Ntambaswala
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 255
- 78
Wanajamvi,
Ilikuwa mnamo mwaka 1992, wakati huo nikiwa kidato cha tatu shule moja Sumbawanga, nikapata habari kuwa waziri anayewapeleka puta wahindi na matapeli wa viwanja Dar, waziri anayeota mvi kabla ya wakati wake sababu ya kuchapa kazi anakuja kutembelea mkoa wa Rukwa.
Basi siku hiyo mnamo kama saa tano nikatembea toka Sumbawanga wenyeji hadi maeneo katika ya chanji na kizwite kwenda kumpokea huyo mheshimiwa, by that nilikuwa kama 14 hivi.
Kulikuwa na watu wengi kidogo hasa viongozi wa serikali nikapenya katikati ya Marehemu mbunge Theonas Kinyonto (alikuwa ananifahamu) Nguvumali nikasogea karibu kabisa na the then mkuu wa mkoa Dr kiwanuka.
Basi ile Lowassa anashuka tu kwenye gari mimi nikawa hatua chache kutoka kwake, kweli kule kumuona nilipata tumaini sana na nikamkubali maana nilikuwa nimesoma sana habari zake nyingi positive kuhusu utendaji wake wa kazi.
Japokuwa nilikuwa siko smart (vumbi la Swanga) halafu mtoto mdogo katikati ya viongozi wa serikali Lowasa alivyoniona alitabasamu na kunishika mkono na kusema '' eeeh hujambo''.
Kufupisha stori tangu siku nilisema siku moja huyu baba atakuja kuwa rais wa nchi hii, nakumbuka nilimueleza hata Kinyonto ambaye nilimzoea sana.
Katika maisha siku zote ambalo huwa nalitaka 98% huwa linakuwa, je lowasa kuwa rais itakuwa lini. Nadhani kwa vile nilipata haya maono siku nyingi natakiwa kufuatilia na kuhakikisha kuwa yanatimia na wajibu huo ni wangu mwwenyewe.
Nawakaribisha wale wote ambao wana maono kama ya kwangu au wanaopenda lowasa awe rais hata kama ni 2015 karibuni sana tutimize ndoto yangu ya miaka 17 iliyopita. Najua yeye hakumbuki labda yule aliyekuwa msaidizi wake maana yeye tuliongea naye kwa kirefu kidogo. Hapa sio mahali pa kuleta Richmond sijui nini Dowans pelekeni kweye thread nyingine, we havee heard enough of those stuff
Ilikuwa mnamo mwaka 1992, wakati huo nikiwa kidato cha tatu shule moja Sumbawanga, nikapata habari kuwa waziri anayewapeleka puta wahindi na matapeli wa viwanja Dar, waziri anayeota mvi kabla ya wakati wake sababu ya kuchapa kazi anakuja kutembelea mkoa wa Rukwa.
Basi siku hiyo mnamo kama saa tano nikatembea toka Sumbawanga wenyeji hadi maeneo katika ya chanji na kizwite kwenda kumpokea huyo mheshimiwa, by that nilikuwa kama 14 hivi.
Kulikuwa na watu wengi kidogo hasa viongozi wa serikali nikapenya katikati ya Marehemu mbunge Theonas Kinyonto (alikuwa ananifahamu) Nguvumali nikasogea karibu kabisa na the then mkuu wa mkoa Dr kiwanuka.
Basi ile Lowassa anashuka tu kwenye gari mimi nikawa hatua chache kutoka kwake, kweli kule kumuona nilipata tumaini sana na nikamkubali maana nilikuwa nimesoma sana habari zake nyingi positive kuhusu utendaji wake wa kazi.
Japokuwa nilikuwa siko smart (vumbi la Swanga) halafu mtoto mdogo katikati ya viongozi wa serikali Lowasa alivyoniona alitabasamu na kunishika mkono na kusema '' eeeh hujambo''.
Kufupisha stori tangu siku nilisema siku moja huyu baba atakuja kuwa rais wa nchi hii, nakumbuka nilimueleza hata Kinyonto ambaye nilimzoea sana.
Katika maisha siku zote ambalo huwa nalitaka 98% huwa linakuwa, je lowasa kuwa rais itakuwa lini. Nadhani kwa vile nilipata haya maono siku nyingi natakiwa kufuatilia na kuhakikisha kuwa yanatimia na wajibu huo ni wangu mwwenyewe.
Nawakaribisha wale wote ambao wana maono kama ya kwangu au wanaopenda lowasa awe rais hata kama ni 2015 karibuni sana tutimize ndoto yangu ya miaka 17 iliyopita. Najua yeye hakumbuki labda yule aliyekuwa msaidizi wake maana yeye tuliongea naye kwa kirefu kidogo. Hapa sio mahali pa kuleta Richmond sijui nini Dowans pelekeni kweye thread nyingine, we havee heard enough of those stuff