kilemi
JF-Expert Member
- Mar 13, 2009
- 547
- 108
Kwa Tanzania kuna kijana wa miaka 34 (Lowassa, Fredrick) kuwa tajiri kiasi hicho? Wakati wa miiko ya uongozi (Baba wa taifa) kupinga watumishi wakumiliki mali, mimba nyingi sana tena changa zilimilikishwa majumba ya kutisha!
Huu huu ndio utaratibu unaoendelea kwa "rais mtarajiwa"
Huu huu ndio utaratibu unaoendelea kwa "rais mtarajiwa"