fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 391
waziri mkuu aliyejiuzuru kwa kashfa ya richmond amecheka tsh.milioni 10 jijini dar kuchangia kituo cha radio upendo fm.
Nini tafsiri yake lowasa kutoa kiwango cha mil.10 kila anapo ombwa kuchangia? Kwa nini hazizidi wala kupungua?
tafsiri yake ni kwamba anazo pesa..