Huyu jamaa anajaribu kuwaweka sawa wajumbe wa CC na NEC ya chama chake kabla hawajakutana kumvua gamba. Anataka kuwafundisha woga ili wafanye "maamuzi magumu" ya kumvua gamba.
He is very tactical na kwa umbumbumbu wa CCM ya sasa hawataweza kumvua gamba. Then anajipanga na uchaguzi wa 2012 ili kumng'oa JK na kuchukua kiti chake. Hiyo ndio namna pekee ya kupata ridhaa ya "chama chake" kugombea urais 2015. So he start from the second step as the 1st one ya kuwaweka vizuri viongozi UVCCM na CCM mkoa imeshafanikiwa kukigawa chama na kumpatia watetezi kwenye agenda ya kumng'oa m/kiti.
My take ni kwamba mtafararuku utazidi kukomaa, JK atahakikisha EL anavuliwa gamba. Hatakubali kuachia uenyekiti, atawaweka kwenye chama "watu wake" na mwisho wanaompinga this time hawataogopa kujitoa, akiwemo EL, na hatimae "mgombea" wao 2015 atakuwa na upinzani mkali na hatimae, kama ilivyotokea kwenye kanu huko kenya, ccm itashindwa vibaya.
Na mtazamo wangu, cdm watatangazwa rasmi kuwa chama tawala.