OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
- Thread starter
- #61
Lowasa akikosa urahisi anajinyonga..dah hii kitu spidi sijawahi iona..
lowassa na wale wanazunguka na mahelicopta kwa fedha za kukopa nan yuko spid kutafuta urais???
Lowasa akikosa urahisi anajinyonga..dah hii kitu spidi sijawahi iona..
Duh, iko kazi!sasa mkuu lowassa ndiye wakujibizana na mzee malechela ambaye amezeeka udenda unamdondka kama vile anakula ugoro????huyo tumemuachia lusinde kibajaj acheze naye
Lowasa akikosa urahisi anajinyonga..dah hii kitu spidi sijawahi iona..
TZ needs lowasa like christians need Jesus
angalia kama utapata shule hata ya evening classes ufundishwa namna ya kuandika unatupa shida sana ya kukuelewawadau!!
Ni waz sasa lowassa hakamitki,katika kile kinachoonekana kwamba mh lowassa ni moto wa kuotea mbali,juma pili hii atafnya harambee ya aina yake ili kuwawezesha waendesha boda kila mmoja kumiliki boda boda,ni jana tu mahasimu wa lowassa wamekuwa wakimshambulia,ila lowassa ameamuwa kupiga kimya anafnya kwa vitendo,
Makonda juzi alitumika na membe na sitta kuja kumshambulia mh lowassa,lakin kutokana na busara za lowassa hakutaka kujibizna naye kwasabu cyo saiz yake.namshauri makonda amesha washa moto kwasabu hao wenyew walio mtuma wanaujuwa moto wa lowassa na ndio mana wao wamemuweka front makonda wasikilizie kinacho endelea,
Lowassa mwaka huu atawaonyesha subir moto zaid unakuja
wadau!!
Ni waz sasa lowassa hakamitki,katika kile kinachoonekana kwamba mh lowassa ni moto wa kuotea mbali,juma pili hii atafnya harambee ya aina yake ili kuwawezesha waendesha boda kila mmoja kumiliki boda boda,ni jana tu mahasimu wa lowassa wamekuwa wakimshambulia,ila lowassa ameamuwa kupiga kimya anafnya kwa vitendo,
Makonda juzi alitumika na membe na sitta kuja kumshambulia mh lowassa,lakin kutokana na busara za lowassa hakutaka kujibizna naye kwasabu cyo saiz yake.namshauri makonda amesha washa moto kwasabu hao wenyew walio mtuma wanaujuwa moto wa lowassa na ndio mana wao wamemuweka front makonda wasikilizie kinacho endelea,
Lowassa mwaka huu atawaonyesha subir moto zaid unakuja
View attachment 135951
Hao ndo maraisi wetu awamu ya pili mpaka ya TANO!Hutaki kameze chura ulale
View attachment 135951
Hao ndo maraisi wetu awamu ya pili mpaka ya TANO!Hutaki kameze chura ulale
angalia kama utapata shule hata ya evening classes ufundishwa namna ya kuandika unatupa shida sana ya kukuelewa
mimi ninampenda tu coz ajibizani majukwaani, wala hamtukani mtu, huyu mtu sijawahi msikia hata akitamka Mboye, Dr. Silaa wala akitamka neno CHADEMA, MUCH RESPECT. ANA SIASA NZURI SANA ZA KUTOCHAFUA WENZAKE, UMAARUFU WAKE NI VITENDO
ASUME ASINGEKUWA NA KASHFA YA RICHMOND, NANI ANGEMKAMATA HAPA TZ
View attachment 135951
Hao ndo maraisi wetu awamu ya pili mpaka ya TANO!Hutaki kameze chura ulale
View attachment 135951
Hao ndo maraisi wetu awamu ya pili mpaka ya TANO!Hutaki kameze chura ulale