Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,556
- 1,393
Yuko mtu hapa anayeweza kusema mbele ya macho ya Mungu yeye ni bora kuliko Lowasa? Hakuna! Kidini msimamo ni huu: usihukumu ili usije kuhukumiwa!
Kuna anayetaka kusema hapa Lowasa anyimwe kushiriki katika shughuli za kiroho kama kuchangia ujenzi wa kanisa? Kama anaruhusiwa kushiriki na kama Parokia imeona ana uwezo mkubwa wa kuwasaidia, kwanini wasimwalike?
Ukitaka unaweza kumtenga Lowasa kisiasa, ila ukitaka kumtenga kiroho unafanya kosa kubwa. Unakiuka amri ya Mungu inayosema usihukumu (kiroho).
Kuna anayetaka kusema hapa Lowasa anyimwe kushiriki katika shughuli za kiroho kama kuchangia ujenzi wa kanisa? Kama anaruhusiwa kushiriki na kama Parokia imeona ana uwezo mkubwa wa kuwasaidia, kwanini wasimwalike?
Ukitaka unaweza kumtenga Lowasa kisiasa, ila ukitaka kumtenga kiroho unafanya kosa kubwa. Unakiuka amri ya Mungu inayosema usihukumu (kiroho).