ngota wa nzambe
Senior Member
- Jul 28, 2015
- 121
- 136
Those people support Lowassa from within..ili ushindi upatikane lazima waweko watu wanaoleta habari tokea ndani..sio lazima wote wahame..
Wajitokeze wa nini? Wanawaua hukohuko chamani kwenu.
FACT ni kwamba CCM itafutika kabisa wakati wabunge 150 waliokuwa wanamuunga mkono EL watakapojitoa rasmi CCM baada ya kuteuliwa Tume ya Uchaguzi na kuwaacha Ukawa kupita bila kupingwa. Hapo ndo Le Mutuz atajua kuwa watu wazima wanafanya mambo kimkakati sio kulefa fact za kitoto hapa.
Ningeshangaa sana kuona kundi lote la EL lingehama siku moja. Tusubiri tuone maana muda ni jibu la kila kitu. Si Kikwete wala CCM walijua kwamba EL engehama. Na laiti wangejua wasingemteua JPM kuwa mgombea wao.
Well....
Ngoja nikupe mifano miwili. Kuna wenyeviti wawili ninaowafahamu hadi sasa wapo CCM ila kura zao + familia zao ni kwa Lowassa. Mmoja ni mwenyekiti wangu wa mtaa mwingine ni baba yangu mkubwa.
Need I say more?
#TukutaneOctober
Jamaa hizi takwimu za wanachama 2000 waliomfuata Lowassa anazitoa wapi? Anategemea Onesmo mwenyekiti wa Arusha ametoka na watu wangapi? Monduli imebadilika kutoka CCM mpaka CHADEMA, yeye anasema watu elfu mbili, lazima atakuwa na matatizo. Namshauri aanze kuchukua takwimu kuanzia leo watu wanaorudisha kadi za CCM, aone kama hawazidi 2000 kwa siku.
Aug 17, 2015
Wingi wa Swala Haukimbizi Simba Porini....Wewe Kijana Unayemkimbilia Kumfuata LOWASSA Ukawa Unajua Unajifungia Opportunities Mwenyewe?
" WINGI WA SWALA HAUMKIMBIZI SIMBA PORINI". TUKUTANE TAREHE 26/10/2015......
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI:- Now FACT is Picha ya kushoto ni CCM na Kulia ni Muungano wa vyama Vingi vya UKAWA against Chama Kimoja tu CCM..the FACT is Lowasa ndani ya CCM alipata wadhamini 800,700 lakini toka aingie UKAWA waliotoka kumfuata hawazidi 2,000...another FACT ni kwamba Lowasa alisindikizwa na Wenyeviti wa CCM Mikoa 15 kwenye kurudisha Fomu yake ya CCM mpaka leo waliomfuata UKAWA hawazidi 4.
Another FACT Meneja Mkuu wa kampeni za Lowasa CCM alikuwa Bashe mpaka leo amegoma kabisa kumfuata Boss wake UKAWA... another FACT Wabunge 150 wa CCM walikuwa wanamuunga mkono Lowasa akiwa CCM mpaka leo hakuna Mbunge aliyeshinda Kura za maoni CCM aliyemfuata Lowasa amefuatwa na wasiozidi 10 na wote wameshindwa kura za Maoni kwanza ndio wamemfuata hahahahaha...another FACT ni kwamba Dr. Nchimbi, Sophia Simba na Adam Kimbisa waliomtetea sana Lowasa Kamati Kuu kwenye mchujo wa Urais wameapa kwamba hawatakuja kumfuata Lowasa huko UKAWA....INFACT the FACT is jana Dr. Nchimbi kwenye kikao cha Baraza Kuu la UVCCM alisema "Watuwazima mkisha kaa kwenye kikao na kukubaliana kama tulivyofanya Dodoma kwenye kuchagua mgombea, halafu wewe ukatoka hapo ukaenda kinyume na makubaliano hufai kuwa Kiongozi wa Taifa ni Msaliti".
FACT Lowasa amejitoa CCM kwa sababu at his age and time hakuwa na alternative ya kusubiri Miaka 5 ya uchaguzi tena NOW WEWE KIJANA UNAYEMKIMBILIA KUMFUATA LOWASA UKAWA unajua unajifungia opportunities mwenyewe cause unachokifanya ni "Point of no return" I mean yaani unaaamini Bashe Manager wa Lowasa hana akili wewe unazo zaidi? THINK.ABOUT IT TAFAKARI KABLA HUJARUKIA TRENI KWA MBELE! jamani I was just thinking aloud! Hahaha kama una tatizo jibu na FACTS PLEASE! ONLY FACTS HERE BABY!....WINGI WA MBUZI HAUMKIMBIZI SIMBA U KNOW - le Mutuz
Le Mutuz.
Una mkoma nyani kwa giledi
Madodoki zaidi yanahitajika kumsafisha Lowassa
Wajitokeze wa nini? Wanawaua hukohuko chamani kwenu.
Aug 17, 2015
Wingi wa Swala Haukimbizi Simba Porini....Wewe Kijana Unayemkimbilia Kumfuata LOWASSA Ukawa Unajua Unajifungia Opportunities Mwenyewe?
" WINGI WA SWALA HAUMKIMBIZI SIMBA PORINI". TUKUTANE TAREHE 26/10/2015......
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI:- Now FACT is Picha ya kushoto ni CCM na Kulia ni Muungano wa vyama Vingi vya UKAWA against Chama Kimoja tu CCM..the FACT is Lowasa ndani ya CCM alipata wadhamini 800,700 lakini toka aingie UKAWA waliotoka kumfuata hawazidi 2,000...another FACT ni kwamba Lowasa alisindikizwa na Wenyeviti wa CCM Mikoa 15 kwenye kurudisha Fomu yake ya CCM mpaka leo waliomfuata UKAWA hawazidi 4.
Another FACT Meneja Mkuu wa kampeni za Lowasa CCM alikuwa Bashe mpaka leo amegoma kabisa kumfuata Boss wake UKAWA... another FACT Wabunge 150 wa CCM walikuwa wanamuunga mkono Lowasa akiwa CCM mpaka leo hakuna Mbunge aliyeshinda Kura za maoni CCM aliyemfuata Lowasa amefuatwa na wasiozidi 10 na wote wameshindwa kura za Maoni kwanza ndio wamemfuata hahahahaha...another FACT ni kwamba Dr. Nchimbi, Sophia Simba na Adam Kimbisa waliomtetea sana Lowasa Kamati Kuu kwenye mchujo wa Urais wameapa kwamba hawatakuja kumfuata Lowasa huko UKAWA....INFACT the FACT is jana Dr. Nchimbi kwenye kikao cha Baraza Kuu la UVCCM alisema "Watuwazima mkisha kaa kwenye kikao na kukubaliana kama tulivyofanya Dodoma kwenye kuchagua mgombea, halafu wewe ukatoka hapo ukaenda kinyume na makubaliano hufai kuwa Kiongozi wa Taifa ni Msaliti".
FACT Lowasa amejitoa CCM kwa sababu at his age and time hakuwa na alternative ya kusubiri Miaka 5 ya uchaguzi tena NOW WEWE KIJANA UNAYEMKIMBILIA KUMFUATA LOWASA UKAWA unajua unajifungia opportunities mwenyewe cause unachokifanya ni "Point of no return" I mean yaani unaaamini Bashe Manager wa Lowasa hana akili wewe unazo zaidi? THINK.ABOUT IT TAFAKARI KABLA HUJARUKIA TRENI KWA MBELE! jamani I was just thinking aloud! Hahaha kama una tatizo jibu na FACTS PLEASE! ONLY FACTS HERE BABY!....WINGI WA MBUZI HAUMKIMBIZI SIMBA U KNOW - le Mutuz
Le Mutuz.
Una mkoma nyani kwa giledi
Hakuna adu wa kucheka cheka ndani ya CCM, kama yupo mtaje!Heri adui aliye nje kuliko adui wa ndani anakuchekea lakini moyoni anania mbaya nawe. October 25 utapata majibu