Ni kweli watanzania hawajui vita hivyo nina wasiwasi wewe unaejua vita sio mtanzania, yawezekana umeexperience some where!! sasa uko TZ unaenjoy "kuj..." nchini mwetu. !! Nahisi siku ya uchaguzi utaja....sana tu!Nina wasiwasi wewe sio raia wa Tanzania! VITA unaijua wewe?? Unafikiri utajamba tena vita ikitokea? Huyo LOWASSA ana cheo gani cha kutoa tamko kwenye Nchi hii? Sisi tunasubiri Uchaguzi Machi 20 na mshindi atapatikana kihalali!!
Wewe ndo umemuelewa hivyo.Naona unaandika ukitamani machafuko yatokee na unadhani yakitokea mtakuwa mmeikomoa CCM!!!!
Huu unaoludiwa ni batili ule wa mwanzo ndio ulikuwa halali.. Ccm ni wapuuzi sana huu ubabe wao una mwisho..Nina wasiwasi wewe sio raia wa Tanzania! VITA unaijua wewe?? Unafikiri utajamba tena vita ikitokea? Huyo LOWASSA ana cheo gani cha kutoa tamko kwenye Nchi hii? Sisi tunasubiri Uchaguzi Machi 20 na mshindi atapatikana kihalali!!
ivi mkuu anaetamani machafuko ni nani kati ya huyu mtoa mada na yule anaefuta matokeo halali kirahisi tu kisa kala mweleka?Naona unaandika ukitamani machafuko yatokee na unadhani yakitokea mtakuwa mmeikomoa CCM!!!!
Kwa nini serikali ya ccm haifanyi kazi kwa kufanya uchunguzi kwanza wa kina kubaini maovu ndani ya jamii bali wanatawala kwa hofu nyingi hawatumii na kuzingatia utawala wa sheria jambo hili ni baya sana..subiriniNaona unaandika ukitamani machafuko yatokee na unadhani yakitokea mtakuwa mmeikomoa CCM!!!!
Angejibu kwa hekima ingekuwa big deal,frustrations must be killing him.kwa kuwa umeuliza swali kipumbavu haina budi na wewe kujibiwa kijinga
nadhani hujamuelewa mtoa mada, rudia kuisoma,Naona unaandika ukitamani machafuko yatokee na unadhani yakitokea mtakuwa mmeikomoa CCM!!!!
ccm wanatengeneza maandalizi ya kupigana sisi kwa sisi na si kuleta umoja na amani miongoni mwetu, uchaguzi ukishafanyika kwa amani na mmoja akaonekana ameshinda apewe haki yake yakuchaguliwa na wananchi wake lakini wao ccm hawataki wengine washinde.""moja ya faida ni kuheshimiana""
sisi kina gogo la shamba tulishaadharisha hayo mapema ila kuna mwana ccm mmoja alinishambulia sana nikamuambia aweke kumbukumbu ya taadhari yangu ili yatakapotokea akumbuke,sasa dalili zimeanzaHaiwi haiwi uvumivu sasa umefikia mwisho ,Polisi wa Muungano wapo njiani wakisaidia juhudi za mwizi kuendeleza wizi kwa maana sasa wananchi kila mmoja kwa upande wake anatoka njiani kifua mbele kupinga hatua za CCM kutaka uchaguzi urudiwe kwa kuwa ilipigwa na chini ,wanachi wakati wa kulazimishwa kuekewa utawala wasio uchagua umepitwa na wakati.
Polisi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wapo njiani kupambana na wananchi wenye hasira kali ,muda huu ni mabomu kila kona na pia inasemekana zimesikika risasi za moto.
Kama huamini mpigie simu aliepo Zanzibar.
Una uhakika ? Sasa nakuambia kuwa watu wameamua kufunga maduka na bomu limerushwa ndani ya nyumba ya mtu ,mwenye nyumba kawatokea wakasema wamelirusha kwa bahati mbaya ,na mabomu yanaendelea ,polisi wanasema wanafukuza jamaa eti sio waTz na jana kumeshushwa majeshi kibao ,ila watu wakiamua kufa basi hio sio dawa mtawauwa wengi tu.
Ila ulizia kati ya Mlandege na raha leo kuna nini hivi sasa !
Mimi mwenyewe naitamani maana mmezidi kututishia haya na vije kama vyaja.Nina wasiwasi wewe sio raia wa Tanzania! VITA unaijua wewe?? Unafikiri utajamba tena vita ikitokea? Huyo LOWASSA ana cheo gani cha kutoa tamko kwenye Nchi hii? Sisi tunasubiri Uchaguzi Machi 20 na mshindi atapatikana kihalali!!
Katika tabia mbovu ambayo inabidi ipigwe vita kwa nguvu zote ni ile ya mtu kupenda mabaya yatokee nchini mwake. Hakuna usaliti mbaya kama ule unaofanywa dhidi ya nchi ambayo Baba yako na Mama yako wamezaliwa, nchi unayoita nyumbani. Mtu akiwa na utimamu wa akili zake anamuombea mabaya Diamond ashindwe kupata tuzo huko nje, anamuombea mabaya Mbwana Samatta asipate tuzo ya Afrika, halafu ni mtanzania kama huyo anayemuombea mabaya. Mtanzania anafurahia habari mbaya za mwenzake, hili pepo sijui limetoka wapi. Mnigeria akimkuta mwenzake nje ya nchi lazima atambeba asiadhirike, lakini kule Sweden miaka ya nyuma alikuwepo mtanzania aliyefanya kazi ya kuwachoma watanzania wenzake kwa na mamlaka za serikali. Roho mbaya inatangulizwa mbele badala ya utu. Sijui huu ukosefu wa upendo kiasi hiki umetoka wapi, labda wataalam wa saikolojia wanaweza kuwa na majibu.
That is the spirit!!!
Mimi mwenyewe naitamani maana mmezidi kututishia haya na vije kama vyaja.
CCM ina nguvu na ushawishi ndani ya Tanzania, nimeongelea mentality ya kitanzania kwa ujumla. Tabia ya mtu kufurahia kushindwa kwa mwenzake, tabia ya mtu kuwa tayari kumsaliti msanii au mwanamichezo wa Tanzania kwa faida ya yule wa Nigeria. Naongelea tabia ya wadau wa yanga na simba kuwa tayari kuzisaidia timu za nje eti ili kumkomoa mtani wa jadi!. Naongelea mambo mengi kwa wakati mmoja, naongelea kutopendana kwetu. CCM inayo madhambi yake lakini yapo mengine ambayo wataalam wa akili wanaweza kutusaidia katika kuyatatua.Haihitaji mtaalamu wa saikolojia kujua chuki miongozi mwa watanzania inapandwa na CCM na serikali yao kwa kulea na kuchochea dhuluma katika taifa.
Wakiwatendea wananchi haki wala hautakaa usikie hizi vurugu na chuki zikiendelea.
Ni hayo tu.