Lowassa, Maalim Seif waishika Zanzibar!

Lowassa, Maalim Seif waishika Zanzibar!

Let them open the fire, kuwa wapole kupita kiasi napo ni wenda wazimu.
 
Wapi huko mbona hapa Mpendae pako shwari tu? Tuambizane vizuri toka asubuhi sijatoka kwangu nini kinaendelea mtaani?
 
Siyo asikali wa muungano,sema asikali wa TANGANYIKA
 
sipokei simu na sina jibu......NA.........NI MTAA WA KUNDEMBA KUMERINDIMA
 
Haiwi haiwi uvumivu sasa umefikia mwisho ,Polisi wa Muungano wapo njiani wakisaidia juhudi za mwizi kuendeleza wizi kwa maana sasa wananchi kila mmoja kwa upande wake anatoka njiani kifua mbele kupinga hatua za CCM kutaka uchaguzi urudiwe kwa kuwa ilipigwa na chini ,wanachi wakati wa kulazimishwa kuekewa utawala wasio uchagua umepitwa na wakati.

Polisi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wapo njiani kupambana na wananchi wenye hasira kali ,muda huu ni mabomu kila kona na pia inasemekana zimesikika risasi za moto.
Kama huamini mpigie simu aliepo Zanzibar.
Poleni sana, but who cares?
Zanzibar ni Nchi!
 
kila saa ccm wamifanya iv mara vile, kwan walofuta uchaguz ni ccm au zec achen kulaum kila kitu kama nyie mnapenda aman , uchaguz c unarudiwa au nyi mnataka nn! Naona wengne ngeu zinawanyemelea
 
hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo vitisho viliwezesha dhuluma .
 
NI KUNDEMBA... KUNDEMBA...KUNDEMBA wacha ushabiki wa KISONGE
It is not about Kisonge. Issue ni kuwa mleta mada aseme wapi? Otherwise ni uongo? Kwa nini asisme sehemu iliyotokea???? Kama ni kweli?
 
kila saa ccm wamifanya iv mara vile, kwan walofuta uchaguz ni ccm au zec achen kulaum kila kitu kama nyie mnapenda aman , uchaguz c unarudiwa au nyi mnataka nn! Naona wengne ngeu zinawanyemelea
Mhe. Alhajj Jecha kabla hajateuliwa kuwa mwenye wa ZEC aligombania uwakilishi kwa tiketi ya CCM kwenye kura za maoni akaanguka. Jecha ni kada mahiri wa CCM
 
Back
Top Bottom