Lowassa kutikisa Dar Jumapili hii

Lowassa kutikisa Dar Jumapili hii

Status
Not open for further replies.
wadau!!
Ni waz sasa lowassa hakamitki,katika kile kinachoonekana kwamba mh lowassa ni moto wa kuotea mbali,juma pili hii atafnya harambee ya aina yake ili kuwawezesha waendesha boda kila mmoja kumiliki boda boda,ni jana tu mahasimu wa lowassa wamekuwa wakimshambulia,ila lowassa ameamuwa kupiga kimya anafnya kwa vitendo,

Makonda juzi alitumika na membe na sitta kuja kumshambulia mh lowassa,lakin kutokana na busara za lowassa hakutaka kujibizna naye kwasabu cyo saiz yake.namshauri makonda amesha washa moto kwasabu hao wenyew walio mtuma wanaujuwa moto wa lowassa na ndio mana wao wamemuweka front makonda wasikilizie kinacho endelea,

Lowassa mwaka huu atawaonyesha subir moto zaid unakuja

Sio busara kukaa kwake kimya kujibu kashifa bali ana kashifa nyingi na za kweli hazijibiki jibu kaamua kukaa kimya
 
Kwa kifup presda lazima atoke kaskazin no matter is this or Slaa.
 
tusihofu mbio za lowasa ila tujiulize atainusru ccm na umackin wa nchi hii?
 
Kaburi la CCM ni mgombea Lowassa.....CDM itapita mteremko kama kumsukuma mlevi......Eee baba tupe Lowassa tuzike CCM
 
Jamaa ananguvu ya ajabu akipita karibu ya hata kama ulikuwa unamchukia unaanza kumsifia na kumpigia makofi huyo ndio mamvi
 
Lowassa ni mziki mzitooooo hata mama salma anajuwa,ila kweli nimekubali shukran za punda ni mateke,et mama salma naye anampinga lowassa,hv akumbuki lowassa ndiye aliyemtowa kuleeeeeee,akumbuki alivyokuwa kapaukaaaaa utadhan ajui hata mafuta nn
 
wadau!!
Ni waz sasa lowassa hakamitki,katika kile kinachoonekana kwamba mh lowassa ni moto wa kuotea mbali,juma pili hii atafnya harambee ya aina yake ili kuwawezesha waendesha boda kila mmoja kumiliki boda boda,ni jana tu mahasimu wa lowassa wamekuwa wakimshambulia,ila lowassa ameamuwa kupiga kimya anafnya kwa vitendo,

Makonda juzi alitumika na membe na sitta kuja kumshambulia mh lowassa,lakin kutokana na busara za lowassa hakutaka kujibizna naye kwasabu cyo saiz yake.namshauri makonda amesha washa moto kwasabu hao wenyew walio mtuma wanaujuwa moto wa lowassa na ndio mana wao wamemuweka front makonda wasikilizie kinacho endelea,

Lowassa mwaka huu atawaonyesha subir moto zaid unakuja

Akafie mbele huyooooo hana jipya
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom