Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
Nani anaitaka CCM, mafisadi? yes, vitoto vyao vilivyoko uvccm? yes, wapambe wanaokula makombo ya ufisadi kama Anold, Nanu, Salimia, Majimshindo, Nduka,Kaumza, Kashaga, itahwa et al? yeeeeeeeeeees!Pamoja na ukweli kuwa mimi si mwanachama wa ccm lakini kwa sasa huyu ndiyo tishio kwa wale wote watakao taka kugombea nafasi ya urais 2011 kwa ccm. .
Wananchi? HELL NNOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
CCM Mpitisheni Lowasa kugombea urais 2015, wananchi tupate nafasi ya kumhukumu, kumsulubu, kumrudi jambazi, fisadi, nyang'anyi, jangili lililomshinda JK na CCM yake.