Lowassa na wapambe wake watoweka Dodoma

Lowassa na wapambe wake watoweka Dodoma

Asubuhi nilimuona Membe kajichanganya kwa watu wengi, ila alikuwapo!
 
Kuna uvumi kuwa anapanga namna ya kutoa tamko la kupigia kampeni ACT
 
Kwenu kuna ungua moto mnazima kwa wenzenu.hivi bavicha mnajua kwamba ukawa wameshindwa kufikia muafaka wa mgombea urais kwa Tamaa za padri slaa?
 
Hawa watu sijui kwanini hawakutaka kuhudhullia mkutano mkuu wakati ni watu muhimu sana kwenye chama

Nani anabisha kuwa DEAL ya kupata candidate aliye mtaka MKULU imekufa bila kutegemewa?
MKULU hakutegemea kuwa baadhi ya wanakamati wa CC watatoka nje na kueleza kutofuatwa kwa taratibu za kuwapata 5 bora. Ilikuwa ni kama imetoka kwa Mwenyezi Mungu yaani hao (DR. Nchimbi, Mhs Sofia Simba na Mhs Adam …..) WALIKUWA MALAIKA WAKE!

WANA JF hatuna budi kuwashukuru hawa jamaa hata kama walikuwa wako kwenye kambi ya EL. Maana bila hivyo huyo jamaa wa KUSINI alisha tayarishwa! Imekula kote yaani kwa MUKULU pamaoja na EL.
 
Lowassa akiwa Bagamoyo alisema Urafiki wake na Jakaya utaisha pale tu mojawapo atapo tangulia mbele ya Haki. Sasa sijui kama ushosti utaendelea
 
Jumapili Leo walienda kumshukuru Mungu kwa yaliyowakuta! Maana imeandikwa shukuruni kwa Kila jambo!
Ni ibada gani hao walienda kufanya? Mkutano umeanza aa tano kasoro za asubuhi ili kutoa fursa kwa wakristo kwenda kusali. Hao wana yao tu
 
Lowassa akiwa Bagamoyo alisema Urafiki wake na Jakaya utaisha pale tu mojawapo atapo tangulia mbele ya Haki. Sasa sijui kama ushosti utaendelea
Hana jinsi. Vinginevyo asubiri mwaka 2015
 
Kimbisa na sophia wamekuja mkutanoni..kaka nchimbi kagoma nafikiri yuko na kingunge wanatafakari wanarudi vipi kundini...

nchimbi ana mahasira uwaziri mkuu umemponyoka hiiiiiiiiiivvvvvviii hiiiiiiiiiiiviiiiii.
 
wasira na sitta siwaoni wala january makamba
 
nchimbi ana mahasira uwaziri mkuu umemponyoka hiiiiiiiiiivvvvvviii hiiiiiiiiiiiviiiiii.
Lowasa naye ana ulaghai wa kisiasa. Hivi ni kweli kwenye akili zako unaweza kufikiria kumpa Nchimbi uwaziri Mkuu?
 
Kuna uvumi kuwa anapanga namna ya kutoa tamko la kupigia kampeni ACT

inawezekana kabisa,hapa ningekua director wa TISS saahizi ningekua namonitor hawa watu,maana huezi jua,kama walithubutu kutaka kumvua jk umwenyekiti,wanaweza jaribu lolote lile.....

Trace these peoples communications like yesterday.....
 
Back
Top Bottom