Lowassa: Hongera Mufti Abubakar Zuberi

Lowassa: Hongera Mufti Abubakar Zuberi

Huyu ------ ni mnafiki tu, aende zake huko na udini wake Lutheran.

Wewe ndio mnafiki na mdini popoma wee, sasa hapo kosa liko wapi kutoa pongezi kwa waislamu? Mnafiki mkubwa wee na mchonganishi.
 
HILI LIZEE linafiki sana leo linajifanya linampongeza mufti wakati halitaki kura za waislam, wakatoliki, wasabato, wapentecoste na wapagani, eti linataka kura za #WALUTHERI tu, swine kabisa hili lizee tena ovyoooo kabisa kuliko wadudu waishio na kinyesi chooni.

Povu lote la nini mkuu? Tulia dawa iwaingie tatizo mko busy na fiesta, mkumbushe gadaffi nae atume salamu bado hajachelewa.
 
Nachojua hizi akaunti hutumiwa na wapambe...ikiwa mbaya atakuja kukana kama klivyokuwa kwa mwakalebera..
 
Anataka kujipendekeza, huyo si ndiyo alisaini MoU ya upande mmoja? Kuelekeza misaada kwa Wakristo pekee.

Hatusahau na hatudanganyiki na kura hatumpi - Mkumbushe.
 
HILI LIZEE linafiki sana leo linajifanya linampongeza mufti wakati halitaki kura za waislam, wakatoliki, wasabato, wapentecoste na wapagani, eti linataka kura za #WALUTHERI tu, swine kabisa hili lizee tena ovyoooo kabisa kuliko wadudu waishio na kinyesi chooni.
Mimi si mruteli ila nitalichagua hili lizee
 
Mgombea urais kupitia muungano wa UKAWA, Edward Lowassa amewapongeza waislamu kwa kupata MUFTI Mkuu na kuwaomba waislamu wote kumpa ushirikiano kama walivyofanya kwa MUFTI Shaban Bin Simba...

Vile vile amempongeza binafsi MUFTI (mteule) Aboubakar Zuberi kwa kuchaguliwa kwake....

View attachment 286018


.....salute mh ED kwa salaam zako...unadhihirisha kweli kwamba sisi ni watanzania...!
 
Anataka kujipendekeza, huyo si ndiyo alisaini MoU ya upande mmoja? Kuelekeza misaada kwa Wakristo pekee.

Hatusahau na hatudanganyiki na kura hatumpi - Mkumbushe.

Kwani ukimpa Magufuli unafikiri mfumo Kristo ndiyo utashi. ....!?
 
Mmesahau wakati wa bunge la katiba W.Lukuvi alisema nini kwenye kanisa moja,wakati kamwakilisha Pinda,ccm ndo waanzilishi wa udini! Msichague cuf ni ya waislam,ama kweli nyani haoni ......
 
Waislamu wote tutampa kura za NDIO Lowassa.
Nyie waswahili mtaendelea kung'aang'aa macho.
Anataka kujipendekeza, huyo si ndiyo alisaini MoU ya upande mmoja? Kuelekeza misaada kwa Wakristo pekee.

Hatusahau na hatudanganyiki na kura hatumpi - Mkumbushe.
 
Wakati mnasema msichague cuf ni ya waislam huo sio udini? LUKUVI alipoenda kwenye kanisa moja wakati wa bunge la katiba kumwakilisha Pinda alisemaje? acheni mpigwe ccm!
 
HILI LIZEE linafiki sana leo linajifanya linampongeza mufti wakati halitaki kura za waislam, wakatoliki, wasabato, wapentecoste na wapagani, eti linataka kura za #WALUTHERI tu, swine kabisa hili lizee tena ovyoooo kabisa kuliko wadudu waishio na kinyesi chooni.

Divide and rule this time haitafanya kazi
 
Mgombea urais kupitia muungano wa UKAWA, Edward Lowassa amewapongeza waislamu kwa kupata MUFTI Mkuu na kuwaomba waislamu wote kumpa ushirikiano kama walivyofanya kwa MUFTI Shaban Bin Simba...

Vile vile amempongeza binafsi MUFTI (mteule) Aboubakar Zuberi kwa kuchaguliwa kwake....

View attachment 286018

Hapa Bongo BAKWATA Woote Ni Waislamu, Lakini Si Kila Muislamu Ni BAKWATA, Hvyo Ni Aula Zaidi Kuwapongeza BAKWATA Kuliko Waislamu Kwani Wengine Hawajihusishi Kabisa Na Mufti Katka Ibada Zao Kama Mfungo Wa Ramadhani, Idi, Hija N.K
 
Hongera Mh.Edward Ngoyai Lowassa, hakika unafaa kuwa Rais.Wapuuze wanaopandikiza udini ili kutugawa watanzania.
 
Hivi Lowassa si ndo alichangisha ml 350 kule Arusha kwa ajili ya kujenga kituo cha kiislamu. Tuache unafki LOWASSA NI JEMBE
 
Vipi hakusema kama watamshirikisha mufti pia kwenye vikao vya kamati kuu? Au hako ka sekta ni ka wachungaji tu?
 
Back
Top Bottom