Jenerali Ambamba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 3,344
- 2,537
kama wewe ni maskini kufa na umaskini wako...LOWASSA Ndiye rais.
kama wameshindwa kumchukulia hatua tangu mwaka 2009, je ni wangapi ambao wana makosa kama haya au hata zaidi na hawajachukuliwa hatua kama huyu ndugu? Je asingehama chama angechukuliwa hatua? Ina maana tatizo hapa ni chama na nadhani wanaojenga hoja ya mfumo wana point.Mada ya 2011, CCM walimchukulia hatua gani?
Na akiwa rais we itakusaidia nini? Lowassa mwenyewe anakujua?kama wewe ni maskini kufa na umaskini wako...LOWASSA Ndiye rais.
Hii inazidi kuthibitisha kuwa Lowassa ni Fisadi wa viwango vya kimataifa. Ina maana wangekuwa wanasajiliwa, bila shaka Lowassa angekuwa fisadi wa kulipwa, tena kwenye klabu kubwa kubwa...
Bada ya kutoka ccm ndo uchunguzi unaanza duh shikamoo Tanzania
Tunampenda Lowassa sio kwa sababu ya uimara wa CDM,NCCR,NLD ama CUF,La hasha,ila ni kwa sababu ya udhaifu na mapungufu makubwa sana ya CCM.
Mi Lowassa nataka atusaidie kuuvunja mfumo tu!!!
Acha kupotosha watu ww inaonekana umetumwaTaratibu anahamishi mapungufu na uozo wa CCM na kuupeleka UKAWA. Chungeni sana namba hiyo.
Na akiwa rais we itakusaidia nini? Lowassa mwenyewe anakujua?