Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
Alikuwa wapi siku zote?
Lowasa anadhani kuwa Watanzania wanadanganyika kirahisi
Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli
Hizo njie za kizamani sana. Alitumia Odinga hakufanikiwa. Alitumia Kiiza Besigye hakufanikiwa. Alitumia Morgan Tsvangirai hakufanikiwa
Nyie wapumbavu na Malofa mtaendelea kuwa vipofu. Ndo maana mnaendelea kudanganywa na akina Mbowe
Mkuu naona unahaha kuzuia mafuriko,mkuu wapiga kura malofa wamempokea Lofa mwenzao Lpwassa.Hata uhangaike hapa Jf mtaani malofa wameshamkubali lofa mwenzao.
No matter whether he will bring development or not we will choose Lowasa from UKAWA to show the world that Tanzania is not for CCM only