Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
oyeeeeeeeeeeeee LONG LIVE LOWASALowasa hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
oyeeeeeeeeeeeee LONG LIVE LOWASALowasa hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
na itawaua wengi kama huyu mamluki hapaDuh! Ama kweli njaa mbaya.
uselessoyeeeeeeeeeeeee LONG LIVE LOWASA
Hakuna lolote hapa. Lazima wewe umelipwa pesa na Rostam Aziz au Lowassa mwenyewe. Lowassa ni kiongozi anayeleta aibu kwa Tanzania na kwa chama chake CCM. Ni mpenda mali, ana utajiri mkubwa usioweza kuelezeka (unexplained wealth). Kama wewe unamsifia Lowassa kwa utendaji kazi je Edward Moringe Sokoine ungesemaje? Waziri Mkuu mchapa kazi na mwenye msimamo ambayo Tanzania imewahi kumpata katika historia yake ni Edward Sokoine na Julius Nyerere aliyemtangulia.
Mawaziri wakuu wote waliofuata, ikiwemo Lowassa, ni bomu tu. Kuhusu Lowassa kuwa tishio, labda kwa CCM kwani hicho ni chama kilichotekwa na mafisadi. "Tishio" la Lowassa unalosema wewe ni kutokana na kuwa na pesa nyingi za kifisadi kuweza kununua kura za wana CCM na si kutokana na ubora wa uongozi.
CCM ina viongozi bora na "Tishio" zaidi kuliko fisadi Lowassa kwa utendaji kazi na uadilifu ambao wanafaa kuwa Rais. Nao ni Samuel Sitta, Harisson Mwakyembe, John Magufuli na Bernard Membe.
Lowassa na genge lake la mafisadi wakiwemo Rostam Aziz, Andrew Chenge, Nazir Karamagi, Yusuf Makamba, Peter Serukamba, Makongoro Mahanga, na wengine wanastahili kwenda jela si IKULU.
Hapo kweny red ndipo ulipochemsha. Kama sio vita ya uwaziri mkuu 2005 tusingeyajua yote ya RICHMOND. Huyo mwingine kitendo cha kuchukua Prime Properties za Serikali na kuziweka mikononi mwa m watu binafsi kinyume cha ibara 8 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania ni doa kubwa sana. hao wote ni MAFISADI TU.