Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Kamati Ya Bunge Ya Kuchunguza Sakata La Umeme Wa Dharura Wa Richmond Development Cororatiion Llc, Itawahoji Wahusika Wote Wakiwamo Wajumbe Wa Task Force Iliyondwa Na Waziri Mkuu E.lowassa.
Je, Na Yeye Aliyeiunda Ataitwa? Wajumbe Wa Kamati Hiyo Walikua Ni Gray Mgonja (katibu Mkuu Hazina), Patrick Rutabanzibwa (alikua Katibu Mkuu Nishati Na Madini, Sasa Katibu Mkuu Maji) Na Johnson Mwanyika (mwanasheria Mkuu)
Je, Na Yeye Aliyeiunda Ataitwa? Wajumbe Wa Kamati Hiyo Walikua Ni Gray Mgonja (katibu Mkuu Hazina), Patrick Rutabanzibwa (alikua Katibu Mkuu Nishati Na Madini, Sasa Katibu Mkuu Maji) Na Johnson Mwanyika (mwanasheria Mkuu)