailand.

Nikawaambia huyu mtu mgonjwa watu hawakuniamini, sasa wanajionea wenyewe.

Nawe je? Aloanguka mkutanoni jangwani alikuwa na tatizo gani?
 
benki ya bodaboda???????.



asee lowasa ni mwisho asee....ha ha ha ha


Bado ya mama ntilie, ya wauza vocha, makondakta, na makundi mbalimbali ambayo ni maskini. Si unajua anauchukia umaskini? Benki hizi zitawawezesha kupata huduma moja kwa moja na zitashamiri sana kwani maskini wako wengi. Pia atahakikisha anafutia kodi zote kwani zinazidi kuwafanya maskini.
 
Kupitia bank ni rahisi kuendelezwa na kuhamia hata kwenye bajaji ikibidi tax kabisa, yote hiyo inawezekana as long as kuna usimamizi

Vipi bank ya mamantilie, dreva taxi, makonda wa daladala, etc? Think big, huu si utaratibu mzuri.
 
Back
Top Bottom