MTRANSPARENT
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 740
- 205
umekwisha mwenyewe, tunafaham kaz aliyoifanya dhid ya wakurugenz michwa wamepumzka pinda alvoingia. tnahitaj mtekelezajnasio mlalamikaj. mbowe na slaawakewameifanya cdm saccos yao hvo ikulu wasahau kabxaaaaaa labdasiku ZZK akishika uenyekit coz anaweka maslah ya nchi mbele wanainchi watamuelewaMay God, naanza kupata woga juu ya Lowassa.
Hv itawezekana watu mara hii wamesahau madhambi ya Lowassa, na wanaendelea kulitajataja jina lake kwa presidency?
Tumekwisha.