Wadau naomba mnijuze labda mimi sifahamu! Nimekua namfuatilia sana Ndugu yangu Edward wa Monduli nikagundua kuwa huenda kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia. Kama mtakubaliana na mimi Mh Edward amekuwa akienda sana kwenye nyumba za Ibada na kutoa mamichango makubwa makubwa! kwanza sijui pesa zote hizo anatoa wapi? Afu mbona anachanga sana kuna nini kimejificha? Kuna wakati alikuja kwetu Tabora akatoa karibu milioni mia (100) je ni upendo wake kwa dini au kuna siri hapa! naomba mnijuze labda mimi namuhisi vibaya.....Nakutegemea sana ndugu yangu ukombozi katika hili.
Kaka punguza viroba, wanaweka gongo ya mafta ya taa humo ... naona ushaanza kudata!Wewe ni 6 Mwoga, wewe ni 6 mwoga km wale fisi wanaofugwa kule Tabora.Kwanini na wewe uistoe na kuongea kinyumbani uwaambie hivyo?Wewe ukienda monduli anawaambia masai asichague laioni unapigwa chini.Au anawaambi usichague kabila ingine unapigwa chini.Utatangatanga sana km kiumbe mwenye laana.huku ukikimbizwa kila mahali km mbwa koko aliyehasi nyumbani.Kila mtu napiga teke,jiwe, au hata kugonga.
Haya sasa elezea utakayo kwani hata wewe umepitapita sana....
Wadau naomba mnijuze labda mimi sifahamu! Nimekua namfuatilia sana Ndugu yangu Edward wa Monduli nikagundua kuwa huenda kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia. Kama mtakubaliana na mimi Mh Edward amekuwa akienda sana kwenye nyumba za Ibada na kutoa mamichango makubwa makubwa! kwanza sijui pesa zote hizo anatoa wapi? Afu mbona anachanga sana kuna nini kimejificha? Kuna wakati alikuja kwetu Tabora akatoa karibu milioni mia (100) je ni upendo wake kwa dini au kuna siri hapa! naomba mnijuze labda mimi namuhisi vibaya.....Nakutegemea sana ndugu yangu ukombozi katika hili.
Wadau naomba mnijuze labda mimi sifahamu! Nimekua namfuatilia sana Ndugu yangu Edward wa Monduli nikagundua kuwa huenda kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia. Kama mtakubaliana na mimi Mh Edward amekuwa akienda sana kwenye nyumba za Ibada na kutoa mamichango makubwa makubwa! kwanza sijui pesa zote hizo anatoa wapi? Afu mbona anachanga sana kuna nini kimejificha? Kuna wakati alikuja kwetu Tabora akatoa karibu milioni mia (100) je ni upendo wake kwa dini au kuna siri hapa! naomba mnijuze labda mimi namuhisi vibaya.....Nakutegemea sana ndugu yangu ukombozi katika hili.
Kaka punguza viroba, wanaweka gongo ya mafta ya taa humo ... naona ushaanza kudata!
Nimeipenda, naona sasa ameona kupitia kanisani hailipi, ameanza kutafuta kura za machinga...Kwa kiasi kikubwa kanisa la Tanzania, ukiondoa Roman Catholic na KKKT, limejitia kwenye unajisi kwa kupokea fedha ambazo hazijulikani vyanzo vyake kutoka mfukoni mwa mtu ambaye hata baba wa Taifa, Mwl.Nyerere mwaka 1995 alitahadharisha juu ya uadilifu wa mtu huyo, yaani, Edward Ngoyai Lowassa.
Tangu, Mwl.Nyerere aoneshe hofu ya wasi wasi wake kwa Lowassa juu ya mwenendo wake hatujapata kumsikia Lowassa ama taasisi yoyote ikimsafisha.
Kwa hivyo, kanisa la RC na KKKT walikwisha kataa makanisa yao kutumika kuwasafisha mafisadi na kutumika kutakatifisha fedha haramu za watuhumiwa. Rostam Aziz aligonga mwamba alipojaribu kutumia kwaya ya KKKT Kinondoni kuinajisi madhabahu.
Kanisa limeonekana kutimiza unabii unaosema ,"...siku za mwisho watu watapenda fedha na kujitenga na utauwa..."