Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,759
- 218,380
Hii nchi ukiwa mwepesi wa Kucheka unaweza kupasuka Mbavu , Yaani Wahuni ndio wanaoteuliwa eti kwenye kuhamasisha timu ya Taifa .
Kwenye kikosi hicho yumo Mwijaku aliyeshindwa kutimiza ahadi yake ya kutembea uchi ikiwa timu yake ingefungwa.
---
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ameteua Kamati Maalum kwa ajili ya hamasa kwa Timu za Taifa zilizofuzu mashindano mbalimbali ya Kimataifa ambayo inaundwa na Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu pamoja na Wajumbe 15.
Kamati hii itakuwa na jukumu la kuhamasisha Mashabiki na Wapenzi wa michezo ndani na nje ya Nchi kujitokeza kuzishangilia na kuziunga mkono Timu za Taifa pamoja na kuratibu hafla maalum ya harambee ya kuzichangia Timu za Taifa inayotarajiwa kufanyika January 10, 2024 Jijini Dar es Salaam ambapo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa atamuwakilisha Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika hafla ya harambee hiyo.
Wajumbe wa Kamati walioteuliwa ni Theobald Sabi (Mwenyekiti), Patric Kahemela (Makamu Mwenyekiti) na Neema Msitha (Katibu) huku Wajumbe walioteuliwa wakiwa ni Beatrice Singano, Michael Nchimbi, Jemedari Said, Nick Reynolds (Bongo Zozo), Hamis Ali, Christina Mosha (Seven) , Mhandisi Hersi Said, Salum Abdallah (Try Again), Paulo Makanza – Mjumbe,
Wajumbe wengine ni Mohamed Soloka, Hassan Mohamed Raza, Lucas Mhavile (Joti), Oscar Oscar (Mzee wa Kaliua), Prisca Kishamba, Burton Mwemba (Mwijaku) na Clayton Revocatus Chipondo (Baba Levo).
Theobald Sabi, Mkurugenzi Mtendaji NBC
Patrick Kahemela, Afisa Mtendaji Mkuu Azam Media
Neema Msitha, Katibu Mtendaji BMT
Beatrice Singano, Mkurugenzi wa kitengo cha Mawasiliano wa Airtel Tanzania
Jemedari Said, Mtangazaji wa EFM Radio
Nick Reynolds (Bongo Zozo), Mhamasishaji wa Taifa Stars
Christina Mosha (Seven), Mkuu wa Masoko Sony Music
Hersi Said, Rais wa Yanga SC
Salum Abdallah (Try Again), Mwenyekiti wa Bodi Simba SC
Mohamed Soloka, CEO K4SSecurity
Clayton Revocatus Chipondo (Baba Levo), Msanii na Mtangazaji wa Wasafi Media
Burton Mwemba (Mwijaku), Msanii na Mangazaji Clouds Media
Prisca Kishamba, Mtangazaji wa Michezo Clouds FM
Lucas Lazaro Mhuvile (Joti), Mchekeshaji
Oscar Oscar (Mzee wa Kaliua), Mtangazaji wa Wasafi FM
Kwenye kikosi hicho yumo Mwijaku aliyeshindwa kutimiza ahadi yake ya kutembea uchi ikiwa timu yake ingefungwa.
---
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro ameteua Kamati Maalum kwa ajili ya hamasa kwa Timu za Taifa zilizofuzu mashindano mbalimbali ya Kimataifa ambayo inaundwa na Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu pamoja na Wajumbe 15.
Kamati hii itakuwa na jukumu la kuhamasisha Mashabiki na Wapenzi wa michezo ndani na nje ya Nchi kujitokeza kuzishangilia na kuziunga mkono Timu za Taifa pamoja na kuratibu hafla maalum ya harambee ya kuzichangia Timu za Taifa inayotarajiwa kufanyika January 10, 2024 Jijini Dar es Salaam ambapo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa atamuwakilisha Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika hafla ya harambee hiyo.
Wajumbe wa Kamati walioteuliwa ni Theobald Sabi (Mwenyekiti), Patric Kahemela (Makamu Mwenyekiti) na Neema Msitha (Katibu) huku Wajumbe walioteuliwa wakiwa ni Beatrice Singano, Michael Nchimbi, Jemedari Said, Nick Reynolds (Bongo Zozo), Hamis Ali, Christina Mosha (Seven) , Mhandisi Hersi Said, Salum Abdallah (Try Again), Paulo Makanza – Mjumbe,
Wajumbe wengine ni Mohamed Soloka, Hassan Mohamed Raza, Lucas Mhavile (Joti), Oscar Oscar (Mzee wa Kaliua), Prisca Kishamba, Burton Mwemba (Mwijaku) na Clayton Revocatus Chipondo (Baba Levo).
Theobald Sabi, Mkurugenzi Mtendaji NBC
Patrick Kahemela, Afisa Mtendaji Mkuu Azam Media
Neema Msitha, Katibu Mtendaji BMT
Beatrice Singano, Mkurugenzi wa kitengo cha Mawasiliano wa Airtel Tanzania
Jemedari Said, Mtangazaji wa EFM Radio
Nick Reynolds (Bongo Zozo), Mhamasishaji wa Taifa Stars
Christina Mosha (Seven), Mkuu wa Masoko Sony Music
Hersi Said, Rais wa Yanga SC
Salum Abdallah (Try Again), Mwenyekiti wa Bodi Simba SC
Mohamed Soloka, CEO K4SSecurity
Clayton Revocatus Chipondo (Baba Levo), Msanii na Mtangazaji wa Wasafi Media
Burton Mwemba (Mwijaku), Msanii na Mangazaji Clouds Media
Prisca Kishamba, Mtangazaji wa Michezo Clouds FM
Lucas Lazaro Mhuvile (Joti), Mchekeshaji
Oscar Oscar (Mzee wa Kaliua), Mtangazaji wa Wasafi FM