Mkuu ni kweli wajomba wakutuletea misaada toka ulaya hatunao tena na hapa bila shaka wakatoliki wenyewe walitakiwa kujipanga badala ya kumtafuta mjomba mwingine toka kanisa la kilutheri kwa jina Lowasa. Hivi kwa mfano mkatoliki mwenzao Gachuma wa hukohuko Mwanza angeshindwa kusimamia shughuli hii?Mkuu, umenishangaza sana. Unazungumzia dini, dhehebu au kanisa kama jengo? Kama ni jengo ulitegemea lingejengwaje kama si kwa michango ya watu, hususan waumini? Au unafikiri bado wapo wajomba kutoka Ulaya wa kuwaletea pesa za kujengea nyumba za ibada kama awali? Kuhusu Mhe. EL, mimi nami sioni tatizo, si swala letu kuhukumu utakaso wa mtu, hata Bw. Yesu alikula na wadhambi, japo simaanishi kwamba Mhe. ni mmojawapo.