Lowassa kwa maono ya Le Mutuz!!!

Lowassa kwa maono ya Le Mutuz!!!

Hivi nilazima ccm ibaki madarakani? Kwa miaka kingapi? Mabadiliko brings a different world view. Change will hav to come. Tatizo ni kwamba ccm huendesha serikali kwa mazoea nchi utafikiri ni shamba la bibi, and that is what pple are tired of. Watu kuunga mkono au kusitounga mkono lowassa ni personal choice. What u hav said is your personal opinion. Ila wapo wengi tuu wamenufaika na ccm tena sana tu, na wapo wengi nao hawajafaidika na ccm. Ilo lazima liwepo. Lakini, wote wanaopigania ccm kuendelea, niwaoga wamageuzi. Change! yes it can happen. Let's wait and see! Swala sio mh. Lowassa, watu wame choka na hiki chama this is a fact. Muta msema sana lowassa, ila wanachoshindwa kufahamu, nikushindwa kutambua makosa wanoyafanya kwa wananchi. Kwahio ccm wasitafute mchawi, ..
CCM imewekwa na wananchi wanaoipenda na haijiweki yenyewe.
Na sisi tulio wengi tunafaidika na CCM Kuwa madarakani.
Ninyi wachache endeleeni kuishabikia Ukawa ili mushindwe.
Kwa demokrasia iliyopo ni wengi wape.

Lowassa hajachoka kuwa CCM ila ana uchu wa madaraka na ninyi ndio ngazi ya ndoto yake ya urais.
Hana mchoko wala uchungu, na kujidai vinginevyo ni kujidanganya nafsi yo bure!
 
Aug 17, 2015
Wingi wa Swala Haukimbizi Simba Porini....Wewe Kijana Unayemkimbilia Kumfuata LOWASSA Ukawa Unajua Unajifungia Opportunities Mwenyewe?

" WINGI WA SWALA HAUMKIMBIZI SIMBA PORINI". TUKUTANE TAREHE 26/10/2015......
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI:- Now FACT is Picha ya kushoto ni CCM na Kulia ni Muungano wa vyama Vingi vya UKAWA against Chama Kimoja tu CCM..the FACT is Lowasa ndani ya CCM alipata wadhamini 800,700 lakini toka aingie UKAWA waliotoka kumfuata hawazidi 2,000...another FACT ni kwamba Lowasa alisindikizwa na Wenyeviti wa CCM Mikoa 15 kwenye kurudisha Fomu yake ya CCM mpaka leo waliomfuata UKAWA hawazidi 4.

Another FACT Meneja Mkuu wa kampeni za Lowasa CCM alikuwa Bashe mpaka leo amegoma kabisa kumfuata Boss wake UKAWA... another FACT Wabunge 150 wa CCM walikuwa wanamuunga mkono Lowasa akiwa CCM mpaka leo hakuna Mbunge aliyeshinda Kura za maoni CCM aliyemfuata Lowasa amefuatwa na wasiozidi 10 na wote wameshindwa kura za Maoni kwanza ndio wamemfuata hahahahaha...another FACT ni kwamba Dr. Nchimbi, Sophia Simba na Adam Kimbisa waliomtetea sana Lowasa Kamati Kuu kwenye mchujo wa Urais wameapa kwamba hawatakuja kumfuata Lowasa huko UKAWA....INFACT the FACT is jana Dr. Nchimbi kwenye kikao cha Baraza Kuu la UVCCM alisema "Watuwazima mkisha kaa kwenye kikao na kukubaliana kama tulivyofanya Dodoma kwenye kuchagua mgombea, halafu wewe ukatoka hapo ukaenda kinyume na makubaliano hufai kuwa Kiongozi wa Taifa ni Msaliti".

FACT Lowasa amejitoa CCM kwa sababu at his age and time hakuwa na alternative ya kusubiri Miaka 5 ya uchaguzi tena NOW WEWE KIJANA UNAYEMKIMBILIA KUMFUATA LOWASA UKAWA unajua unajifungia opportunities mwenyewe cause unachokifanya ni "Point of no return" I mean yaani unaaamini Bashe Manager wa Lowasa hana akili wewe unazo zaidi? THINK.ABOUT IT TAFAKARI KABLA HUJARUKIA TRENI KWA MBELE! jamani I was just thinking aloud! Hahaha kama una tatizo jibu na FACTS PLEASE! ONLY FACTS HERE BABY!....WINGI WA MBUZI HAUMKIMBIZI SIMBA U KNOW - le Mutuz

Le Mutuz.
Una mkoma nyani kwa giledi

Usiwatishe vijana, hapo hakuna fact yoyote. Wewe unataka watu wote wawe na mtazamo mmoja? haiwezekani, lazima katika maisha ya kidemokrasia watu wawe na mitazamo tofauti. Naunga mkono maana mitazamo tofauti miongoni mwa wanajamii huleta majibu sahihi kwa changamoto zinakabili jamii husika.
 
Kwamba Bashe ndiye kipimo cha akili za akina Le Mutuz, kweli? This is too low to grasp.
 
Mzee Mwinyi aliposema Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu hakukosea!

Jinsi wingi wa "big up" "Salute" "Habari ndio hiyo" na sifa kibao kwa kunyonyeshwa "FACTS" tena kutoka kwa wengi ambao mnajiita Great THinkers, si kuwa kunanisononesha kuwa kuna ujinga wa hali ya juu, Bali kunanionyesha kuna upumbavu wa hali ya juu na watu wengi wanahitaji kupewa Udaktari wa Falsafa ya UPUMBAVU!

Fact 1. Wabunge wa CCM walioanguka kura ya maoni ni chini ya 50
Fact 2. Wabunge wa CCM walioamua kutorudi kwa hiari ni chini ya 20
Fact 3. Hakuna masjala au usajili wowote unaoonyesha ni mbunge gani wa Lowassa na yupi si wa Lowassa. Ama hakuna anayejua waliojulikana kuwa ni wapambe wa Lowassa wamebakia kwa makusudi ndani na hata kushinda kura za maoni (Serukamba, Bashee) na si lazima wakimbilie UKawa
Fact 4. Wenyeviti wa CCM walioondoka CCM, si wote walitaka kugombea ubunge au kuwa walitaka madaraka ya Ubunge
Fact 5. KUsindikizwa na watu, wadhamini au wenyeviti wa mikoa hakuna maana wote watahama kwa mkupuo mara mmoja. Je haitakuwa FACT kuwa wamebakizwa ndani ya chama kwa malengo ya kuhujumu CCM au kuibana CCM isitumie goli la mkono (Majasusi, including Nchimbi, KImbisa na Sopha)?
Fact 6. Si kweli wabunge 150 wa bunge lililopita la CCM wameangushwa au eti ni watu wa Lowassa

NI upumbavu wa hali ya juu kuamini kauli za mtu mmoja ambazo ni wazi zina mwelekeo wa mipasho au worse kabisa udaku na zikafanywa kuwa ni habari za uhakika.

Ni udhaifu huu wa kujituma na kufikiri unawafanya watu washangilie "mafanikio" ya Takwimu za Magufuli kudai Kikwete amejenga barabara urefu wa Kilometa 17,000 na vibarua ni wachina, huku barabara zilizokamilika hazifiki Kilometa 7,000 na hao "Vibarua" Wachina ndio waliotoa mkopo wa kujenga barabara na wanaleta watu wao kujenga hizo barabara!

Sitashangaa hili kundi la WAPUMBAVU wa kufikiri watakapoamua kushangilia ----- unaoitwa FACT na hata kukubaliana na kila kinachosemwa bila kukaa chini na kutafakari kama kinachosemwa kina mantiki au kuna ukweli. Ni kundi hili hili la wavivu wa kufikiri siku ya kupiga kura watapiga kura za kufuata mkumbo badala ya kura ya uamuzi wao wa kupima wagombea.

Hao wanaotoa FACT wanawaona wapokea FACT na washangiliaji wa FACT kama mabozo na majuha na ndio maana Tanzania tumeendelea kuburuzwa na Watanzania wenzetu wanaotudharau na kutupuuza kisa tunashangilia FACT.

Basi tuwape nao shadaha za Udaktari wa Hamnazo kama yule anayekusanya Shahada kila kona ya dunia!
 
My God, I cant believe this! Of all people masopakyindi, hata wewe umeshuka kiasi hiki! Una copy na ku paste mawazo ya mtu kama Le Mutuz! Kweli hujafa hujaumbika. Ngoja nikutonye tu mdogo wangu, UKAWA wanacheza ngoma nzito, ona jinsi kila mwana CCM, anavyohangaika na UKAWA. UKAWA ndio habari ya mjini, hakuna mwenye habari na Makomeo aka Makufuli aka Magufuli aka Pombe...yaani you have all danced yourselves lame before the main dance.

You are all dancing to the tune played by UKAWA. UKAWA ndio wanaamua nani atangaze nia ya kuiacha CCM kwenye mataa na lini watangaze. Hii ni katika kuhakikisha CCM inamomonyoka taratibu, wakijashtuka hamna aliyebaki. Hebu subiri kampeni zianze mwishoni mwa wiki. Watakaokuwa wamebaki ni kwa mipango maalum ya UKAWA, kuongeza sintofahamu ndani ya CCM hadi watu wasiaminiane tena, kila moja akimtolea mashaka mwenzie hadi wachanganyikiwe.

masopakyindi, CCM inakufa na ving'ang'anizi kama wewe nawafananisha na kupe...ng'ombe anachinjwa kupe yupo tu, anachunwa kupe yupo yu, ngozi inaanikwa juani ndio kupe anagutuka. Mtu mwenyewe aliempakata Magufuli naye kachoka kweli kweli, anatamani amdondoshe na yeye akapumzike UKAWA. Wengine siku kama hii tumeisubiri na tulijua itafika tu, amini usiamini CCM kwishnei ikichungulia kaburi na hakuna tena namna, lazima ipigwe chini.

Mag3,

Uselule umezidi kwa Watanzania! Kila mtu anapenda kuhadithiwa kijiweni na kumshangilia "stelingi" wa maneno..!phew!
 
Mzee Mwinyi aliposema Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu hakukosea!

Jinsi wingi wa "big up" "Salute" "Habari ndio hiyo" na sifa kibao kwa kunyonyeshwa "FACTS" tena kutoka kwa wengi ambao mnajiita Great THinkers, si kuwa kunanisononesha kuwa kuna ujinga wa hali ya juu, Bali kunanionyesha kuna upumbavu wa hali ya juu na watu wengi wanahitaji kupewa Udaktari wa Falsafa ya UPUMBAVU!

Fact 1. Wabunge wa CCM walioanguka kura ya maoni ni chini ya 50
Fact 2. Wabunge wa CCM walioamua kutorudi kwa hiari ni chini ya 20
Fact 3. Hakuna masjala au usajili wowote unaoonyesha ni mbunge gani wa Lowassa na yupi si wa Lowassa. Ama hakuna anayejua waliojulikana kuwa ni wapambe wa Lowassa wamebakia kwa makusudi ndani na hata kushinda kura za maoni (Serukamba, Bashee) na si lazima wakimbilie UKawa
Fact 4. Wenyeviti wa CCM walioondoka CCM, si wote walitaka kugombea ubunge au kuwa walitaka madaraka ya Ubunge
Fact 5. KUsindikizwa na watu, wadhamini au wenyeviti wa mikoa hakuna maana wote watahama kwa mkupuo mara mmoja. Je haitakuwa FACT kuwa wamebakizwa ndani ya chama kwa malengo ya kuhujumu CCM au kuibana CCM isitumie goli la mkono (Majasusi, including Nchimbi, KImbisa na Sopha)?
Fact 6. Si kweli wabunge 150 wa bunge lililopita la CCM wameangushwa au eti ni watu wa Lowassa

NI upumbavu wa hali ya juu kuamini kauli za mtu mmoja ambazo ni wazi zina mwelekeo wa mipasho au worse kabisa udaku na zikafanywa kuwa ni habari za uhakika.

Ni udhaifu huu wa kujituma na kufikiri unawafanya watu washangilie "mafanikio" ya Takwimu za Magufuli kudai Kikwete amejenga barabara urefu wa Kilometa 17,000 na vibarua ni wachina, huku barabara zilizokamilika hazifiki Kilometa 7,000 na hao "Vibarua" Wachina ndio waliotoa mkopo wa kujenga barabara na wanaleta watu wao kujenga hizo barabara!

Sitashangaa hili kundi la WAPUMBAVU wa kufikiri watakapoamua kushangilia ----- unaoitwa FACT na hata kukubaliana na kila kinachosemwa bila kukaa chini na kutafakari kama kinachosemwa kina mantiki au kuna ukweli. Ni kundi hili hili la wavivu wa kufikiri siku ya kupiga kura watapiga kura za kufuata mkumbo badala ya kura ya uamuzi wao wa kupima wagombea.

Hao wanaotoa FACT wanawaona wapokea FACT na washangiliaji wa FACT kama mabozo na majuha na ndio maana Tanzania tumeendelea kuburuzwa na Watanzania wenzetu wanaotudharau na kutupuuza kisa tunashangilia FACT.

Basi tuwape nao shadaha za Udaktari wa Hamnazo kama yule anayekusanya Shahada kila kona ya dunia!
Mkuu wapumbavu wako wengi, na wewe huna tofauti sana na hao!
image.jpg
 
Back
Top Bottom