Lowassa kwa maono ya Le Mutuz!!!

Lowassa kwa maono ya Le Mutuz!!!

Huna hela ya kula unajikakamua kuandika lugha za watu.

Najikamua nimekuwa chungwa, kiswahili kibovu kama hiki huoni aibu kukiandika. Haya yote ni matokeo ya mfumo mbovu wa elimu, na akili ndogo km ya mbegu ya mchicha kujishebedua shebedua mbele ya wenye akili kubwa.
 
haaa huyu le mutuzi juz mlimsifia kweli hata kie kipind aliposema lowasa anakuja ukawa mkabishaa wee akaja kweli alipo mgeuka lowasa matusi yanakua mengi
 
Makala za Lemutuz zisiwe zinaletwa hapa,unless akileta mwenyewe,huyu mtu Hana msimamo,anafuata upepo,kabla alionyesha Mapenzi kwa Lowasa,pili aliniambia amefanya research kuwa Magufuli hafai kuchukua hata form ya kugombea URais kwa kulitia hasara Taifa ktk Barabara ya Mbagala! sasa hivi anajifanya analyst wa Kumkataaa EL,kisa yupo UKAWA.
 
Hapa Le Mutuz watu wameshindwa kumjibu kwa facts wanabaki kuzunguka mbuyu.

Facts gani???? Kwani Nyerere wakati anapambana kwa ajili ya uhuru alipata support ya wenyeviti wa ngapi???? Humo ndani ya C.C.M vilevile kuna wasaliti ambao wataisaidia UKAWA kutangazwa washindi saa mbili kamili asubuhi tar 26/10/2015.
 
Hapa Le Mutuz watu wameshindwa kumjibu kwa facts wanabaki kuzunguka mbuyu.

Hana Facts huyo,anajipendekeza kwenye chama na Magufuli ili apate selfi.ndo maana mawazo yake haleti huku,anatoa kwenye Instagram wall yake na wachangiaji wake ni wale wanaosema 'well said' kila mada
 
Hana Facts huyo,anajipendekeza kwenye chama na Magufuli ili apate selfi.ndo maana mawazo yake haleti huku,anatoa kwenye Instagram wall yake na wachangiaji wake ni wale wanaosema 'well said' kila mada

Instagram ndiko iliko misukule yake huku Jf hawezi thubutu kuleta huo upuuzi wake
 
exactly!...na mbaya zaidi sio hapa tu!
Hawa watu ni wa kuwahurumia tu.

Lemutuz ni mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM, pia mjumbe wa jumuiya ya wazazi, anafanya kampeni kupaisha chama chake kwenye social media, unategemea mtu gani aanze kulumbana naye humu wakati anazuia mafuriko kwa Mikono?!!
 
Natamani ungekuwa karibu nikuchape usoni na buku kumi maana umempa makavu live mzee wa team mafisi ukawa
 
hili jamaa huwa limesoma kweli au kanjanja, maana mi na mtoto wangu yupo form one lakini anauwezo mkubwa sana kuandika makala kuliko hili jamaa. mzee machela kwa huyu mtoto umekula hasara that why even in twenty years to come huyu jamaa hato vuka ngaji hata ya udiwani tu, hawezi kupata maana anataswira mbaya.
 
Back
Top Bottom