Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

Hawezi. Ataubadilisha jina tu. Mkumbuke kwamba yeye ni part ya huyo zimwi ambaye tunataka aangamie. There is no metamorphosis here. Ni kama kinyonga au pweza anayejibadilisha rangi.

WEWE UMETUMWA NAKUPOGEZA KWABIDIIIII!!!!! WAPUMBAVU NDO WATABADILI MAWAZO YAO ENDELEA KUSHAWISHI UNABIDII SANA NAKUPA GPA YA 4.8 FROM MZUMBE UNIVERSITY HONGERA fyuuuuuu
 
Hawezi. Ataubadilisha jina tu. Mkumbuke kwamba yeye ni part ya huyo zimwi ambaye tunataka aangamie. There is no metamorphosis here. Ni kama kinyonga au pweza anayejibadilisha rangi.
HIVI HAKUNA MAHAKAMA MPELEKENI JAMAN MSITULAGHAI WAPIGA KURA LOWASSA HATOSHA SANAAA MAANA UNATAKA TUPIGIE KOMEO NA HAYO MAJAMBAZ LUKUKI YALIYOJAA HUKO PAMOJA NA HUYO KOMEO WENU!!!!!!!HUNA JIPYA KIBARAKA WEWEe
 
Hii inazidi kuthibitisha kuwa Lowassa ni Fisadi wa viwango vya kimataifa. Ina maana wangekuwa wanasajiliwa, bila shaka Lowassa angekuwa fisadi wa kulipwa, tena kwenye klabu kubwa kubwa...

Mkuu habari ya asubuhi ....
 
duh, wacha tumpe urais kwanza hayo mengine baadae!!
 
Kuna wapambe wake wakiona hoja nzito nzito kama hizi wanarusha matusi kama Nyoka lakini hatujali tunakomaa nao mpaka kieleweke.Wachafu hawana nafasi ya kutuongoza hata kidogo.Mwl Nyerere aliwahi kumwambia Kawawa usiwe mjinga kama Lowassa.Refer bandiko la Mzee Kasori,sisi tunamwacha aruke ruke na kukusanya wajinga wajinga jina lake likifika Kamati kuu tunasogeza mtungu taratibu halafu tuna ua Panya.

Kweli mkuu naunga mkono hoja ...
 
siri sijaona, tatizo system tu hapa, kama tangu enzi za Nyerere, mzee huyu ni fisadi basi wao ndio waliomlea....wangemdhibiti tangu kipindi hicho....leo mnakuja na haya mashataka yake kwenye umma....eti ahukumiwe kwenye Uchaguzi tu.....ila angekaa nje ya siasa mnakuwa kimya.....tizama tangu aweke chini uawaziri mkuu....hakuna aliyepiga kelele......ila leo hii kaibuka nanyi mmeibuka....hivi mna msaada gani kama kweli huyu jamaa ni mbaya kiasi hicho?
Wananchi wa kawaida mnatuchanganya sana.....huku mitaani mtu akidhaniwa mwizi au ana makosa fulani yanayo thibitika haraka viongozi wa mtaa na wananchi hushughulika nae......nini tatizo huko juu? SITETEI ufisadi ILA ufisadi bila kuchuka hatua haina maana ....au hatua ya kumchukulia fisadi ni Kumnyima kura za kushika URAIS tu?
 
Mambo hadharani wenye mapenzi yenu mmepigwa upofu...ikulu si mahali pakwenda ila mtu.. anayetaka kwenda
 
Wakati Yesu akisulubiwa mara makutano wanaulizwa "kati ya Branaba na Yesu nimfungulie nani" wanaitikia "Barnaba"!
Kweli sasa naanza kuamini haya maneno ya Masoud Kipanya kuwa "Tanzania sasa imebalehe"!
 
siri sijaona, tatizo system tu hapa, kama tangu enzi za Nyerere, mzee huyu ni fisadi basi wao ndio waliomlea....wangemdhibiti tangu kipindi hicho....leo mnakuja na haya mashataka yake kwenye umma....eti ahukumiwe kwenye Uchaguzi tu.....ila angekaa nje ya siasa mnakuwa kimya.....tizama tangu aweke chini uawaziri mkuu....hakuna aliyepiga kelele......ila leo hii kaibuka nanyi mmeibuka....hivi mna msaada gani kama kweli huyu jamaa ni mbaya kiasi hicho?
Wananchi wa kawaida mnatuchanganya sana.....huku mitaani mtu akidhaniwa mwizi au ana makosa fulani yanayo thibitika haraka viongozi wa mtaa na wananchi hushughulika nae......nini tatizo huko juu? SITETEI ufisadi ILA ufisadi bila kuchuka hatua haina maana ....au hatua ya kumchukulia fisadi ni Kumnyima kura za kushika URAIS tu?
Word. Tunaishi katika jamii ya ajabu sana. Kibaka akinyakua simu au akiiba kuku anamwagiwa wese, anavishwa tairi shingoni na kupigwa kiberiti na wananchi wenye hasira. Lakini jizi fisadi linaabudiwa na kuonwa kama shujaa. Baada ya sakata la rada na kupoteza uwaziri wa miundo mbinu Chenge alipokelewa kule Usukumani kama shujaa wa aina yake. Leo hii wananchi hao hao ambao ni wa kwanza kumchoma moto kibaka wako hapa wanatumia nguvu zote kuhakikisha kuwa mtu ambaye ni fisadi anaingia madarakani. Jamii ya kinafiki inayoongozwa na viongozi wanafiki katika mazingira yaliyojaa unafiki. Ndiyo maana mimi sina imani na mwanasiasa ye yote na hata haya mabadiliko ya kinafiki yanayohubiriwa ni unafiki mtupu.
 
Sijoana cha ajabu(siri) kwa upande wa hizo barua za official search brela mtu yoyote anaweza pata kama akiomba na kulipia, labda kama kuna kingine naomba ufafanuzi
 
word. Tunaishi katika jamii ya ajabu sana. Kibaka akinyakua simu au akiiba kuku anamwagiwa wese, anavishwa tairi shingoni na kupigwa kiberiti na wananchi wenye hasira. Lakini jizi fisadi linaabudiwa na kuonwa kama shujaa. Baada ya sakata la rada na kupoteza uwaziri wa miundo mbinu chenge alipokelewa kule usukumani kama shujaa wa aina yake. Leo hii wananchi hao hao ambao ni wa kwanza kumchoma moto kibaka wako hapa wanatumia nguvu zote kuhakikisha kuwa mtu ambaye ni fisadi anaingia madarakani. Jamii ya kinafiki inayoongozwa na viongozi wanafiki katika mazingira yaliyojaa unafiki. Ndiyo maana mimi sina imani na mwanasiasa ye yote na hata haya mabadiliko ya kinafiki yanayohubiriwa ni unafiki mtupu.
walichinja hadi ng'ombe wa nyama ulushiku lwene vwoliaga na vuchele vwa makuvi ga ng'ombe siza.
 
Sijoana cha ajabu(siri) kwa upande wa hizo barua za official search brela mtu yoyote anaweza pata kama akiomba na kulipia, labda kama kuna kingine naomba ufafanuzi
Utaonaje wakati macho yako yamezibwa na mapenzi mahaba? Kwa hali ya sasa hata umkute Lowassa akiiba laivu au akichinja mtu utasema siyo yeye na badala ya kupiga makelele ya mwizi mwizi si ajabu utapayuka "Pipozi pawaaaaaaaaaaaaaaa!!!" Nilikuwa siamini katika misukule mpaka wakati huu. Shikamooooo Gwajima!
 
Back
Top Bottom