Wizzo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 723
- 256
Watu ni wengi sana huku kwake wamekuja kumpokea kila mtu anabendela ya CHADEMA, wanabodaboda wameweka bendera za CHADEMA kwenye pikipiki na boshori za CHADEMA.
Mzee anajiandikisha kwenye BVR kwenye kituo cha Ngarashi. Watu wanashauku kujua ataongea nini.
Updates
Mzee amejiandikisha tayari ameelekea nyumbani kwake.Vijana wa bodaboda walizuia njia ili mzee aongee nao ila hajaongea kitu chochote na kaelekea nyumbani kwake.
Picha baadae
Mzee anajiandikisha kwenye BVR kwenye kituo cha Ngarashi. Watu wanashauku kujua ataongea nini.
Updates
Mzee amejiandikisha tayari ameelekea nyumbani kwake.Vijana wa bodaboda walizuia njia ili mzee aongee nao ila hajaongea kitu chochote na kaelekea nyumbani kwake.
Picha baadae