Chechetuka
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 549
- 44
Geza Ulole, ngoja nikusanye orodha ya mashamba yake, sehemu yalipo na jinsi alivyoyapata. Nadhani hii itasaidia kumjua zaidi mwizi huyu wa mali za umma.
Jamani nisaidieni! Huyu Lowasa lini aliishi Mwanza na kumzalia huko huyu Fredrick kama siyo uongo huu ni nini hii? Nimeshindwa kuielewa hii picha. Halafu watu wana mihela mpaka wanaenda kununua majumba katikati ya London Jamani tutapona hapa kweli!??
Naamini watu mtaweza kukipakua na kutoa maoni yenu...
Kumbuka: Nyaraka hizi ni za SIRI KUBWA
Haya mambo tusubiri tuone, maana hiyo kampuni ya Integrated ni ya Wasomali ambao ni matajiri sana wana kampuni makubwa nje, lakini hebu tuangalie siri ya biashara za Wasomali kushamiri kwa kasi katika miji ya Dar es Salaam na Mombasa na hali ya sasa ilivyo, je Usalama wetu uko wapi?
Naambiwa hawa Intergrated wanannua majumba ya watu na viwanja kwa fujo maeneo ya Kurasini karibu na bandari yetu, je, watu wa TISS mpo? munalijua hilo maana hata watu nyeti wamelazimika kuuza nyumba zao huko maana jamaa wanatoa Cash kwa bei utakayo wewe
Naamini watu mtaweza kukipakua na kutoa maoni yenu...
Kumbuka: Nyaraka hizi ni za SIRI KUBWA
Inasikitisha. Angalau hivyo vijisenti wangekuwa wanaviwekeza huku huku vingesaidia uchumi wetu kwa namna fulani.
Halafu kila siku mnawaandama hao mnaowaita wahindi kuwa wanapeleka vijisenti nje!
Amandla......
Hahaha, mkuu taratibu... Nilimwangalia majuzi nikadhani bora nyaraka hizi tugawane na kulinganisha na kauli yake ya majuzi ambayo ni wazi inaashirikia mbio za kuelekea 2015