Mkuu suala la kuongea kiingereza kwa shida haina maana kuwa huyo mtu hajui kiingereza,maana hiyo elimu aliyonayo ameipata kwa lugha ya kiingereza,sasa ukiniambia hajui kiingereza nitakushangaa. Kuongea kiingereza kwa shida ni tatizo la wengi ila halina maana kuwa hawajui.
Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri
kiingereza ni lugha ya waingereza. we leo ukijifunza kispanish, au kirussia, tukucheke kwa sababu hujui vizuri?? kwani ni lugha yako ya kuzaliwa?....kujua kingereza sana sio sifa nzuri, ni dalili ya kutawaliwa kiutamaduni (cultural imperialism)
Mkuu kutokujua kiingereza au kuongea kiingereza kwa shida bado ni aibu kwa Taifa. Kiingereza kama kilivyo kiswahili kuwa lugha yetu ya Taifa ilitakiwa tukiongee vizuri bila kusitasita!! Kushindwa kufanya hivyo ni dalili za elimu mbovu tuliyopewa na CCM. Imagine mtu aliyesoma miaka ya 70 anapata kigugumizi, sasa sisi wa miaka ya 90 kabla hata ya academy inakuwaje!!?
Mbona kaongea vizuri kbs.Ulitaka aongee kama Hashim Thabit wabongo tunawadudu na funza kichwani sio bure.
T
Taaluma na Lugha ni vitu viwili tofauti, Taaluma hupatikana kwa kichina, kireno, kihispania, kijerumani nk, kuongea kingereza si Usomi na kutojua kingereza si Aibu kwani si Lugha mama ya Taifa, wapo Marais kibao hawajui kingereza na wakienda kule UN hutoa Hotuba kwa Lugha zao mama hawakuendekezi kingereza Kama malimbukeni wa Tanzania.Mkuu kutokujua kiingereza au kuongea kiingereza kwa shida bado ni aibu kwa Taifa. Kiingereza kama kilivyo kiswahili kuwa lugha yetu ya Taifa ilitakiwa tukiongee vizuri bila kusitasita!! Kushindwa kufanya hivyo ni dalili za elimu mbovu tuliyopewa na CCM. Imagine mtu aliyesoma miaka ya 70 anapata kigugumizi, sasa sisi wa miaka ya 90 kabla hata ya academy inakuwaje!!?
Ushawahi kufikiri kwa nini watu huongea kiingereza kwa shida? Na si hapa afrika.
Tumekariri good english lazima uongee American Accent.Ila tutaamka tuu.Umenena Mkuu, mfano hapo Kama anayemsikiliza ni Mzungu wala asingeshangaa! Mtu mwenye matatizo ni huyu huyu mweusi mwenzetu tena mwingine anamshangaa Lowasa ukimwambia aongee yeye unakuwa vioja, huu ulimbukeni mkubwa sijui utaisha lini?
Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri
Mdau umewahi kumsikia Lowassa akizungumza kiingereza????hebu mtazame hapa rais wetu huyu mpya halafu just imagine siku yuko cnn anahojiwa na Larry King na hivi vingereza vya kuandika kwanza then kukariri
Limbukeni namba moja ni lowassa kwa kujikakamua kuongea iko kiingereza chake,kulikua na ulazima gani kwani,Si angeongea lugha anayoimudu tu,kumbe ushamba wa kubabakia viingereza unawasumbua mpaka marais watarajiwa sio walevi tu!Taaluma na Lugha ni vitu viwili tofauti, Taaluma hupatikana kwa kichina, kireno, kihispania, kijerumani nk, kuongea kingereza si Usomi na kutojua kingereza si Aibu kwani si Lugha mama ya Taifa, wapo Marais kibao hawajui kingereza na wakienda kule UN hutoa Hotuba kwa Lugha zao mama hawakuendekezi kingereza Kama malimbukeni wa Tanzania.
Taaluma na Lugha ni vitu viwili tofauti, Taaluma hupatikana kwa kichina, kireno, kihispania, kijerumani nk, kuongea kingereza si Usomi na kutojua kingereza si Aibu kwani si Lugha mama ya Taifa, wapo Marais kibao hawajui kingereza na wakienda kule UN hutoa Hotuba kwa Lugha zao mama hawakuendekezi kingereza Kama malimbukeni wa Tanzania.
Kizuri sana ukilinganisha na kiingereza cha Ji Jinping wa China au Kagame wa Rwanda ... Putin et al ... its all about deliverables .... Lowassa Jembe la Ukweli ...
Limbukeni namba moja ni lowassa kwa kujikakamua kuongea iko kiingereza chake,kulikua na ulazima gani kwani,Si angeongea lugha anayoimudu tu,kumbe ushamba wa kubabakia viingereza unawasumbua mpaka marais watarajiwa sio walevi tu!