The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,206
- 17,359
Mswahili eti akijua kingereza na yeye anataka aongee kwa kubana pua Kama Raia wa America, huu ulimbukeni unapaswa ukemewe kwa nguvu kwani Wenye Lugha Yao wao hawana shida kwenye matamshi na hata ukiongea kingereza kibovu wanakuelewa pasipo kukushangaa kwani wanajua kuwa wewe haukuzaliwa London.
Hivi nani alikudanganya kuwa huko London ndiyo wanazungumza Kiingereza kizuri!!? Tatizo siyo accent bali ni ufahamu wa lugha!!