Lowassa, Maalim Seif waishika Zanzibar!

Lowassa, Maalim Seif waishika Zanzibar!

una roho mbaya sana ! hivi kwa haya yanayofanywa na jecha unadhani zanzibar iko salama ?
Sasa roho mbaya na ya Cheja yanahusu nini nil;ichoandika hebu rudia tena usome naona mawazo yako yote yamejaa Cheja wakati mimi wala siojamtaja wala hata kwa implicationa What I am saying ni kuwa alichoandioka mwandishi ni uongo! Kwani mimi niko Zanzibar na kitu alichoandika si kweli hilo ndilo nililoandika! Sasa hapo Roho mbaya inatoka wapi. Ingekuwa fuijo imetokea nami nikasema nafurahia fujo hiyo na watu kuuawa ( hapo hoja yako ingekuwa na msing) nami nitafurahiaje fujo wakati naishi hapahapa Zanzibar? All in all refer michango yangu mimi hata mwizi kutolewa roho siungi mkono. Kwa hiyo rorho mbaya unayo wewe unayechochea/ hamasisha vurugu ambazo hata hazipo!
 
Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu na kupata msg nyingi za hapa na pale zilizokuwa zikilenga kaniuliza mustakabali wa Zanzibar baada ya kutangazwa kurejewa kwa uchaguzi nimekuwa nikifuatilia kwa karibu nini kinaendelea na nimepata taarifa zifuatazo:
1. Kutangazwa kurejewa kwa uchaguzi kumetokana na mpango wa kutaka kuendeleza uwepo wa Dr. Shein madarakani kwani Jumatatu ya tarehe 25/01/2016 Ndio mwisho wa kuongezewa muda na Ccm wana uhakika kwamba uchaguzi hauwezi kurudiwa, hivyo inaweza kuwasaidia Wahafidhina wa Chama Tawala kubaki madarakani.
2. Wanasheria wazalendo wa Zanzibar wakiongozwa na aliekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serekali, Mr. Othman Masoud wapo kwenye hatua za mwisho za kupeleka mashtaka yetu ya kubakwa Kwa democracy kwenye mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu.
3. Wanasheria wa Ukawa watapeleka hoja maalum kwenye bunge litakaloanza Jumanne tarehe 26 ili kupinga uamuzi wa kurudiwa kwa uchaguzi na ikishindikana watengue na uchaguzi wa Muungano jambo ambalo litamgusa Mh. Rais Magufuli..
Kwa hayo machache tutegemee jambo lipo insha Allah.
Ahsanteni sana..

By Mzalendo Kindaki ndaki
safi sana , hii move nina hakika kuna viongozi wa nchi hii wanaenda kudhalilika vibaya sana .
 
Itakuwa shwari tu na wananchi watapata fursa yao ya kupiga kura kwa amani na usalama.

Anayekubalika atachaguliwa na kutangazwa mshindi...
.
Hayo yamekwisha tendeka mwezi wa kumi mwaka Jana na wanachotaka wananchi ni yule waliomchagua atangazwe.
Zaidi ya hapo ni sana na kuchezea nyeti za nyati ukitegemea mbio zikuokoe.
 
Back
Top Bottom