Mwakyembe aliuitwa ujasiri wa kifisadi.Kumpigia debe Lowassa, ni lazima kwanza uwe na roho, na ujasiri wa mwendawazimu!
Mwakyembe aliuitwa ujasiri wa kifisadi.Kumpigia debe Lowassa, ni lazima kwanza uwe na roho, na ujasiri wa mwendawazimu!
Tamko lingine limetolewa Leo na Mzee Malecela Samuel. Je huyu naye si size yake?wadau!!
Ni waz sasa lowassa hakamitki,katika kile kinachoonekana kwamba mh lowassa ni moto wa kuotea mbali,juma pili hii atafnya harambee ya aina yake ili kuwawezesha waendesha boda kila mmoja kumiliki boda boda,ni jana tu mahasimu wa lowassa wamekuwa wakimshambulia,ila lowassa ameamuwa kupiga kimya anafnya kwa vitendo,
Makonda juzi alitumika na membe na sitta kuja kumshambulia mh lowassa,lakin kutokana na busara za lowassa hakutaka kujibizna naye kwasabu cyo saiz yake.namshauri makonda amesha washa moto kwasabu hao wenyew walio mtuma wanaujuwa moto wa lowassa na ndio mana wao wamemuweka front makonda wasikilizie kinacho endelea,
Lowassa mwaka huu atawaonyesha subir moto zaid unakuja
Huwa akili za watanzania wengine sizielewi, sijui huwa hazina memory capacity ya kutosha! Kwa hiyo zina delete kumbukumbu za nyuma na kuifazi za sasa tu, wamesha sahau kashfa ya uwizi na ufisadi ya lowasa ambayo imesababisha mpaka umeme umepanda bei?
Anadhani imetoka msata....lugha za watu hz jamani! lugha imekuja kwa meli hii!
Tamko lingine limetolewa Leo na Mzee Malecela Samuel. Je huyu naye si size yake?
kwa kuwa yupo CCM basi EL Anatoka kanda ya magharibi!au umeshasau kuwa uvccm pwani ilishasema rais hawezi toka kaskazini?After Kikwete follows Lowasa.
Lowasa KUPANGA NA KUTENDA.
Lowasa KUPANGA NA KUTENDA.
huo ni ushabiki tu,ati sijui richmond imesababisha inflation,HOW,WHY AND WHEN?.kweli kabisa ukiongeza na ujasiri ndo vilifanya Richmond ije tz......imezarisha cost pull inflation mpaka Leo....hyo ndo lowassa bhana!!!
kijana , hebu tufafanulie , unataka kutuambia nini hasa kati ya haya mawili , LOWASA KUFANYA HARAMBEE YA BODABODA AU LOWASA KUGOMBANA NA MAKONDA ?
Lowasa mwanaume wa shoka- Sofia Simba.
kupanga ni kuweka mikakati ya kupambana na matatizo kama elimu,ukosefu ajira na kutenda ni kuapproach tatizo directly bila longolongo.UNAMAANISHA KUTENDA kwa KUWANUNUA WANACCM WALIOJAA DHIKI MWILI MZIMA ?
kupanga ni kuweka mikakati ya kupambana na matatizo kama elimu,ukosefu ajira na kutenda ni kuapproach tatizo directly bila longolongo.
Just imagine how many life of the bodaboda he is going to change in just one harambee.