Lowassa kwa maono ya Le Mutuz!!!

Those people support Lowassa from within..ili ushindi upatikane lazima waweko watu wanaoleta habari tokea ndani..sio lazima wote wahame..
 
Wajitokeze wa nini? Wanawaua hukohuko chamani kwenu.

Nifah huyu babu kumjadili naona kinyaa.nilimpa ukweli kule IG kaniblock yani huyu mtu ni dhaifu sana yani mtu ana miaka 57 kiumri mambo anayoyafanya ni km mtoto wa miaks 17
 
FACT ni kwamba CCM itafutika kabisa wakati wabunge 150 waliokuwa wanamuunga mkono EL watakapojitoa rasmi CCM baada ya kuteuliwa Tume ya Uchaguzi na kuwaacha Ukawa kupita bila kupingwa. Hapo ndo Le Mutuz atajua kuwa watu wazima wanafanya mambo kimkakati sio kulefa fact za kitoto hapa.

Ningeshangaa sana kuona kundi lote la EL lingehama siku moja. Tusubiri tuone maana muda ni jibu la kila kitu. Si Kikwete wala CCM walijua kwamba EL engehama. Na laiti wangejua wasingemteua JPM kuwa mgombea wao.

kwi kwi kwi kwi....ndoto nyingine bhana!...nani hao wenye huo uthubutu wa kuachia ubunge na mafao yatokanayo kirahisi hivyo?..
 
Well....
Ngoja nikupe mifano miwili. Kuna wenyeviti wawili ninaowafahamu hadi sasa wapo CCM ila kura zao + familia zao ni kwa Lowassa. Mmoja ni mwenyekiti wangu wa mtaa mwingine ni baba yangu mkubwa.
Need I say more?
#TukutaneOctober

teh teh teh teh...unaongelea wenyeviti wa mitaa?...wale wa mikoa walomsindikiza unadhani kwanini hawajamfata!...na wale wabunge 150..
Tafakari.
 
Poor analysis!Kama vigezo ulivyotumia hapo juu ndiyo unaviita facts,basi pole sana.Kuhusu wadhamini,wengi hawatahama ila kura za urais zitapigwa kwa Lowassa,fanya research utalibaini.Wenyeviti wengi kutomfuata ni political technique/trick kujua mipango yenu mingi inayopangwa.Wajumbe wa Kamati kuu,I thought mngechukua uamuzi wa kuwatema,mmekosea kuwaacha kwani hakuna mtakachopanga kwenye CC kibaki siri.Pioneers wa mikakati wengi kubaki huko pia ni mkakati maalumu,your party has poor intelligency system.All in all it is the matter of time!
 
Jamaa hizi takwimu za wanachama 2000 waliomfuata Lowassa anazitoa wapi? Anategemea Onesmo mwenyekiti wa Arusha ametoka na watu wangapi? Monduli imebadilika kutoka CCM mpaka CHADEMA, yeye anasema watu elfu mbili, lazima atakuwa na matatizo. Namshauri aanze kuchukua takwimu kuanzia leo watu wanaorudisha kadi za CCM, aone kama hawazidi 2000 kwa siku.
 
Jamaa hizi takwimu za wanachama 2000 waliomfuata Lowassa anazitoa wapi? Anategemea Onesmo mwenyekiti wa Arusha ametoka na watu wangapi? Monduli imebadilika kutoka CCM mpaka CHADEMA, yeye anasema watu elfu mbili, lazima atakuwa na matatizo. Namshauri aanze kuchukua takwimu kuanzia leo watu wanaorudisha kadi za CCM, aone kama hawazidi 2000 kwa siku.

Mlioingia chupa ya maigizo EL mtaishia kuweweseka na kadi feki alizotengeneza kwa ajili yenu!
 
Kitakachofanyika mwaka huu ccm ikubali tuu kuwa hali kwao ni tete. Lowasa kaacha watu wake wengi tu ndani ya ccm na hakika bado wapo nae. Nampongeza Lowasa kwa kuvaa nguo zisizo na uchama hiyo ni kumaanisha anazo kura kutoka vyama vyote. Heko kwa hilo mzee mamvi I call you!
 
Aug 17, 2015
Wingi wa Swala Haukimbizi Simba Porini....Wewe Kijana Unayemkimbilia Kumfuata LOWASSA Ukawa Unajua Unajifungia Opportunities Mwenyewe?

" WINGI WA SWALA HAUMKIMBIZI SIMBA PORINI". TUKUTANE TAREHE 26/10/2015......
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI:- Now FACT is Picha ya kushoto ni CCM na Kulia ni Muungano wa vyama Vingi vya UKAWA against Chama Kimoja tu CCM..the FACT is Lowasa ndani ya CCM alipata wadhamini 800,700 lakini toka aingie UKAWA waliotoka kumfuata hawazidi 2,000...another FACT ni kwamba Lowasa alisindikizwa na Wenyeviti wa CCM Mikoa 15 kwenye kurudisha Fomu yake ya CCM mpaka leo waliomfuata UKAWA hawazidi 4.

Another FACT Meneja Mkuu wa kampeni za Lowasa CCM alikuwa Bashe mpaka leo amegoma kabisa kumfuata Boss wake UKAWA... another FACT Wabunge 150 wa CCM walikuwa wanamuunga mkono Lowasa akiwa CCM mpaka leo hakuna Mbunge aliyeshinda Kura za maoni CCM aliyemfuata Lowasa amefuatwa na wasiozidi 10 na wote wameshindwa kura za Maoni kwanza ndio wamemfuata hahahahaha...another FACT ni kwamba Dr. Nchimbi, Sophia Simba na Adam Kimbisa waliomtetea sana Lowasa Kamati Kuu kwenye mchujo wa Urais wameapa kwamba hawatakuja kumfuata Lowasa huko UKAWA....INFACT the FACT is jana Dr. Nchimbi kwenye kikao cha Baraza Kuu la UVCCM alisema "Watuwazima mkisha kaa kwenye kikao na kukubaliana kama tulivyofanya Dodoma kwenye kuchagua mgombea, halafu wewe ukatoka hapo ukaenda kinyume na makubaliano hufai kuwa Kiongozi wa Taifa ni Msaliti".

FACT Lowasa amejitoa CCM kwa sababu at his age and time hakuwa na alternative ya kusubiri Miaka 5 ya uchaguzi tena NOW WEWE KIJANA UNAYEMKIMBILIA KUMFUATA LOWASA UKAWA unajua unajifungia opportunities mwenyewe cause unachokifanya ni "Point of no return" I mean yaani unaaamini Bashe Manager wa Lowasa hana akili wewe unazo zaidi? THINK.ABOUT IT TAFAKARI KABLA HUJARUKIA TRENI KWA MBELE! jamani I was just thinking aloud! Hahaha kama una tatizo jibu na FACTS PLEASE! ONLY FACTS HERE BABY!....WINGI WA MBUZI HAUMKIMBIZI SIMBA U KNOW - le Mutuz

Le Mutuz.
Una mkoma nyani kwa giledi

Hivi nilazima ccm ibaki madarakani? Kwa miaka kingapi? Mabadiliko brings a different world view. Change will hav to come. Tatizo ni kwamba ccm huendesha serikali kwa mazoea nchi utafikiri ni shamba la bibi, and that is what pple are tired of. Watu kuunga mkono au kusitounga mkono lowassa ni personal choice. What u hav said is your personal opinion. Ila wapo wengi tuu wamenufaika na ccm tena sana tu, na wapo wengi nao hawajafaidika na ccm. Ilo lazima liwepo. Lakini, wote wanaopigania ccm kuendelea, niwaoga wamageuzi. Change! yes it can happen. Let's wait and see! Swala sio mh. Lowassa, watu wame choka na hiki chama this is a fact. Muta msema sana lowassa, ila wanachoshindwa kufahamu, nikushindwa kutambua makosa wanoyafanya kwa wananchi. Kwahio ccm wasitafute mchawi, ..
 
hata usime fact zote, huwezi kuzuia mafuriko, wala huwezi kudanganya watanzania .....october 25 /10/ 2015 utaona mabadiliko ndio utajua swala wanaweza kukubadilisha na ukafurahi kuisha maisha mazuri katika nchi nzuri Tanzania...............usiwe mjinga kupoteza muda kufikiria mtu ambaye hakufikirii wewe wala chama chako ccm...........watanzania wataamua na dalili ndio hizo....mafuriko Dar, Mbeya, Arusha, Mwanza, Zanzibar...........Lowassa ndio chaguo la Watanzania
 
Another Fact Bashe ni msomali cos angemfuata Lowassa leo hii angekuwa Mogadishu
 
Madodoki zaidi yanahitajika kumsafisha Lowassa

Angekuwa Dr Slaa upinzani kashika usukani ningempigia debe la uhakika.
Lakini EL hasafshiki anapigiwa debe na wameru/wamsai wenziwe, na hana anachoenda kutekleza kama sera kule Ikulu.
Atikipaumbele ni kumtoa Babu Seya!!!
Ni ahueni gani hiyo kwa mtanzania masikini
 
Aug 17, 2015
Wingi wa Swala Haukimbizi Simba Porini....Wewe Kijana Unayemkimbilia Kumfuata LOWASSA Ukawa Unajua Unajifungia Opportunities Mwenyewe?

" WINGI WA SWALA HAUMKIMBIZI SIMBA PORINI". TUKUTANE TAREHE 26/10/2015......
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI:- Now FACT is Picha ya kushoto ni CCM na Kulia ni Muungano wa vyama Vingi vya UKAWA against Chama Kimoja tu CCM..the FACT is Lowasa ndani ya CCM alipata wadhamini 800,700 lakini toka aingie UKAWA waliotoka kumfuata hawazidi 2,000...another FACT ni kwamba Lowasa alisindikizwa na Wenyeviti wa CCM Mikoa 15 kwenye kurudisha Fomu yake ya CCM mpaka leo waliomfuata UKAWA hawazidi 4.

Another FACT Meneja Mkuu wa kampeni za Lowasa CCM alikuwa Bashe mpaka leo amegoma kabisa kumfuata Boss wake UKAWA... another FACT Wabunge 150 wa CCM walikuwa wanamuunga mkono Lowasa akiwa CCM mpaka leo hakuna Mbunge aliyeshinda Kura za maoni CCM aliyemfuata Lowasa amefuatwa na wasiozidi 10 na wote wameshindwa kura za Maoni kwanza ndio wamemfuata hahahahaha...another FACT ni kwamba Dr. Nchimbi, Sophia Simba na Adam Kimbisa waliomtetea sana Lowasa Kamati Kuu kwenye mchujo wa Urais wameapa kwamba hawatakuja kumfuata Lowasa huko UKAWA....INFACT the FACT is jana Dr. Nchimbi kwenye kikao cha Baraza Kuu la UVCCM alisema "Watuwazima mkisha kaa kwenye kikao na kukubaliana kama tulivyofanya Dodoma kwenye kuchagua mgombea, halafu wewe ukatoka hapo ukaenda kinyume na makubaliano hufai kuwa Kiongozi wa Taifa ni Msaliti".

FACT Lowasa amejitoa CCM kwa sababu at his age and time hakuwa na alternative ya kusubiri Miaka 5 ya uchaguzi tena NOW WEWE KIJANA UNAYEMKIMBILIA KUMFUATA LOWASA UKAWA unajua unajifungia opportunities mwenyewe cause unachokifanya ni "Point of no return" I mean yaani unaaamini Bashe Manager wa Lowasa hana akili wewe unazo zaidi? THINK.ABOUT IT TAFAKARI KABLA HUJARUKIA TRENI KWA MBELE! jamani I was just thinking aloud! Hahaha kama una tatizo jibu na FACTS PLEASE! ONLY FACTS HERE BABY!....WINGI WA MBUZI HAUMKIMBIZI SIMBA U KNOW - le Mutuz

Le Mutuz.
Una mkoma nyani kwa giledi

Heri adui aliye nje kuliko adui wa ndani anakuchekea lakini moyoni anania mbaya nawe. October 25 utapata majibu
 
Heri adui aliye nje kuliko adui wa ndani anakuchekea lakini moyoni anania mbaya nawe. October 25 utapata majibu
Hakuna adu wa kucheka cheka ndani ya CCM, kama yupo mtaje!
Makapi na oili chafu wote wameondoka, na huko wanakula wa chuya!
 
Back
Top Bottom