Ndo yule mwanamuziki wa Ufisadi ClassicLowassa ndo mwanamuziki gani hivi?
Tehetehetehetehe. Kwisha habari yake. Anaenda kuungana na msalitiNasikia ndo atampokea zito arusha teh teh teh!!!
Nitafurahi sana nikisikia Lowasa amechukua maamuzi magumu ya kujiuaTumsubiri na maamuzi magumu
Tehetehetehe.Anaenda nyumbani ACT
ki ki ki ki
Yaani itakuwa raha sana kama fisadi ataenda kuungana na msalitiAkijidanganya kwenda ACT atakutana na magamba huko kwani kesi iliyofunguliwa na limbu bado iko mahakamani akithubutu inaendelezwa mpaka mwisho wa uchaguzi yeye akuchunge ng'ombe tu monduli.
Muacheni mzee akapumzike. . . .
Ushauri mzuri sana huuinabidi apumzike maana kazi ilikuwa ngumu na matokeo ndo hayo tena:A S angry::A S angry:
Umeona eeeeh! Mafisadi wenzake wanadai chake. Sijui atapata wapi fedha za kuwalipaKwa zile mbwembwe zake na wapambe wake! Haachwi hata apumue
Kani huyu Lowasa si ndo alisema kuwa yeye ni mkubwa kuliko CCM na kwamba hakuna mwenye jeuri ya kumkata?Lowassa Amia ACT fasta ccm in a wenyewe.
Kwa wale wanaofikiri ngoma imeisha CCM huenda wakawa wanajidanganya na huenda kibaruakigumu ndio kimeanza rasmi kwa ccm
Imeelezwa kuwa lowasa na timu yake wametoweka dodoma tangu jana usiku na haijulikani ni mkakati gani unafata inaelezwa kuwa wazee walimsihi asiondoke lakini aligoma.
Nitawaletea zaidi