Naamini watu mtaweza kukipakua na kutoa maoni yenu...
Kumbuka: Nyaraka hizi ni za SIRI KUBWA
Invisible tuletee matokeo ya uchunguzi huo kama yamemtia hatiani frederick. na fahamu kuwa frederick sio edward na kwa namna yoyote hawezi kumhusisha baba yake na matukio yake. mfano ni miraji na baba yake kikwete
mtahangaika sana kila mbinu, lakini mwisho wa siku kama wananchi wameamua huyo fisadi awe raisi atakuwa tu. huyo huyo jambazi kuu ndio tunataka awe kiongozi wetu. na nitampta kura yangu. msijichoshe bure. tukutane oktoba.
Ndugu hata kama una mahaba ya dhati na Lowassa sema kweli iliyo kweli, moja ya vyanzo vya pesa ya Fredrick Lowassa ni kampuni ya Barare na Intergrated Property. Barare ni ya Lowassa na mke wake, Barare ina hisa Intergrated, utamtowaje Lowassa hapa?
mabel unachanganya mambo. mhusika ni frederick na sio edward, na frederick ni separate entity, leo unatuletea barare. hebu tuletee usajili wa barare kutoka brela unaoonyesha ni ya edward na regina kabla hatujakujibu hoja zako
Hii inazidi kuthibitisha kuwa Lowassa ni Fisadi wa viwango vya kimataifa. Ina maana wangekuwa wanasajiliwa, bila shaka Lowassa angekuwa fisadi wa kulipwa, tena kwenye klabu kubwa kubwa...
Nubaliana na wewe asilimia mia kwa mia