Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
May God, naanza kupata woga juu ya Lowassa.
Hv itawezekana watu mara hii wamesahau madhambi ya Lowassa, na wanaendelea kulitajataja jina lake kwa presidency?
Tumekwisha.
This is among World wander.
Haiwezi kuingia akilini kwa mtu mwenye akili timamu kulitaja jina la EL tena kwa kumpa Future title of to be our president. Labda kama unatumia ile bidhaa inayozalishwa pale Lumumba.