Lowassa, Maalim Seif waishika Zanzibar!

Lowassa, Maalim Seif waishika Zanzibar!

Nina wasiwasi wewe sio raia wa Tanzania! VITA unaijua wewe?? Unafikiri utajamba tena vita ikitokea? Huyo LOWASSA ana cheo gani cha kutoa tamko kwenye Nchi hii? Sisi tunasubiri Uchaguzi Machi 20 na mshindi atapatikana kihalali!!
Kilichofanya mshindi mwanzoni asipatikane kihalali ni nini?
Maana kama kimerekebishwa tunaweza kuwa na imani kuwa wakati huu mshindi atapatikana kihalali.

Huwezi kurudia hesabu kwa formula ileile ukapata jibu tofauti.

Ni Maalim na Zanzibar au tukose wote!
 
dumbshits/
znz ni nchi ya kimapinduzi,haiwezi kuondoka kwa makaratasi!!""
NADHANI HILI NI JAWABU TOSHA KWA CUF NA JUHUDI ZAO.
.....kama ilivyowahi kutamkwa hapo awali na dada yetu marehemu, na wengi!.
 
Pamoja na mabaya yote, vita huwa vina faida zake na ndio maana vinatokea.
Na wakati mwingine huwa kuna vita vya lazima kama vita dhidi ya waNazi.

Vita kuu ya pili ya dunia ni moja kati ya vita ambazo pande zote; walioshinda na walioshindwa, wote walifaidika na vita.

Walioshinda waliushinda udikteta na walioshindwa walifunguliwa kutoka kwenye minyororo ya udikteta.

Ni thawabu kwa Mungu kuifungua CCM kutoka kwenye minyororo ya udikteta.
""moja ya faida ni kuheshimiana""
 
Mimi nadhani kwenye bunge kila asubuhi ule wimbo wa maalim seif ,maalim seif uridiwe kila siku kama ile suku lipofunguliwa bunge .iwe ndio nyimbo ya ufunguzi kwa ukawa
 
Nina wasiwasi wewe sio raia wa Tanzania! VITA unaijua wewe?? Unafikiri utajamba tena vita ikitokea? Huyo LOWASSA ana cheo gani cha kutoa tamko kwenye Nchi hii? Sisi tunasubiri Uchaguzi Machi 20 na mshindi atapatikana kihalali!!
ukweli una sifa moja kubwa , haujifichi .
 
Pamoja na mabaya yote, vita huwa vina faida zake na ndio maana vinatokea.
Na wakati mwingine huwa kuna vita vya lazima kama vita dhidi ya waNazi.

Vita kuu ya pili ya dunia ni moja kati ya vita ambazo pande zote; walioshinda na walioshindwa, wote walifaidika na vita.

Walioshinda waliushinda udikteta na walioshindwa walifunguliwa kutoka kwenye minyororo ya udikteta.

Ni thawabu kwa Mungu kuifungua CCM kutoka kwenye minyororo ya udikteta.
Mungu wa mbinguni akulinde na mabaya yote mkuu , wewe ni mwandishi wa kiwango cha juu sana , umeutupa unafiki na kuukumbatia ukweli .
 
Pamoja na mabaya yote, vita huwa vina faida zake na ndio maana vinatokea.
Na wakati mwingine huwa kuna vita vya lazima kama vita dhidi ya waNazi.

Vita kuu ya pili ya dunia ni moja kati ya vita ambazo pande zote; walioshinda na walioshindwa, wote walifaidika na vita.

Walioshinda waliushinda udikteta na walioshindwa walifunguliwa kutoka kwenye minyororo ya udikteta.

Ni thawabu kwa Mungu kuifungua CCM kutoka kwenye minyororo ya udikteta.
For that matter ur recommending people of Zanzibar to do the same thing so as to benefit from the results...... Will you be in the front line ready for the battle?
 
dumbshits/
znz ni nchi ya kimapinduzi,haiwezi kuondoka kwa makaratasi!!""
NADHANI HILI NI JAWABU TOSHA KWA CUF NA JUHUDI ZAO.
.....kama ilivyowahi kutamkwa hapo awali na dada yetu marehemu, na wengi!.
Huyo alietamka hayo leo yuko wapi? Mungu mkubwa aise kamnyofoa roho yake tena kwa maumivu makali km wanayoyapata wa'znz kwa kudhurumiwa haki zao
 
Leo isingekuwa Jumapili ningekutukana tusi zito mleta mada. Eti "Ukawa kutoa mwelekeo mpya wa kiasiasa Zanzibar".
Ndiyo ushamtukana hivyo, MUNGU haangalii midomo yenu inapotamka maneno bali mioyo yenu inapoumba hayo maneno. Dah! ajabu sana ndugu yangu, yaani wewe mungu wako anaishia Jumapili!!??
 
Matamko kila uchao,uchaguzi machi 20,msije kusema hankujiandaa
 
dumbshits/
znz ni nchi ya kimapinduzi,haiwezi kuondoka kwa makaratasi!!""
NADHANI HILI NI JAWABU TOSHA KWA CUF NA JUHUDI ZAO.
.....kama ilivyowahi kutamkwa hapo awali na dada yetu marehemu, na wengi!.
haya yuko wapi na jeuri yake sasa ?
 
Lowassa akiandika kitabu cha maisha yake, kitauza sana. Amekutana na mengi, ameyasikia mengi. Huu ni ushauri wa bure kwa watoto wake na marafiki zake wa karibu. Haitakuwa haki ikiwa Lowassa ataishi mpaka siku ya mwisho ya uhai wake duniani bila ya maisha yake kuwekwa kwenye mfumo wa kumbukumbu. Haitakuwa fair kwa watanzania wa leo hii na wale wa vizazi vijavyo.
 
For that matter ur recommending people of Zanzibar to do the same thing so as to benefit from the results...... Will you be in the front line ready for the battle?
War is one place where there is glory enough for everyone.
Zanzibaris have nothing to fear exept fear itself.

Zanzibar politics has come to a place where civil disobedience is a civic right, even a duty for everyone who waship democracy.
 
Haya MATAMKO MAZITO yanakuwaga pumba kabisa! Rejea zile kauli za KUTOA TAMKO ZITO nyakati za kampeni huku bara!
 
Pamoja na mabaya yote, vita huwa vina faida zake na ndio maana vinatokea.
Na wakati mwingine huwa kuna vita vya lazima kama vita dhidi ya waNazi.

Vita kuu ya pili ya dunia ni moja kati ya vita ambazo pande zote; walioshinda na walioshindwa, wote walifaidika na vita.

Walioshinda waliushinda udikteta na walioshindwa walifunguliwa kutoka kwenye minyororo ya udikteta.

Ni thawabu kwa Mungu kuifungua CCM kutoka kwenye minyororo ya udikteta.
Mkuu huyu jamaa anaekulaumu anajifanya eti hazisikii zile kauli za kama mnataka madaraka zanzibar basi na nyinyi pindueni .yaani maana pindueni si ni sawa tu na kauli ya vita
 
Kwa vile zanzibar ina bunge,bendera na katiba yake nashauri upelekwe mswaada wa kufuta vyama vingi tuondokane na kadhia hii ya malumbano
 
Back
Top Bottom